Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Ni bora wakasema 'hawajui' au 'hawafahamu'Maswali ya kimantiki kama hili huwa hawajibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bora wakasema 'hawajui' au 'hawafahamu'Maswali ya kimantiki kama hili huwa hawajibu.
Ndio hapa sisi wengine tunaamini kuwa kuna nguvu kuu kuliko zote, tunasema yeye ndio chanzo cha sisi kuwa na utashi wote huu.Inakuwaje jamii kubwa iwe na hisia zinazofanana?? Yaani imewezekanaje dunia nzima watu waone kuwa kuua ni jambo baya??
Vitaje hivyo viumbe. Halafu unaposema "viumbe" unajua kwamba unazungumzia uumbaji?Kuna viumbe vipo so complicated kuliko binadamu so na huenda wao ni more special kuliko binadamu
Thibitisha udhaifu wa binadamu!!... matter of fact ni kwamba huenda pia binadamu ndio kiumbe dhaifu kuliko viumbe vyengine bt how would you know? You can't coz your so dumb kuona wewe upo complicated na special kuliko viumbe vyengine
Hawawezi kusema hawajui maana watawaangusha mashabiki wao.Ni bora wakasema 'hawajui' au 'hawafahamu'
Nguvu hiyo ilitufanya wote tukawa na hisia na akili, Ikatufanya kwa pamoja tujue hili ni baya hili ni zuriNdio hapa sisi wengine tunaamini kuwa kuna nguvu kuu kuliko zote, tunasema yeye ndio chanzo cha sisi kuwa na utashi wote huu.
Na hilo ndio tatizo, Hili jambo wanachukulia easy sana...Wao hawapo kujifunza ila wapo kuonyesha kwamba mitazamo yao ni sahihi siku zote na huwezi kuwabadilisha.Hawawezi kusema hawajui maana watawaangusha mashabiki wao.
Ili kitu ki-exist na kithibitike kama kipo within our reach kinapimwa na milango yetu ya fahamu, nje ya hapo hauwezi kuthibitisha condition wala jambo lolote without those 5 sensesBaridi ipo ila haionekani!
Upepo upo ila hauoneoani!
Inasemwa; fulani ana akili! Lakini haionekani!
Upendo (love) upo lakini hauonekani!
Athari/matokeo ya hivyo ndivyo vinavyothibitisha uwepo wa hivyo!
Kwa maana nyingine nje ya uwezo huo tulionao, hatuna uwezo wa kuthibitisha jambo jingine lolote lile.Ili kitu ki-exist na kithibitike kama kipo within our reach kinapimwa na milango yetu ya fahamu, nje ya hapo hauwezi kuthibitisha condition wala jambo lolote without those 5 senses
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitaje hivyo viumbe. Halafu unaposema "viumbe" unajua kwamba unazungumzia uumbaji?
Thibitisha udhaifu wa binadamu!!
Sifahamu chochote kuhusu chanzo chake.Idadi ya watu duniani inaongezeka kadri muda unavyozidi kwenda, Kwa maana hiyo ilianza na 1 mpaka hapa tulipofikia...Nini unachofahamu kuhusu binadamu huyo wa kwanza kuhusu chanzo chake ?
I know shit about myself how the hell would I know kuhusu chanzo cha milango ya fahamu? ... Milango ya fahamu ipo ili binadamu na wanyama waweze ku-survive coz i know for the fact without them we're doomedKwa maana nyingine nje ya uwezo huo tulionao, hatuna uwezo wa kuthibitisha jambo jingine lolote lile.
Pia swali linakuja kuwa hiyo milango ya fahamu kwa binadamu chanzo chake ni nini??
Ilibuniwa ama ipo tu bila ya sababu ya kuwepo kwake!!?
Sisi tuliosoma History tunajua chanzo chetu ni Jamii ya Manyani (Primates).Hii ndiyo nadharia inayosemwa inatakiwa kukubaliwa na kila binadamu na ndiyo nadharia inayoitwa na baadhi ya watu kuwa ni kamilifu na timilifu.
Kuwa hakuna ajue wewe binadamu umetokea wapi na kwa nini upo ivo ulivo. Kuwa Binadamu hana kusudio lolote lile la kuwepo kwake duniani.
Na haileweki imekuwaje binadamu kuna mambo anayoyaita mema na mengine anayaita mabaya.
Hitimisho ni kuwa binadamu ni kiumbe kisichoelezeka.
Yale manyani yanayoendelea kuwa manyani imekuwaje tena siku hizi hayageuki kuwa binadamu?Sisi tuliosoma History tunajua chanzo chetu ni Jamii ya Manyani (Primates).
Ilikuwaje hata hiyo mifumo ya fahamu ikawepo?Milango ya fahamu ipo ili binadamu na wanyama waweze ku-survive coz i know for the fact without them we're doomed
Hayo ni maswali mepesi sana na yanaulizwa na watu wa kawaida sana.Yale manyani yanayoendelea kuwa manyani imekuwaje tena simu hizi hayageuki kuwa binadamu?
Sawa. Watu wa kawaida wakati mwingine huwa hawapendi majibu mepesi.Hayo ni maswali mepesi sana na yanaulizwa na watu wa kawaida sana.
Kufa kumbe kunatokana na kuchoka? Kuchoka kitu gani maana hujafafanua kitu gani kinachochoka mpaka mtu afe!!We ishi ukichoka kufa mengine yaache kama yalivyo
Huwezi kupata majibu kwa kutumia 5 senses,Ili kitu ki-exist na kithibitike kama kipo within our reach kinapimwa na milango yetu ya fahamu, nje ya hapo hauwezi kuthibitisha condition wala jambo lolote without those 5 senses
Sent using Jamii Forums mobile app
Usingelikuwa unauliza maswali magumu ningekushauri usome SoMo la Archaeology.Sawa. Watu wa kawaida wakati mwingine huwa hawapendi majibu mepesi.