Binadamu: Kiumbe chenye chanzo kisichojulikana, yupoyupo tu hana mwanzo wala mwisho

🤔
 
Absolutely Time, absolutely Space,
Ila Mimi naona Time doesn't exist
 
Hana mwanzo hana mwisho siamini, mwanzo wangu ni wazazi, nao wazazi wana mwanzo, ukienda kwa mfumo huo utakuta kuna mwanzo ambao hauna mwanazo, ulioanzisha binadamu na ni Muumba.
 
Absolutely Time, absolutely Space,
Ila Mimi naona Time doesn't exist
 
Una hoja mkuu ebu itetee.
Time ya kwenye mwezini ni tofauti na Mars, earth, Jupiter.
Hapa duniani tumejiwejea Muda, Muda wa kufirika Tu, Ndio maana DK, Saa,siku mwezi,mwaka vinajurudia Tu Yani ni hakuna mwisho. Yani Muda unaanza alafu unaishia palepale ulipoanzaia.

Mwaka huu NASA wameanzisha calendar ya kwenye mwezini, Kwa Hiyo vizazi vinavyokuja watakuta mwezini kuna calendar tayar, kumbe calendar haikuwepo on the first place.

China, Ethiopian, Jewish, Christians,butha, Islam butha Wana calendars zao na mambo Yana kwenda Tu 😂 kama hakuna calendars kabisa .

Actually badala ya kusema Time Mimi naona tusema circle AU mzunguko, coz Muda AU Time ni ule ule haubadiliki
 
hakuna hasara kubwa duniani, kama hutokuwa na majibu ya maswali yafustayo:
1. wewe ni nani.
2. ni kwanini uko duniani.
3. Ni nini kitafuata baada ya maisha haya.

MWAMINI YESU UPOKEE WOKOVU
 
Nakubaliana na wewe time is relative and not absolutely ndo maana time ya moon au planet nyingine ni tofauti na earth due to utofauti wa speed and gravity.
 
Kila kitu lazima kiwe na chanzo na mwisho wake.Haiwezekani binadamu iwe alitokea tu vuuuu.yawezekana Hadi Sasa tukawa hatujajua tu kuwa chanzo chetu ni nini lakini lazima tuwe na chanzo.
 
hakuna hasara kubwa duniani, kama hutokuwa na majibu ya maswali yafustayo:
1. wewe ni nani.
2. ni kwanini uko duniani.
3. Ni nini kitafuata baada ya maisha haya.

MWAMINI YESU UPOKEE WOKOVU
Soma bandiko lote ndiyo utaelewa...
 
Mkuu najaribu kukuelewa lakini natofautiana na mtazamo wako

Hiyo NADHARIA yako inaweza kufanya vitu vingi sana VISIWEPO

Binadamu ni kiumbe mdadisi na mjuzi sana, na ili UDADISI ufanye kazi hapa katikati ni lazima vitu vipewe maana na majina ili viweze kutumika katika UJUZI

MUDA ni matokeo ya udadisi wa ukomo wa jambo fulani kutukia.
Mfano wakati zama za kale kabisa kabla ya masaa wala kalenda hizijabuniwa
Utaitaje pale wanaume wanapokwenda kuwinda kutafuta chakula hadi watakapo rudi? Kwa walikua wanajua inabidi watafute HARAKA chakula na kurudi nyumbani ili watu wapate chakula wasife kwa njaa
Na kwamba ikiwa watatatafuta bila kupata ndani ya wakati muafaka watakuta wamekufa kwanjaa

Kwamba ukizama majini kuvua pweza utaiteje ule muda umetumia bila kuvuta hewa kabla hujarudi juu?
Kwamba usiporudi ndani ya huo muda wanajua lazima kunashida imekupata huko chini kwasababu ume pita ule “muda” ambao mtu anaweza kukaa bila kuvuta hewa

Mifano hii inaonyesha kwamba tunaishi against kitu fulani ambacho tunakimbizana nacho wakati wote....... ndio kikapewa jina kikaitwa MUDA

Muda ukazidi kugawanywa kulingana na ujuzi ulivyokua unakua, baada ya kugundua majira na mzunguko wa dunia ndio tukapata muda tunaotumia sasa

Muda wa mwezini na duniani ni sawa tu kinachotofautiana ni namna unavyogawa kulingana na mzunguko wake tu
Muda upo pale pale ni swala la kuamua tu kwamba kwenye mwezi mzunguko wake kamili ni dakika 90 lakini sisi tutaita ni siku moja

Kwahiyo Muda upo
 
Mayu umeongea jambo moja kubwa Sana... Ulimwengu upo tu, na sisi binadamu tunachofanya ni kuutafsiri na kuweka kanuni zinazotuwezesha kufaidi uwepo wa ulimwengu Kwa wakati husika.
 
Kwa Imani ya kidini
Binadamu aliumbwa na Mungu ndio mwanzo wake huo.
Kwa wenye Imani hii.
 
hakuna hasara kubwa duniani, kama hutokuwa na majibu ya maswali yafustayo:
1. wewe ni nani.
2. ni kwanini uko duniani.
3. Ni nini kitafuata baada ya maisha haya.

MWAMINI YESU UPOKEE WOKOVU
Mkuu tafadhali dadafua majibu ya maswali haya
 
Mkuu tafadhali dadafua majibu ya maswali haya
mkuu hili ni somo pana sana. ni la kiroho kwa sababu mtu ni roho. Hivyo cha msingi ni kuanza kujiuliza kwa moyo wa dhati, kisha Roho wa Mungu atakufunulia. majibu yake hayako kwa namna ya akili.

JESUS is Lord&Savior
 
mkuu hili ni somo pana sana. ni la kiroho kwa sababu mtu ni roho. Hivyo cha msingi ni kuanza kujiuliza kwa moyo wa dhati, kisha Roho wa Mungu atakufunulia. majibu yake hayako kwa namna ya akili.

JESUS is Lord&Savior
Mambo ya kiroho watu wanataka yajibiwe kiakili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…