Baridi ipo ila haionekani!Eo
Roho ni nini?
Nafsi ni nini?
Muonekano wa hivi vitu upoje?
Kama havionekani, Uliwezaje kujua vitu hivi vipo?
Uchunguzi gani ulifanyika na utafiti upi una thibitisha uwepo wa Roho?
Thibitisha uhalasia wa vitu hivi, Na si mawazo yako ya kufikirika tu.
Mkuu. Utakuwa sawa iwapo consciousness inatokana na brain 100% na hakuna kingine out there zaidi ya ubongo.Ndoto ni imaginations, Hazipo kwenye uhalisia.
Ndoto zipo kwenye mawazo ya kufikirika, Sio kwenye uhalisia.
Kitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna zifuatazo:Baridi ipo ila haionekani!
Upepo upo ila hauoneoani!
Inasemwa; fulani ana akili! Lakini haionekani!
Upendo (love) upo lakini hauonekani!
Athari/matokeo ya hivyo ndivyo vinavyothibitisha uwepo wa hivyo!
Nakazia.Umepata nafasi ya kuishi katika hii dunia basi ishi kwa wema, kwa maana tunaishi Mara moja tu katika maisha kesho yetu ni fumbo kwetu.
Acha story za kufikirika.hata magar yakitazamana saiv jinsi yalivyo mengi barabarani yatakuwa yanasema hivi hivi kuwa sisi (magari) hatuna mwanzo wala mwisho tupo tupo tuu hatueleweki na tutaendelea kuwepo barabarani siku zote ...hayo magar hayajui kuwa kuna gari la kwanza lililo vumbuliwa na kiumbe ambaye ni binadamu..... bila shaka haya magari yatakuwa yanajidanganya tuu pasipokujua aliyeyavumbua (binadamu) akitaka anayatoa barabarani muda wowote na kuyaharibu au kuyatengeneza tena kama atakavoona yeye mwenyewe
Yaani nimesoma bandiko lako nachoweza kusema ni kwamba wewe ni Walking Dead.. unasubiri kuzikwa tu.Hii ndiyo nadharia inayosemwa inatakiwa kukubaliwa na kila binadamu na ndiyo nadharia inayoitwa na baadhi ya watu kuwa ni kamilifu na timilifu.
Kuwa hakuna ajue wewe binadamu umetokea wapi na kwa nini upo ivo ulivo. Kuwa Binadamu hana kusudio lolote lile la kuwepo kwake duniani.
Na haileweki imekuwaje binadamu kuna mambo anayoyaita mema na mengine anayaita mabaya.
Hitimisho ni kuwa binadamu ni kiumbe kisichoelezeka.
leta zako za uhalisia au ndo hizo za binadamu hana mwanzo wala mwisho???Acha story za kufikirika.
Kumbuka hapa ubongo bado, unafanya kazi.Mkuu. Utakuwa sawa iwapo consciousness inatokana na brain 100% na hakuna kingine out there zaidi ya ubongo.
Kinyume na hapo hakuna limitation na lolote linawezekana na tafsiri ya uhalisia haitafungwa na mwili na nyama ili uwe uhalisia.
Kwani, unapokuwa ndotoni, ukaota unakimbizwa na ngiri, wakati ule unapoteseka na hiyo ndoto unakuwa haupo katika uhalisia kwasababu mwili wako upo kitandani?
Ukifa, Ubongo una acha kufanya kazi completely. Fikra zote zina stop, Kiasi kwamba hata huo ulimwengu unapotea.Usipoamka ukafa ukazikwa tunathibitisha vipi kuwa huo ulimwengu uliokuwa unakimbizwa na ngiri nao unapotea sababu mwili wako umekufa?
Ili ndoto, iwe na muendelezo lazima Ubongo ufanye kazi. kifo kinafanya ubongo uache kufanya kazi kabisa.Tunathibitisha vipi kuwa uhalisia wa kifo si ndoto isiyokwisha ili tujiaminishe kuwa baada ya huu uhalisia wa mwili na ny.
Imethibitishwa kisayansi kuwa consciousness inakufa baada ya mwili kufa?Kumbuka hapa ubongo bado, unafanya kazi.
Na ubongo hufanya kazi wakati wote.
Ukifa, Ubongo una acha kufanya kazi completely. Fikra zote zina stop, Kiasi kwamba hata huo ulimwengu unapotea.
Ili ndoto, iwe na muendelezo lazima Ubongo ufanye kazi. kifo kinafanya ubongo uache kufanya kazi kabisa.
Hata ndoto hizo Haziwezekani..
Hebu elezea unavyo fahamu kuhusu binadamu.Yaani nimesoma bandiko lako nachoweza kusema ni kwamba wewe ni Walking Dead.. unasubiri kuzikwa tu.
Sasa kama "conscious" Haifi, Binadamu si angeweza kufahamu kinachoendelea?Imethibitishwa kisayansi kuwa consciousness inakufa baada ya mwili kufa?
Hakuna riport ya kisayansi inayothibitisha ukomo wa consciousness iwapo itahamishwa kwenye mwili usiokufa na Kama iwapo mwisho wa mwili huu ndio mwisho wake, kama unayo iweke hapa.Sasa kama "conscious" Haifi, Binadamu si angeweza kufahamu kinachoendelea?
Boss, Unahitimisha kwa takwimu zipi za kisayansi? Kama ni hisia zako unatumia huna tofauti na tunaosema Kuna MUNGU.Ubongo ukisha Stop, kila kitu kina Stop.
Mtoa mada amesema binadamu ni kiumbe kisichoelezeka Yani akijulikani Chanzo chake Wala mwisho wakeKwa nini unadhani kuku ana mwanzo?
Ukianza kuweka ulazima huu wa kwamba kuku ana mwanzo,
Lazima pia uoneshe mwanzo wa "mwanzo wa kuku"
Na ueleze mwanzo huo wa kuku, ulitoka wapi?
Na huko ulikotoka huo mwanzo wa "mwanzo wa kuku" mwanzo wake ni upi?
Unaota upo ulaya unakula samaki wakati ujawahi kwenda Wala kuimage hivyoMwanza ipo tayari kwenye uhalisia.
Huwezi kuota kitu ambacho Hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.
Vitu vyote vinavyo otwa kwenye ndoto angalau vipo kwa kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.
Huwezi kuota nje ya hapo.
Taarifa zote zilizomo kwenye ubongo ambazo unaweza kuziota ndotoni, Ni zile tu ambazo Angalau umeshawahi kuziona, kuzisoma, kuzishika, kuzisikia mahali fulani, na kuhadithiwa.
Huwezi kuota kitu kisicho kuwepo (Nothing) lazima uote "something" ambacho kwa namna fulani ubongo wako una taarifa nacho.
Kwani haujawahi kusikika lolote kuhusu ulaya?Unaota upo ulaya unakula samaki wakati ujawahi kwenda Wala kuimage hivyo
Kwa mfano wa ndoto, mimi huwa siwaelewi wanaosemaga wanaota ndoto gani sijui! Sijawai ota chochote najuaga labda ni mitume tu ndo walikuwa wanaota ndoto!Umewahi ota ndoto,ni jinsi gani unaweza thibitisha ndoto zipo.
Kwamba ni lazima kuota kwa vile tu kuna taarifa flan ndani ya ubongo!?Mwanza ipo tayari kwenye uhalisia.
Huwezi kuota kitu ambacho Hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.
Vitu vyote vinavyo otwa kwenye ndoto angalau vipo kwa kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.
Huwezi kuota nje ya hapo.
Taarifa zote zilizomo kwenye ubongo ambazo unaweza kuziota ndotoni, Ni zile tu ambazo Angalau umeshawahi kuziona, kuzisoma, kuzishika, kuzisikia mahali fulani, na kuhadithiwa.
Huwezi kuota kitu kisicho kuwepo (Nothing) lazima uote "something" ambacho kwa namna fulani ubongo wako una taarifa nacho.