Time ya kwenye mwezini ni tofauti na Mars, earth, Jupiter.
Hapa duniani tumejiwejea Muda, Muda wa kufirika Tu, Ndio maana DK, Saa,siku mwezi,mwaka vinajurudia Tu Yani ni hakuna mwisho. Yani Muda unaanza alafu unaishia palepale ulipoanzaia.
Mwaka huu NASA wameanzisha calendar ya kwenye mwezini, Kwa Hiyo vizazi vinavyokuja watakuta mwezini kuna calendar tayar, kumbe calendar haikuwepo on the first place.
China, Ethiopian, Jewish, Christians,butha, Islam butha Wana calendars zao na mambo Yana kwenda Tu 😂 kama hakuna calendars kabisa .
Actually badala ya kusema Time Mimi naona tusema circle AU mzunguko, coz Muda AU Time ni ule ule haubadiliki