maisha ni vita ya kiroho sisi ni wanajeshi kuna waasi na wazalendo tafuta ushindi BE A GREAT THINKER Cc
juve2012
Baada ya tukio la uasi wa malaika mbinguni,uasi wa binadamu na malaika pale Eden,uasi wa malaika mara ya pili pale Hermon,uasi wa binadamu pale babylon,kifo cha Yesu pale Golgota,tuko katika plan B ambayo tukiiweza tutarudi Plan A in future times.Lakini ifahamike kwamba wokovu hauji bila ule ukengeufu kuja kwanza.Mungu anachuja viumbe wake.Halel ameachwa purposely,kuonyesha kama uasi dhidi ya Mungu ni jambo jema au baya.Na sasa umefika wakati wake wa kuachiwa.Anaivuruga sana dunia na ataendelea kuivuruga sana.This is satanic golden age,the age of aquaria,the age of satanic civilization,lakini kwa sababu uasi dhidi ya Mungu ni uovu,na mwisho wa uovu ni maangamizi,civilization hii imekuja na uharibifu.Mwisho wa uasi hauko mbali.Hii scenario ndio inayofanya watu washindwe kujua kwa nini wapo duniani.Ni kwa sababu hawajui kwa nini dunia iko hivi.Nawaomba waumize vichwa vyao kujua jibu la hilo swali la mwisho,kwa nini dunia iko hivi?imetoka wapi,then watajua ilipaswa kuwaje,na hivyo watajua wao ni nani na wana sehemu gani katika urithi huu,but look around you,billions of people around the world,hivi huyu aliyeumba wote hawa kawaumba ili walete chaos zote hizi?kwa nini hatufurahii maisha haya ya chaos?je,tuko peke yetu duniani?tusije tukawa tunafanya makosa kwa kudhani tuko peke yetu na hivyo kujipachika liabilities kwa kila kiendeleacho duniani na kumbe kukawa na viumbe wengine wenye influence kubwa katika hali iliyopo,wanaotupeleka wanakotaka wao,wanaotuondoa katika asili yetu na hivyo kuharibu uhusiano wetu na chanzo chetu.Thanks to God there is always whistleblowers.Historia ni whistleblower wetu.Mto wa maji ukishachafuka,then ukitaka maji masafi kwenye mto huo huo inabidi uufuatilie ulikoanzia,pale kwenye chemchemi yake,utapata maji safi,na pia ukikuta maji ya mto ni machafu kabisa,ukaufuatilia hadi unapoanzia na kukuta chemchemi inatoa maji machafu,ujue huo ni mto wa maji machafu,usiseme umechafuka,sema mto wa maji machafu,na kama unatafuta maji masafi,tafuta mto mwingine.Lakini kile unachoita wewe uchafu,mwingine atasema ni aina ya maji,akaipenda.Huenda mto huo unatoka katika ufa wenye volcanic activities,maji yamejaa sumu tangu mwanzo,ukajua ukauacha,mtu mwingine akapenda rangi ya maji,ukamtahadharisha,akakupuuza,akavutiwa na rangi,akanywa,tukamzika,sie tukaendelea kutafuta mto uliochafuliwa,na sio mto mchafu,wengine njiani wakaanza kupiga mayowe,jamani eeh,hii safari haiishi,tumechoka bwana,mito yote michafu tu,hakuna maana ya safari yetu(maisha),bora tungebaki misri kwa farao,tuendelee kula kitimoto,huku tukicheza ngoma ya zomari na nyoka!na mayowe haya ni mengi kweli siku hizi,ndipo hapo Halel anapataka ili apoteze kabisa mioyo hii rahisi,na ndipo hapo Elohi anapataka,aithibitishe imani ya wanaostahili kuendelea na safari,hao wanastahili kuishi.ni ukweli mchungu kumeza but ni mchungu kwa sababu katika ages zote hizi,tumeishi kwa kudanganywa,uongo ule wa Eden,tena siku hizi umepamba moto kweli, kwamba utakuwa kama Mungu,ukijua mema na mabaya,ila hakusema consequences za kujua mabaya.Sasa tukiwa tunalalamika kwa kuujua ubaya, amerudi tena,full of lies,unaweza kumwona hata humu Jf,na doctrine yake ile ile,akiwaambia mtakuwa kama Mungu..binadamu ni mungu,hakuna mungu zaidi ya binadamu mwenyewe,hakuna aliye juu yake,fanyeni meditation,mjitambue,msikie inner voice,mkutane na ascended (descended) masters,wawaongoze kufikia uungu wenu,mfikie viwango vya juu vya ufahamu etc etc...haya ni mafundisho ya kichawi yanayoenea toka enzi za babylon hadi leo..chaldean witchcraft,brought down to the world by the watchers,angelic beings called grigori,the fallen angels.Halel himself want to be like God,he is so obssesed with that,to the extent of talking a lot about it,spreading that lie everywhere he goes.beware,it's the age of aquarius,new age,age of deception,age of destruction.