Bimmer na Landcruiser V8

Bimmer na Landcruiser V8

Emmission standards zimebadilika tofauti na zamani. za miaka ya 90 zio za miaka ya 2000. Za zamani huwezi ku import Europe sasa ivi kwa sababu hazimeet hizo standards. Ndio maana Toyota akawa na engines mpya ambazo zinatumika Euro na hasa kwa kutumia brand ya Lexus, engine hizo hizo tunaziona kwenye toyota saiv na bado toyota hauzi Europe.

2jzgte ni engine moja babkubwa kwa perfomance, lakini sababu ya kwanini toyota hawakuiweka kwenye Supra mpya, sio kwamba emmissions (ingawa haikuwa certified tangu mwanzo kukubalika in Europe) bali ni engine ya zamani mno, Toyota wameachana na Inline 6 engines na wamehamia kwa v6, kwao kuanza development upya ya kuweka 2jzgte sio cost efficient (inabidi waanze from scratch wakati assembly ya hio engine imeshauliwa) na ndio wakaamua kwenda na BMW engine, in short wamechukua BMW wakaibandika badge ya Supra the same wamefanya kwa FT86 ambayo ni subaru.

Sensors za emmission zina collect data ku make sure gari ina run kwenye standards zilizowekwa, sioni vipi zinachangia katika ubovu wa chombo zaidi ya kukwambia tu kama gari yako ita fail emmission test n.k Mfano Oxygen sensor, ina collect data ECU inapewa taarifa mafuta iongeze au ipunguze, lakini o2 sensor kama o2 sensor hai control physicial device. Sasa general rule ni kwamba ukiongeza vitu manake unaongeza more things to fail, lakini sio in a sense kwamba its not reliable. Umeongeza tu idadi ya vitu ofcourse uta repair vingi kuliko alokuwa na vichache.

Nakubaliana na wewe kuwa toyota ana vitu basic, Haziendani kabisa na wengine, wapo nyuma na wamejiekea nyuma makusudi. Wao kama kitu kinafanya kazi vizuri kwanini wafanye njia nyengine? wanaona bora wakiache ivo ivo. Sasa wenzao wanakwenda na technology, kama wanaweza kuweka bluetooth brakes (jokes) kwanini wasiweke?

Tutizame Air suspension vs Coil Springs, chances za ku fail air suspension ni high kuliko coil springs, sasa toyota hapo anaona ah wacha niweke coil springs, RR na wenzake wacha tuweke Air Suspension for ride comfort anaenunua RR ana uwezo wa kununua Air suspension nyengine tu.
Ile sio Supra Ni BMW z4 iliyochangamka(iliyofunikwa) tu.Ni ujinga tu.
 
Wanafeli sana humo!

Yani ni sawa na kudharau tajiri eti kisa ni msukuma hajivungi ila akikaa na matajiri wenzie wachaga aonekane tajiri kweli ni mchaga tu! Yani mwenye pesa anasemwa mchaga tu wakati msukuma ana mawe pia!

Watu wanadharau Land Cruiser sababu ni Toyota ila interms of comfort haiwezi pishana na gari lolote la kisasa! Land cruiser zina Airbags, Air Suspensions na burudani zote sijui apple car play na android auto! Yani ni gari zuri kwa kweli ila watu wanaleta dharau za kishamba wakihisi Landcruiser imekakamaa kama Passo ama IST😅
Waulize hizo LC 200 wamezipandia wapi?sanasana anaeiponda LC 200ukimuuliza anaishia kukwambia anamiliki harrier old model na magari ya dizaini hio.Nilishangaa mbuzi mmoja humu anaiponda Nissan Y62 huku akiulizia kama anaweza akapata gx110 kwa mil 4.

Lkn ukikuta wanaongelea ma Porsche,G-Wagon, Ferrari,GT-Continental,Roll Royce,Maserati, McLaren Kama vile walishawahi kuzipanda kumbe Ni mwendo wa kucheki reviews tu Kule YouTube.
 
Yes.. Unaweza kutoka Dar mpaka Mwanza na kesho ukageuza kwa spidi yako mwenyewe.. Ila njia nzima ufukuzane na 1vd-ftv wakati wewe una 100hp.. inline 4.. 1.6lt.. Kesho gari hata kuwaka haiwaki..
Kwani unadhani hawajui Hilo mkuu?Ni vile wameamua tu kubisha.Jiandae kwa Ligi hapo.
 
Waulize hizo LC 200 wamezipandia wapi?sanasana anaeiponda LC 200ukimuuliza anaishia kukwambia anamiliki harrier old model na magari ya dizaini hio.Nilishangaa mbuzi mmoja humu anaiponda Nissan Y62 huku akiulizia kama anaweza akapata gx110 kwa mil 4.

Lkn ukikuta wanaongelea ma Porsche,G-Wagon, Ferrari,GT-Continental,Roll Royce,Maserati, McLaren Kama vile walishawahi kuzipanda kumbe Ni mwendo wa kucheki reviews tu Kule YouTube.
Wana wanajifariji sana wengi wamiliki wa gari chakavu za mjepenga
 
Wanafeli sana humo!

Yani ni sawa na kudharau tajiri eti kisa ni msukuma hajivungi ila akikaa na matajiri wenzie wachaga aonekane tajiri kweli ni mchaga tu! Yani mwenye pesa anasemwa mchaga tu wakati msukuma ana mawe pia!

Watu wanadharau Land Cruiser sababu ni Toyota ila interms of comfort haiwezi pishana na gari lolote la kisasa! Land cruiser zina Airbags, Air Suspensions na burudani zote sijui apple car play na android auto! Yani ni gari zuri kwa kweli ila watu wanaleta dharau za kishamba wakihisi Landcruiser imekakamaa kama Passo ama IST[emoji28]
Wanatapatapa sana hao. Ndiyo maana nasema kuna watu huwa wanasifia au wananunua vitu kwa mihemko na mikumbo tu ili nao waonekane wanajua kumbe wanaigiza.
 
Waulize hizo LC 200 wamezipandia wapi?sanasana anaeiponda LC 200ukimuuliza anaishia kukwambia anamiliki harrier old model na magari ya dizaini hio.Nilishangaa mbuzi mmoja humu anaiponda Nissan Y62 huku akiulizia kama anaweza akapata gx110 kwa mil 4.

Lkn ukikuta wanaongelea ma Porsche,G-Wagon, Ferrari,GT-Continental,Roll Royce,Maserati, McLaren Kama vile walishawahi kuzipanda kumbe Ni mwendo wa kucheki reviews tu Kule YouTube.
Thank you. Kuna comment niliwaambia hata hizo Y62 V8 ziko vizuri kuliko baadhi ya BMW sema tu kuna watu wanazisujudia sana Bimmer kama kitu gani sijui.

Kuna picha zilitumwa kwenye uzi fulani zinalinganishwa interior designs za latest BMW na Mercedes Benz ikaonekana ya Merceds Benz ndiyo iko bomba kuliko ya BMW.

Kuna watu wakawa wanasema aahh Bimmer zake mbio bana urembo tuwaachie hao wengine. Leo hii tena wanasema hakuna anayemfikia BMW hata kwenye interior designs teh.
 
Umemaliza na huu ndio ukweli, haitokaa Toyoda akaipiku BMW . Sema wapambe wa toyota wanakuwa wanalingamisha gari zisizo lingana mtu anakuja linganisha 3 Series na V8 Badala ya kulinganisha na BMW X5 M competition na hiyo V8 zao
Hata hiyo x5 huwezi kulinganisha na LC VX in terms of reliability. Kwenye mbio Beemer anaweza kumsumbua kidogo ila kwa safari ndefu kwa hizi barabara zetu za kuunga hapa na pale bado LC 200 aka Kilimo kwanza Hana mpinzani
 
Haya yamenisibu, juzi kati nilikuwa na safari ya dar-dom aisee, nilitembea, gari(xtrail) ina gia 6, speed 220km/hr, mpaka nafika dom sikumbuki km kuna gari ilinikata nikiwa njiani. Nilikutana na landcruiser 70 series(VDJ76) mbili, moja STK, nyingine ya mtu binafsi(DPA/K) nadhani walibaki wanajiuliza huko.

Ila nimefika dom, juzi nafanya service nigeuze mambo mengi, ukizingatia wakati wa kuja sikufanya service mbona nimejuta, hapa nina mpango wa kurudi mdogo mdogo, nikitembea mwendo mkali basi ni 120 hivi, tena paliponyooka(maana kuna vipande mguu unasaliti akili)
Ukiendesha gari kwa fujo kwenye hizi barabara zetu kama vile upo autobahn lazima ukirudi upite pale jerry spare part kuuguza majeraha🤣🤣. Ila LC V8 ama hizi 100 series hazijali we piga shimo unavyoweza ni mwendo mdundo tu.
 
Ukiendesha gari kwa fujo kwenye hizi barabara zetu kama vile upo autobahn lazima ukirudi upite pale jerry spare part kuuguza majeraha🤣🤣. Ila LC V8 ama hizi 100 series hazijali we piga shimo unavyoweza ni mwendo mdundo tu.
Hahahahahah unaenda pale kinyonge kuchapiwa mkeka wa bush zako ulizochakaza kwenye rasta😅😅😅 usiombe ukakuta na shockup za Nissan mbovu pia utajuta😅
 
Hata hiyo x5 huwezi kulinganisha na LC VX in terms of reliability. Kwenye mbio Beemer anaweza kumsumbua kidogo ila kwa safari ndefu kwa hizi barabara zetu za kuunga hapa na pale bado LC 200 aka Kilimo kwanza Hana mpinzani
Aisee X5 haina tatizo kukeep up na Landcruiser.. Gari engine kubwa.. Na imetengenezwa kuwa segment moja na Landcruiser.. Toleo la kwanza E53 engine ndogo ina 3lts inline six na kuna options ya 4lts V8.. Kwahiyo ipo vizuri stamina.. Ukisema tutoke wote Dar Mwanza na Landcruiser haina shida kabisa ipo njema..!

Ishu yangu ni kusema 3 series itamkalisha Landcruiser.. Hapo ndio nakataa.. Zipo 3 series powerful na zipo 3 series weak.. E36 316i nayo ni 3 series.. Hii haiwezi mwendo wa Landcruiser kwa muda mrefu.. Toa facts za matuta.. Weka mkeka wa lami njia nzima..!

Na hii kitu imeshaongelewa.. Gari ndogo ya Toyota Passo dashboard inasoma 180..Gari kubwa ya Toyota 70 dashboard inasoma 180..wakienda umbali mrefu Passo hawezi kukeep up na 70 hata kama wote wana dashboard sawa..

Hapa naona watu wanatetea sababu logo imebadilika kutoka Toyota kwa BMW..!
Kupambana na Landcruiser unahitaji Engine kubwa sio logo ya BMW..!
 
Back
Top Bottom