raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Wanaangalia vya kuchagua hawa πNanyi wanawake muige mfano wa kuku na vifaranga wake, anashughilika mwenyewe kuwalisha na jogoo mzalishaji hana habari. Mama kuku anashuhidia jogoo anamfukuza mtetea na wala haulizi wala hana wivu.
Njoo basi unionjeshe na mie kile anachopata huyo mume wa mtuπππShauri yako
Ushauri gani huo?Aaaah Mambo ya waume za watu ya Nini Tena?hayo Ni Mambo ya kishetani kabisaaa,hivi hujaona ushauri wa unique flower Jana?
Juz Nyerere day niliomba namba mahali kimasira kweli nikapewa nimefika nakah HV nakutana na msg kuwa naomba uninunulie vocha ya buku 2 ..sas nikajiuliza Ni namba tu imekua hayo je mambo mengineJamani ndiyo tunamalizia wikiendi natumai mko poa.
Basi wikiendi ilivyoanza nikaona ni busara kwenda mtembelea bibi huko kijijini kwake Mwanzo Mgumu, nikapokelewa kwa kishindo. Basi bwana, bibi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nilipokuwa napumzika chini ya mwembe nikagundua jambo la kipekee kuhusu jogoo.
Jogoo akiona chakula kiwe kikubwa au kidogo hali hicho chakula, bali anamwita tetea kwa madaha aje ale halafu yeye anasindikizia sindikizia kishkaji. Sasa nyie binadamu mnakwama wapi kuiga mfano? Mmekuwa walalamishi, kila siku humu nyuzi mpya za kulalamika, hamtaki kulisha matetea wenu, mara muwaite ombaomba, mara sijui nini.
Wajameni igeni mfano bora wa jogoo jamani, halafu hana hata kisasi pamoja na tetea kula mwamba ye kidogo tu[emoji106], binadamu sasa!
Jioni njema jamani.
Mzee acha kbsa unachukua nmb unajeuka unaomba vochaWewe ni kuku?
Wadada omba omba wamezidi.
Halafu siku hizi wanawake wote wanajiuza.
Na wanawake waliolewa nao marufuku kugawa papuchi njeWanaume walio oa marufuku kutoka nje ya ndoa ,watulie
Baby nikuambie kituDada Ni mwendo wa shwaaa
Hakuna namna wavumilie tu πππππWanaigopa na kuichukia Sana hii sentensi
Nakuja kulala kwako leo ila sina nauliππ Unajua kunikoleza Hadi najikuta napona.
Ehee thema bebe