Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Uislamu ni imani isiyojiamini ndio maana hapo qatar hawataruhusu wainjilisti wahubiri kipindi cha kombe la dunia na hata baada.
Sasa hio ni kutojiamini. Wanajihami mapema... hahah...
Hawatak kupoteza mtu hata mmoja, wanahofia watu wakisikiliza neno la mungu, mungu wa upendo, mungu wa huruma, mungu anaesamehe kutoka kwenye biblia watavutiwa na kuacha uislamu[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kwa mtu anayeona mambo kwa jicho la 3,mtaalamu wa kusoma mambo yanayojiri,nakuambia hivi wewe usiyekuwa na akili za kuzaliwa, kombe la dunia kwenda Qatar, imepeleka masuala ya kishoga kama hujui, utamaduni wa kizungu utabaki Qatar bila kupenda, japo Qatar wanasema hawataki masuala ya ushoga hizo zinaitwa vunga vunga.

Kwanza hujui Qatar wametoa kipi au wamekubaliana kipi mpka kombe la dunia likaenda huko,unaweza kuta wamekubaliana ushoga huenezwe ila kimya kimya, pombe zinaingia vinzuri tu
 
Siku hizi Wabongo wanazidi kuwa vichaa kila kukicha.

Hizi promo za dini zinapishana vipi na zile za HAKI SAWA ZA KIKE NA WATOTO?

Mnajiulizaga lakini kuwa MUNGU ni UPENDO, sasa ni kweli Buddhism, Paganism, Hinduism, Christianity, Rastafarians, Non Believers n.k wote watachomwa moto kiama kikifika hata kama baadhi ya Watu walikuwa na matendo mema kitabia duniani?

Huo si utumwa wa fikra sasa?

UPENDO ndiyo dini ya kweli kwa Binadamu yeyote, mengine ni mbwembwe tu...[emoji143]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Jambo la kuingiza quran kwenye mambo ya upuuzi kama mpira ambao ndani yake kuna mchanganyiko wa kamari na ufuska wote si jambo la sawa na sisi hatupaswi kushabikia hilo tukio.

Kama nchi ya qatar imeamua kuhost kombe la dunia wafanye tu wao kama wao ila wasihusishe na uislamu hii dini haina mwenye hati miliki nayo na si utamaduni wa nchi huu.
 
Allah kwani
Acheni unafiki. Jee huyo Allah alikuwa wapi wakati Qatar wanacharazwa mabao 2-0 na Equador nchi ambayo asilimia 92% ni Wakristu (80% Roman Catholics, 11% walokole).
Allah kwani ni mchezaji mkuu,kuna wakati akili tunaziacha chini ya meza.
 
Siku hizi Wabongo wanazidi kuwa vichaa kila kukicha.

Hizi promo za dini zinapishana vipi na zile za HAKI SAWA ZA KIKE NA WATOTO?

Mnajiulizaga lakini kuwa MUNGU ni UPENDO, sasa ni kweli Buddhism, Paganism, Hinduism, Christianity, Rastafarians, Non Believers n.k wote watachomwa moto kiama kikifika hata kama baadhi ya Watu walikuwa na matendo mema kitabia duniani?

Huo si utumwa wa fikra sasa?

UPENDO ndiyo dini ya kweli kwa Binadamu yeyote, mengine ni mbwembwe tu...[emoji143]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
LABDA KAMA MUNGU NI MOBUTU SESE SEKO.WANA TATIZO LA AFYA YA AKILI.
 
Sijaandika popote kuhusu povu lako inaonekana umeumizwa sana na yale matokeo. Chukua na haya england 5 vs iran 1
Kuna watu imewauma sana sheria za Qatar, hususani wenye tabia za ajabu ajabu, kama vipi msifuatilie mashindano haya,
 
Back
Top Bottom