Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,346
Teh teh teh. Lakini huyo mungu kwanini aliandaa hayo maisha mengine nje ya dunia?
Huko ni kwa ajili ya Malipo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh. Lakini huyo mungu kwanini aliandaa hayo maisha mengine nje ya dunia?
Mwanadam alipo umbwa kusudi la Mungu lilikuwa aishi milele duniani hapa. Lakini kwasababu baba yetu alianguka (Adam) mauti ilikuwa ndio hukumu pekee kwa mwanadam huyu na kama haitoshi hata uoto wa asili ulilaaniwa. Kwa hiyo duniani pakawa Sio mahali sahihi tena kwa binadam. Mungu akaamua kumkomboa mwanadam kwa kafara yake msalaban ili yeyote anaemwamini Mungu awe na uzima wa milele katika kristo Yesu. Yoh 14:1-6 .
Mungu ataiangamiza dunia hii
Mungu ataitengeneza dunia hii
Mungu atatawala nasi
maisha ni vita ya kiroho sisi ni wanajeshi kuna waasi na wazalendo tafuta ushindi BE A GREAT THINKER Cc juve2012
mkuu ni MUNGU si mungu
pili kinachoendelea duniani ni vita ya kumwangamiza shetani
ambayo itakuwa vita baada ya falme ya 7
THINK THINK SOMA DUNIA SI NYEPESI MPAKA UCHEKE HIVYO.
Sizungumzii nani wa kwanza kufa LAKINI nani chanzo cha mauti na jawabu la mauti
1] sorry kwa kudandia hapa!![]()
My sentiments exacly. Kwamba hakuna universal meaning and purpose. Mtu binafsi anaweza akaamua the meaning of life and purpose for his/her being here.. Na mtu anaweza pia kusema hakuna sababu yoyote ya kuwepo hapa.
This is where I fail to understand you.
Ukisema watu wameletwa kukamilisha jambo fulani, in a way, unamaana kwamba kuna some sort of design behind all this (universe and all)? Nikimaanisha yani kuna aliyewaleta ili waweze ku-serve a certain purpose. Je, nimekuelewa sawa?
Kwa sababu kama hiyo ndiyo maana yako, then it seems kuna a universal purpose for us humans being here. Hapa ndipo tunatopofautiana.
Mimi nikiona kwamba hii idea ya kuletwa ili kuserve purpose fulani ipo constructed na jamii husika kutokana na imani, mila na desturi za hiyo jamii. Therefore, this construct does not apply to everyone.
Mkuu kivipi hapo underline? Na pana mahusiano gani na hii mada?
Mnhhhh hata sijakuelewa
Ingawa sikukuuliza chanzo cha utii (nilikuuliza kuhusu mauti!)Chanzo KUKOSA UTII
JAWABU NI YESU UKIMWAMINI.
Kwahiyo lengo la kuishi ni starehe?Lengo la MUNGU wanadamu waishi kwa raha kusiwepo aina yeyote ya shida na msumivu. Kuwe na upendo halisi
Tunaishi ili tufurahie furaha ya asili aliyotupatia MUNGU.Furaha zenyewe ni hapa duniani na huko Mbinguni!!
huwezi ona semantic mana una upeo mdogo wa kufikiri hayo ndo majibu
Ukisema upeo mdogo basi hata wako mdogo maana umeshindwa kuwafanya watu wakuelewe unachomaanisha.
read the BIBLE
read the BIBLE