Mkuu hii sio binadamu tu, kila kitu chenye asili ya hii dunia haikielezeki na akiwezi kufahamka kwa ukamilifu wake, ndio mana wametengeneza taasisi kama science na kuanzisha dini ili kuleta majibu ya kutunga na tusiwe na shauku ya kutaka kujua ukweli halisi
Historia ya Adam na eve/hawa sio kweli, na ufahamu wote wa dunia na outta space na galaxies sio kweli. Ulimwengu mzima ni hii dunia tu hakuna nje ya dunia nakila kitu kimo ndani ya ulimwengu huu,yaani nyota mwezi,jua sayari kila kitu kimo ndani ya hii dunia,
Hayo maigizo ya outer space sayari zenye udongo na mwezi wa kwenda mtu akatua na jua Iloilo umbali wa 53 mil miles ni uzushi mtupu
Ni phenomenal kubwa sana sisi binadamu tulio hai Tupo hapa saivi na tunaishi wengi wemepita kwa malaki ya miaka nyuma na wengi watakuja baada yetu kwa malaki ya miaka, hii dunia haina mwisho wa ukubwa na haina mwisho wa maisha
Waliokuja mwanzo na kuweza ku-collect info muhimu wametuzidi akili wanatudangabya tu, kuleta dini na science ili kutupumbaza watu wote dunia nzima.