🤔Mimi point yangu ni kwamba, Dunia na Binadamu havina mwanzo wowote ule.
Binadamu wapo tu hawana mwanzo wala mwisho.
Na ulimwengu hivyo hivyo.
Hakuna chanzo chochote kile cha kidini au kisayansi kilicho umba ulimwengu na Binadamu.
Ulimwengu na Binadamu vipo tu havina mwanzo wala mwisho.
Dunia Ina mazingile mengi Sana...
Absolutely Time, absolutely Space,Mkuu mimi sijui chanzo cha dunia
Scriptures za kidini zimejaa hekaya tupu na zinapingana kwasababu zimeandikwa na watu tu kama wewe
Sayansi haijui, ilichofanya ni kutengeneza THEORIES tu
Scriptures na sayansi wanatofautiana sana
Mimi ni muumini mzuri wa sayansi lakini Napata tabu sana kuanza kutumia theory za kisayansi na imani za vitabu kujua ulimwengu umefanyikaje
Absolutely Time, absolutely Space,Uuambaji uliofanikishwa na Supreme power umebase katika imani, utaelewa vizuri ukisoma mwenyewe kupitia vitabu vya dini. Umeenda mbali na kuelezea hata chanzo cha mtu, kwani alitokana na Supreme energy, hivyo huyo mtu akabeba sifa za kuishi nje ya muda(umilele), kwani hiyo Supreme power ilikuwepo hata kabla ya muda na itaendelea kuwepo hata baada ya muda. Hii ni kwa mujibu wa theory za dini.
Uumbaji uliobase kwa theory za Big bang umebase zaidi kwa logic ambapo unaonesha muunganiko wa tiny particals(atoms) kutengeneza object, na kwasababu particles zina masses hivyo zinakuwa affected by gravity, mwisho wake inatokea object kama stars, human being and so on. Lakini pia bado kuna dark matter nyingi tu still ni fumbo kwa science.
Sasa kwa theory zote za science na dini ukiziangalia kwa makini zinashabiiana na pia zinatofautiana. Mimi ukiweza ku verify kuwa kuna object inayoweza kuishi nje ya muda( umilele) nitakubaliana na wewe kuwa ulimwengu hauna chanzo.
Una hoja mkuu ebu itetee.Absolutely Time, absolutely Space,
Ila Mimi naona Time doesn't exist
Time ya kwenye mwezini ni tofauti na Mars, earth, Jupiter.Una hoja mkuu ebu itetee.
hakuna hasara kubwa duniani, kama hutokuwa na majibu ya maswali yafustayo:Hii ndiyo nadharia inayosemwa inatakiwa kukubaliwa na kila binadamu na ndiyo nadharia inayoitwa na baadhi ya watu kuwa ni kamilifu na timilifu.
Kuwa hakuna ajue wewe binadamu umetokea wapi na kwa nini upo ivo ulivo. Kuwa Binadamu hana kusudio lolote lile la kuwepo kwake duniani.
Na haileweki imekuwaje binadamu kuna mambo anayoyaita mema na mengine anayaita mabaya.
Hitimisho ni kuwa binadamu ni kiumbe kisichoelezeka.
Nakubaliana na wewe time is relative and not absolutely ndo maana time ya moon au planet nyingine ni tofauti na earth due to utofauti wa speed and gravity.Time ya kwenye mwezini ni tofauti na Mars, earth, Jupiter.
Hapa duniani tumejiwejea Muda, Muda wa kufirika Tu, Ndio maana DK, Saa,siku mwezi,mwaka vinajurudia Tu Yani ni hakuna mwisho. Yani Muda unaanza alafu unaishia palepale ulipoanzaia.
Mwaka huu NASA wameanzisha calendar ya kwenye mwezini, Kwa Hiyo vizazi vinavyokuja watakuta mwezini kuna calendar tayar, kumbe calendar haikuwepo on the first place.
China, Ethiopian, Jewish, Christians,butha, Islam butha Wana calendars zao na mambo Yana kwenda Tu 😂 kama hakuna calendars kabisa .
Actually badala ya kusema Time Mimi naona tusema circle AU mzunguko, coz Muda AU Time ni ule ule haubadiliki
Soma bandiko lote ndiyo utaelewa...hakuna hasara kubwa duniani, kama hutokuwa na majibu ya maswali yafustayo:
1. wewe ni nani.
2. ni kwanini uko duniani.
3. Ni nini kitafuata baada ya maisha haya.
MWAMINI YESU UPOKEE WOKOVU
Mkuu najaribu kukuelewa lakini natofautiana na mtazamo wakoTime ya kwenye mwezini ni tofauti na Mars, earth, Jupiter.
Hapa duniani tumejiwejea Muda, Muda wa kufirika Tu, Ndio maana DK, Saa,siku mwezi,mwaka vinajurudia Tu Yani ni hakuna mwisho. Yani Muda unaanza alafu unaishia palepale ulipoanzaia.
Mwaka huu NASA wameanzisha calendar ya kwenye mwezini, Kwa Hiyo vizazi vinavyokuja watakuta mwezini kuna calendar tayar, kumbe calendar haikuwepo on the first place.
China, Ethiopian, Jewish, Christians,butha, Islam butha Wana calendars zao na mambo Yana kwenda Tu 😂 kama hakuna calendars kabisa .
Actually badala ya kusema Time Mimi naona tusema circle AU mzunguko, coz Muda AU Time ni ule ule haubadiliki
Kwa wasio na Imani hiyo binadamu katokeaje kuwa duniani?Kwa Imani ya kidini
Binadamu aliumbwa na Mungu ndio mwanzo wake huo.
Kwa wenye Imani hii.
Jibu utalipata baada ya kuwa na Imani ya kidini la sivyo ni ngumu sana kupata jibu lake.Kwa wasio na Imani hiyo binadamu katokeaje kuwa duniani?
Mkuu tafadhali dadafua majibu ya maswali hayahakuna hasara kubwa duniani, kama hutokuwa na majibu ya maswali yafustayo:
1. wewe ni nani.
2. ni kwanini uko duniani.
3. Ni nini kitafuata baada ya maisha haya.
MWAMINI YESU UPOKEE WOKOVU
mkuu hili ni somo pana sana. ni la kiroho kwa sababu mtu ni roho. Hivyo cha msingi ni kuanza kujiuliza kwa moyo wa dhati, kisha Roho wa Mungu atakufunulia. majibu yake hayako kwa namna ya akili.Mkuu tafadhali dadafua majibu ya maswali haya
Mambo ya kiroho watu wanataka yajibiwe kiakili.mkuu hili ni somo pana sana. ni la kiroho kwa sababu mtu ni roho. Hivyo cha msingi ni kuanza kujiuliza kwa moyo wa dhati, kisha Roho wa Mungu atakufunulia. majibu yake hayako kwa namna ya akili.
JESUS is Lord&Savior
hapo ndipo pagumu, pagumu sana! tena sana.Mambo ya kiroho watu wanataka yajibiwe kiakili.