Bimmer na Landcruiser V8

Bimmer na Landcruiser V8

Ni mkeka Sawa ila kunakua na mashimo ya hapa na pale ya kushtukiza bila kusahau rasta na bumps. Hapo ndipo mjapan anapiga bao na LC 200
Mie msafiri sana wa hiyo njia mashimo yaliyopo machache sana na ni madogo yasio na shida, nimekuwa mpenda ligi sana na kigari kidogo tu hao wajapan nilikuwa nawaweka sana chini na barabara hiyo na mwendo wangu na hizo barabara unazo sema zina mashimo ni 200-240kmh.. Kuna gari ya toyota ambayo huwa iki respond challenge pekee ambayo huwa nakuwa mpole ni VXR lakini wengi wao nalala nao mbele 😀😀😀😀😀😀 mwisho wa siku kila gari ina uzuri wake binafsi napenda VXR official purpose sio gari nyonge hata kidogo
 
Pick up siku zote zinajulikana kama gari za field sasa mjeruman badala kutengeneza gari simple kwa ajili ya kazi yeye akakimbilia kuwekwa vikorombwezo kibao matokeo yake zikamchachia
Ukweli ile gari ukiangalii, ni full luxury, ila field zipo za aina nyingi mkuu.. Hata Maafisa mikopo wakienda kufanya makusanyo nayo ni field wanaweza tumia sema ndio bei kimbembe
 
Petrol tu, gari ya diesel ya kazi gani asee yamekuwa malori hayo.. root moja tu Dar es Salaam to Mwanza .. kwenda na kurudi.. mtakata mzizi wa fitina
Petrol itafutwe petrol version ya landcruiser ili kusiwe na sababu! Zipo nyingi tu ila 3UR V8 will do! Ipo 200 series ya petrol V8 with 381 horses then weka hio BMW yako hapo tuone mapigo!
 
Mzee baba hamna kisingizio cha barabara zaidi ya diversion tu za njiani hazikosekanagi!

Mie natamani siku moja tuweke live league humu wenye hizo gari tuone maana kelele ni nyingi! Naamini VX-R zipo nyingi tu hapa mjini na hizo X5 zipo! Tuchague ruti tu watu wachakazane hapo tuone nani atawahi kufika maana kelele ni nyingi! Na hio X5 iwe diesel ili kwenda sawa.

Kama petrol basi wote wawe na petrol engines.
Na push Land Cruiser GXR ya taasisi flan hivi.
Juzi nikitoka Dar to Dom nilitegemea changamoto kutoka kwa X5 BMW. Sikuipata na sikuweza kupima vizuri as jamaa alikuwa muoga wa torch.

Hatukuweza kupimana vizuri.
 
Na push Land Cruiser GXR ya taasisi flan hivi.
Juzi nikitoka Dar to Dom nilitegemea changamoto kutoka kwa X5 BMW. Sikuipata na sikuweza kupima vizuri as jamaa alikuwa muoga wa torch.

Hatukuweza kupimana vizuri.
Bora wewe umejisemea kweli, maana unaweza jikuta unaanzisha challenge na mtu hana hata time , badae unakuja sema ulimchapa vibaya
 
Mkuu mtatafuta pa kujificha aisee uje kushindana na gari inacheua 600HP na hicho chenu cha 400HP 😁😁😁😁 mnaleta utani sanaaaa
Gari gani inayocheua 600HP? Mmbongo anaweza kununua gari top spec toka bmw labda mtoto wa GSM ama bhakresa! Hizo M competition nyingi naona watu wanajibandikia vile virangi😅 na badge

Wengi na vi bmw vyao wanajikunyata kwenye 1.5-3L engines zenye 160-250HP na wenye SUV wengi ni Diesel. Wabongo wenye bmw za 300HP plus ni wa kuhesabika. Halafu mtu anadiss Toyota yenye horsepower za humo humo 😅😅😅!

1VD tu kwa kichaa cha 235HP lazma itawasumbua hao 3 series wenu wengi wa 1.5-2.0 excluding wenye ile 328i walau wanaweza kunyanyua shingo kidogo sababu engine yake inawahi kuchanganya twinturbo petrol ya 240HP at maximum rpm. Ila akiwekwa 200 series 3UR-FE petrol hamna choko yeyote wa BMW 3 series atakaesogeza pua including the M3! Watakaotamba ni kuanzia 400HP plus

Cruiser ya 1GR FE yenyewe tu mziki wake ni mnene sema sio nyingi ila hii engine iko kwenye prado za petrol baadhi na 70 series UTE! This masterpiece fucks all 3 series excluding the M3!
 
Muonekano? Teh BMW show ya mbele kwenye most cars ni mbaya bana na zile vents kama pua za nyati! [emoji23][emoji23]

Hapo kwenye muonekano hasa wa nje hebu muacheni Land Cruiser aisee bila kusahau mlio wa engine! Kwa muonekano BMW kazidiwa hadi na Mercedes Benz kuanzia body hadi interior designs!

By the way hivyo vitu kama muonekano na mlio wa engine ni subjective tu
Kuna Mercedes Benz Kompressor toleo la kuanzia 2001 mpaka 2006.

Pale design engineer wao alifeli. Gari imebonyea sana huku mbele. Katika sedan zilizotokewa miaka hiyo basi kwangu mimi ile Benz ndio sedan yenye sura mbaya.
 
Gari gani inayocheua 600HP? Mmbongo anaweza kununua gari top spec toka bmw labda mtoto wa GSM ama bhakresa! Hizo M competition nyingi naona watu wanajibandikia vile virangi😅 na badge

Wengi na vi bmw vyao wanajikunyata kwenye 1.5-3L engines zenye 160-250HP na wenye SUV wengi ni Diesel. Wabongo wenye bmw za 300HP plus ni wa kuhesabika. Halafu mtu anadiss Toyota yenye horsepower za humo humo 😅😅😅!

1VD tu kwa kichaa cha 235HP lazma itawasumbua hao 3 series wenu wengi wa 1.5-2.0 excluding wenye ile 328i walau wanaweza kunyanyua shingo kidogo sababu engine yake inawahi kuchanganya twinturbo petrol ya 240HP at maximum rpm. Ila akiwekwa 200 series 3UR-FE petrol hamna choko yeyote wa BMW 3 series atakaesogeza pua including the M3! Watakaotamba ni kuanzia 400HP plus

Cruiser ya 1GR FE yenyewe tu mziki wake ni mnene sema sio nyingi ila hii engine iko kwenye prado za petrol baadhi na 70 series UTE! This masterpiece fucks all 3 series excluding the M3!

Hiyo 3UR kwa jinsi wabongo walivyokuwa wabahili aiseee usiiweke kwenye mjadala.

Kupower 5.7L petrol kwa mbongo ataiita hiyo gari majina yote. Jini, zimwi, n.k.

Pia 3UR ni kubwa jinga... 5.7L inazalisha 381Hp.
 
Na push Land Cruiser GXR ya taasisi flan hivi.
Juzi nikitoka Dar to Dom nilitegemea changamoto kutoka kwa X5 BMW. Sikuipata na sikuweza kupima vizuri as jamaa alikuwa muoga wa torch.

Hatukuweza kupimana vizuri.
Aisee tochi zinazingua nazo..
Gari nyingi zinapishana hapo..!
Kuna sehemu 50 ndefu kweli kweli..!
 
Hiyo 3UR kwa jinsi wabongo walivyokuwa wabahili aiseee usiiweke kwenye mjadala.

Kupower 5.7L petrol kwa mbongo ataiita hiyo gari majina yote. Jini, zimwi, n.k.

Pia 3UR ni kubwa jinga... 5.7L inazalisha 381Hp.
Hahahahah sasa si tunataka fair comparison mkuu! Huwezi kutaka kushindanisha bmw ya petrol halafu ulinganishe na diesel ya cruiser!

Hio ikiwa tuned inaweza fua hata 600 horses! Ma turbo na superchargers yakiwekwa itazalisha mora than that! Sema mjapenga ni mutu ya Naturally aspirated sana sana ila from 2016 ndio ameanza anza ku turbo gari zake!
 
Aisee X5 haina tatizo kukeep up na Landcruiser.. Gari engine kubwa.. Na imetengenezwa kuwa segment moja na Landcruiser.. Toleo la kwanza E53 engine ndogo ina 3lts inline six na kuna options ya 4lts V8.. Kwahiyo ipo vizuri stamina.. Ukisema tutoke wote Dar Mwanza na Landcruiser haina shida kabisa ipo njema..!

Ishu yangu ni kusema 3 series itamkalisha Landcruiser.. Hapo ndio nakataa.. Zipo 3 series powerful na zipo 3 series weak.. E36 316i nayo ni 3 series.. Hii haiwezi mwendo wa Landcruiser kwa muda mrefu.. Toa facts za matuta.. Weka mkeka wa lami njia nzima..!

Na hii kitu imeshaongelewa.. Gari ndogo ya Toyota Passo dashboard inasoma 180..Gari kubwa ya Toyota 70 dashboard inasoma 180..wakienda umbali mrefu Passo hawezi kukeep up na 70 hata kama wote wana dashboard sawa..

Hapa naona watu wanatetea sababu logo imebadilika kutoka Toyota kwa BMW..!
Kupambana na Landcruiser unahitaji Engine kubwa sio logo ya BMW..!
Ukishasogea kwenye 320i tu anapambana na VXR vizuri kabisa.
 
Back
Top Bottom