Binadamu: Kiumbe chenye chanzo kisichojulikana, yupoyupo tu hana mwanzo wala mwisho

Binadamu: Kiumbe chenye chanzo kisichojulikana, yupoyupo tu hana mwanzo wala mwisho

Kwa hiyo maumbile ya kike yalipokuwa yanatokea, automatically maumbile ya kiume yalikuwa yanatokea kwa nasibu tu, na maumbile ya kiume yakafiti na maumbile ya kike na yakatoa mbegu ambazo zinaungana na yai kupitia maumbile ya kike kupata mtoto. Yote hii ni nasibu tu. Kama unaamini hivyo, hata Boeing yaweza tokea kwa nasibu tu.
Wewe una amini chanzo cha dunia kilitokea kwa nasibu tu?

Kama haiwezekani vitu kutokea kwa nasibu tu, Hata huo mwanzo wa dunia hauwezi kutokea kwa nasibu tu.

Ninyi mnachofanya niku exclude mwanzo wa dunia kwamba hauna mwanzo, ila mnataka kusema dunia ina mwanzo.
 
Kwanza kutoka na logic hiyo tukubaliane kuwa Uranium ina mwanzo na hivyo dunia ina mwanzo kwani Uranium ipo duniani. Sijui sayari zingine.
Sawa vina mwanzo.

Sasa nakuuliza hivi [emoji116]

Mwanzo wa Uranium ni nini?

Na mwanzo wa mwanzo wa dunia ni nini?
 
Wewe una amini chanzo cha dunia kilitokea kwa nasibu tu?

Kama haiwezekani vitu kutokea kwa nasibu tu, Hata huo mwanzo wa dunia hauwezi kutokea kwa nasibu tu.

Ninyi mnachofanya niku exclude mwanzo wa dunia kwamba hauna mwanzo, ila mnataka kusema dunia ina mwanzo.
Siamini chanzo cha dunia ni kwa nasibu tu.

Nakubaliana na para 2 ya kwako.

Kwa sababu huwezi kuwa na mwanzo wa mwanzo wa mwanzo wa mwanzo indefinitely. Na wewe wajua hivyo.
 
Sawa vina mwanzo.

Sasa nakuuliza hivi [emoji116]

Mwanzo wa Uranium ni nini?

Na mwanzo wa mwanzo wa dunia ni nini?
As long unakubali vina mwanzo, na wewe fanya utafiti ujue mwanzo wa dunia ni nini. Angalau una pa kuanzia kwamba havikuwepo tu siku zote ila kuna wakati vilianza kuwepo.
 
Infropreneur inawezekana husomi tunachoandika. kwa sasa siyo Chief wala mimi kati yetu anayesema kuwa dunia haina mwanzo.

Sisi tunasema kwamba dunia ina chanzo. Wewe kwa nadharia yako unasema kama dunia ina chanzo basi lazima hicho chanzo kiwe na chanzo chake na kama chanzo hicho hakina chanzo basi na dunia nayo haina mwanzo.

Lakini hoja ya bandiko hili ni Chanzo cha binadamu. Hebu tulijadili hili.

Kwa ivo kwa nadharia yako ilikuwaje kukawa na utofauti wa jinsi kati ya Mwanamke na Mwanaume!!
 
As long unakubali vina mwanzo, na wewe fanya utafiti ujue mwanzo wa dunia ni nini. Angalau una pa kuanzia.
Sijakubali kwamba vina mwanzo, kwa vile uthibitisho wa kuwepo mwanzo huo Haupo zaidi ya imani za kufikirika tu.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Hata chanzo cha dunia Lazima kiwe na chanzo hivyo hivyo kwa vyanzo endless.

Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo chanzo.
 
Sijakubali kwamba vina mwanzo, kwa vile uthibitisho wa kuwepo mwanzo huo Haupo zaidi ya imani za kufikirika tu.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Hata chanzo cha dunia Lazima kiwe na chanzo hivyo hivyo kwa vyanzo endless.

Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo chanzo.
Jadili hoja ya Binadamu. Ya dunia itajadiliwa kivingine!!!
 
Infropreneur inawezekana husomi tunachoandika. kwa sasa siyo Chief wala mimi kati yetu anayesema kuwa dunia haina mwanzo.

Sisi tunasema kwamba dunia ina chanzo.
Thibitisha chanzo cha dunia.

Sio kusema tu.

Ninyi mnasema chanzo cha dunia hakina chanzo ila mnataka dunia iwe na chanzo..!!!

Naku uliza hivi 👇

Chanzo cha dunia, chanzo chake ni kipi?
Wewe kwa nadharia yako unasema kama dunia ina chanzo basi lazima hicho chanzo kiwe na chanzo chake na kama chanzo hicho hakina chanzo basi na dunia nayo haina mwanzo.

Mimi nataka uthibitishe chanzo cha dunia ni kipi?

Na chanzo hicho cha dunia kiliwezaje kutokea tu from nothing?
Lakini hoja ya bandiko hili ni Chanzo cha binadamu. Hebu tulijadili hili.

Kwa ivo kwa nadharia yako ilikuwaje kukawa na utofauti wa jinsi kati ya Mwanamke na Mwanaume!!
 
Sijakubali kwamba vina mwanzo, kwa vile uthibitisho wa kuwepo mwanzo huo Haupo zaidi ya imani za kufikirika tu.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Hata chanzo cha dunia Lazima kiwe na chanzo hivyo hivyo kwa vyanzo endless.

Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo chanzo.
Huna haja ya kukubali kuwa vina mwanzo kwani nilichokuambia ni scientific proof kuwa vina mwanzo. Wewe kukubali au kukataa haibadilishi ukweli. Haya mjibu Allen kuhusu chanzo cha binadamu.
 
Jadili hoja ya Binadamu. Ya dunia itajadiliwa kivingine!!!
Nilikwambia binadamu hana mwanzo wala mwisho.

Binadamu walikuwepo, wapo na wataendelea kuwepo.

Hakuna wakati wowote ule ambapo binadamu hawakuwepo halafu ghafla tu wakawepo.
 
Huna haja ya kukubali kuwa vina mwanzo kwani nilichokuambia ni scientific proof kuwa vina mwanzo. Wewe kukubali au kukataa haibadilishi ukweli.
Hiyo scientific proof imeishia ku conclude mwanzo upo.

Ila imeshindwa kueleza na kuthibitisha mwanzo huo umetoka wapi?

Na mwanzo huo umetokana na nini?
 
Hiyo scientific proof imeishia ku conclude mwanzo upo.

Ila imeshindwa kueleza na kuthibitisha mwanzo huo umetoka wapi?

Na mwanzo huo umetokana na nini?
Lengo la proof hiyo ni kuthibitisha kuwa kuna mwanzo na si mwanzo umetokana na nini. Sasa ni kazi yako kufanya research kwa huo mwanzo umetokana na nini kwani beyond that ni suala la imani. At least hutaweza ku conclude kuwa hakuna mwanzo.
 
Lengo la proof hiyo ni kuthibitisha kuwa kuna mwanzo na si mwanzo umetokana na nini. Sasa ni kazi ya kufanya research kwa huo mwanzo umetokana na nini kwani beyond that ni suala la imani. At least hutaweza ku conclude kuwa hakuna mwanzo.
Kama huwezi kuthibitisha mwanzo wa "mwanzo wa dunia" ni nini utahitimishaje mwanzo huo ndio mwanzo wa dunia kweli?

Bado hiyo siyo scientific proof ni unverified proof.
 
Kama huwezi kuthibitisha mwanzo wa "mwanzo wa dunia" ni nini utahitimishaje mwanzo huo ndio mwanzo wa dunia kweli?

Bado hiyo siyo scientific proof ni unverified proof.
Unverified proof? Ebu jiongeze usome kuhusu half life ya Uranium au madini mengine na maana yake. Just Google.
 
Unverified proof? Ebu jiongeze usome kuhusu half life ya Uranium au madini mengine na maana yake. Just Google.
Billion years hizo ni kwa hiyo Uranium si kwa dunia.

Ukweli ni kwamba hakuna wakati ambapo Dunia haikuwepo kisha ikawepo.

Dunia ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo.

Dunia Haina mwanzo wala mwisho.
 
Mungu huyo ni nini haswa?

Ana muonekano gani na umbo gani?

Angalau dunia ipo na kila mtu anatambua hilo.

Ndio maana Hujawahi kusikia kwamba mtu anasema Dunia haipo.

Ila Mungu hayupo na hata ukitaka kuthibitisha kwamba Mungu yupo huwezi.

Kwa vile Mungu huyo hayupo kwa namna yoyote ile zaidi ya mawazo ya kufikirika tu.
maadamu unakubali kwamba nadharia hii ipo na ina make sense kwamba kuna vitu havina chanzo kama vile binadamu unaamini hana chanzo wala mwisho,basi na sisi tunatumia nadharia hiyo kuamini kwamba Mungu hana chanzo wala mwisho.

Hapa sote tunatumia nadharia ya kutokuwepo chanzo wala mwisho.

Hivyo mjadala wetu umefikia pazuri kwa sababu sote tunakubaliana kwamba kitu kinaweza kisiwe na chanzo wala mwisho yaani kikawa kipo tu milele tangu na tangu.

Suala la kumthibitisha Mungu hatuwezi kufikia muafaka kwa sasa kwa sabbabu hatujakubaliana katika vigezo vya uthibitisho,hivyo tutakuwa tunazunguka tu.

Kabla ya kumthibitisha Mungu lazima tikubaliane kwenye vithibitisho hivyo,kinyume na hapo tutakuwa tunabishana bila faida.
 
Nimejua kwa kuona kwamba Hakuna wakati ambapo Dunia haikuwepo Halafu ghafla ikawepo.

Dunia ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo.

Hakuna wakati wowote ule ambapo Dunia haikuwepo kisha ikawepo.

Lakini Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mungu huyo kama yupo aje hapa ajidhihirishe na athibitishe kwamba yeye ndiye Muumbaji wa dunia.

Niko nimekaa paleeee.....[emoji117][emoji117][emoji1][emoji1]
Ndio maana nmesema hizo na wewe ni fikra zako tu,


Alafu unamuita ajitokeze kwako ili kujidhihirisha uone kama yupo....Unadhani ni kina joti au Andambile kuwa unamuita vyovyote unavyotaka ?

Kwanza sioni haja ya kubishana kuhusu Mungu, Wewe ambae humuamini endelea kutokumuamini mimi ninaemuamini ntaendelea kumuamini full stop.
 
Back
Top Bottom