Pointless Why.
There is not Existence come from non-existance. Wewe Mwanadamu una mwanzo mwanzo wako ni upi? X And Y ukawa formed mwili ukatengenezwa ukawa hapa duniani right na utaishi kwa muda kadhaa mwisho utakufa!!, na ili ujue una mwanzo (Umewekewa dhamiri na Mungu ndani yako inayokufundisha hili ni baya ama ni jema na Ukitaka kufanya baya kwa kulazimisha unaona kabisa Kuna ukinzani). Yupo creator wako.
Na think kama dunia imetokea tokea tu haina chanzo fikiria kuhusu hiki kitu "Order and design" ni nani alieweka mpangilio mzuri wa Dunia hii? Kunakuwa na majira ya mvua na yasiyo ya mvua who did that ni mtu huyu huyu?? Jibu ni hapana? Je waweza kuamuru mvua isinyenyeshe au kifo kisiwepo No!, means Mwanadamu ni dhaifu sana umepewa je nani katofautisha Akili za binadamu na wanyama?? Sijui kama unanielewaa!!, huo upinde wa mvua na hewa ya Oxygen inayokufanya uishi ambayo haiko katika Samaria yoyote ila hapa tu who did that?, kwa nini unajuta kwa baadhi ya mambo mabaya unayoyafanya unaona dhamiri inakwambia kabisa si sawa, umewahi kufikilia kwa nini inakuwa hivyo,? C'mon many things to reason na kukupa suruhisho na kitu kisichokuwa na mwisho wala Mwanzo is Only GOD.
You wonder 🤔 ❓ 🤔 fuatana na mimi kwa umakini hapa!!,
Kama Mungu ana mwanzo lazima awe na Mwisho, je inawezekana akawa na Mwisho??. Na akiwa na mwisho what next kwa the whole universe? "Think like intelligence allow holy spirit to teach you this thing" Refers to Genesis 1:1 utaona dunia ilikuwa na mwanzo!, but hakuna sehemu yoyote inasema God has the Beginning (Mighty GOD) HALELUYA!,
Mungu hana Mwanzo wala Mwisho yeye yuko all the time. Kumbuka akili yako iko limited (akili zetu zote) and that's why we can't think beyond can you think material yaliyotumika kukutengeneza wewe na kukufanya ukue,uwe akili,Mishipa, ya damu nk unaweza tengeneza mtu kama wewe hapo?. Tunaishia kutengeneza artificial intelligence AI nazo hazina uwezo wa kufikilia kama Mwanadamu 100%. You know what?? Akili ni kipawa cha Mungu ndani ya Mwanadamu? That's why you wonder Gravity ilitokeaje Mwanadamu akaijua na akajua ni 10 or 9.8 learn Geography kwa jinsi unavyofikili unaona Mwanadamu can do that kama si kipawa cha Mungu ndani ya Mtu???
Thanks!!