Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Sentensi ya Zakir Naik kila anapoenda ni moja tu.

If Jesus is God, show me where he said
"I am God worship me".

Ndo kashikilia hapo hapo kila kukicha.
Nawakumbusha tu Zikir Naik ni Sharifu wa kiislamu.
Mwisho ataishia kuwa mganga wa kienyeji na mpiga ramli.
 
Watakao silimu ni wale wasiyejua Yesu ni nani ktk maisha yao,walioonja uzuri wa Yesu ktk maisha yao huwa hawayumbishwi na upepo wowote wa imani nyingine...na ndio maana huwezi ona Wakristo wakipiga au kuua kwa lengo la kumtetea Kristo,maana Yesu yeye ni Mungu mwenye nguvu,anajitetea na kujipigania mwenyewe...Petro alijaribu kumpigania wakati anakamatwa akamzuia.
 
Qatar, imemualika mhubiri mkali zaidi duniani, ambaye kwa maneno yake amefanikiwa kusilimisha mamilioni ya Wakristo duniani. Huyu ni bingwa Zakir Naik

Zakir Naik
tayari amefika Doha nchini Qatar kabla ya Kombe la Dunia la FIFA 2022, na atatoa mihadhara ya kidini katika muda wote wa mashindano nchini humo. Mamilioni ya Wakristo wahofiwa kusilimu.

View attachment 2422130

Wakati Kombe la Dunia la FIFA la 2022 linaanza saa moja jioni ya leo nchini Qatar, mhubiri maarufu wa Kiislamu mwenye Zakir Naik, tayari amewasili Doha nchini Qatar kabla ya Kombe la Dunia la FIFA 2022, na atatoa mihadhara ya kidini katika muda wote wa michuano hiyo nchini humo.

"Mhubiri Sheikh Zakir Naik yuko Qatar wakati wa Kombe la Dunia na atatoa mihadhara mingi ya kidini wakati wote wa Kombe la Dunia" ndani na nje ya viwanja.

View attachment 2422132
.................

Wakati huo huo Qatar Yaonyesha Hadithi za Mtume Muhammad (s.sa.w) Katika Maeneo ya Kombe la Dunia la FIFA 2022

View attachment 2422135

Wenyeji wa Kombe la Dunia la 2022 Qatar wamepamba kukaribisha ujio wa mashabiki wa soka. Mmoja wao anaonyesha dondoo za hadithi kutoka kwa Mtume Muhammad SAWW kwenye kona tofauti za barabara katika nchi ya Ghuba.

Kulingana na vyombo vya habari kadhaa vya humu nchini, michoro inayoonyeshwa inalenga kuutambulisha Uislamu kwa mashabiki wa soka ambao watakuja kutazama mashindano ya soka yanayofanyika kila baada ya miaka minne.

View attachment 2422136

Nukuu za hadith za Mtume (s.a.w.w.) ina maandishi ya kiarabyu na tafsiri ya Kiingereza. Michoro hiyo ina hadithi kuhusu huruma, hisani, na motisha ambazo zinawahimiza watu daima kufanya mema.

Baadhi ya hadithi ni pamoja na, “Kila jema ni sadaka”, “Asiyekuwa na huruma kwa wengine, hatatendewa huruma”, na “Jilindeni na Moto wa Jahannam”.

Qatar inaonekana kuchukua fursa ya Kombe la Dunia la 2022 kama msukumo wa kushiriki utamaduni na maadili yake na wageni wanaokuja kutoka kote ulimwenguni.

View attachment 2422138

Kombe la Dunia la FIFA 2022 nchini Qatar limebakiwa na masaa machache tu, limeratibiwa kuanza Novemba 20 hadi Desemba 18.

Toleo la mwaka huu litakuwa ni mashindano ya kwanza kuandaliwa Mashariki ya Kati, ya kwanza katika nchi yenye Waislamu wengi, na ya kwanza kufanyika mwishoni mwa mwaka wa kalenda, mwezi Novemba na Desemba.

Kwa hiyo World Cup imegeuka kusilimishana? Hivi nyie akili zenu mnageuka vichaa huku mkiwa mnatembea, maana ya ukichaa unageuza yale yanayotakiwa kufanywa ww unafanya mengine kabisa.. Imagine people need to enjoy fooball, ww unakuja silimisha watu, ni ukichaa huo, mkiitwa shithole ni sawa kabisa.
 
Wadhungu wamepatikana walahi!
Kwenye kila kona wamebanwa mpaka waandishi wa habari kutoka Israel [emoji1134]
Duh kaaazi kweli kweli walahi
 
Sentensi ya Zakir Naik kila anapoenda ni moja tu.

If Jesus is God, show me where he said
"I am God worship me".

Ndo kashikilia hapo hapo kila kukicha.
Nawakumbusha tu Zikir Naik ni Sharifu wa kiislamu.
Mwisho ataishia kuwa mganga wa kienyeji na mpiga ramli.
Na hili je
Screenshot_20221126-175122_TikTok.jpg
 
Dah huyu jamaa hawezi mpita Apostle Mwamposa ndio anayeoongoza kwa kuwaleta waslam kwa Yesu kwa sasa
 
Hakuna Mkristo kamili anayeweza kusilimu na kuwa muislamu.

Huyo Allah mungu wenu anathibitisha hilo, hao ni wakristo jina tu.

Surah Al-Baqarat Ayah 120

وَلَن تَرۡضَىٰ عَنكَ ٱلۡيَهُودُ وَلَا ٱلنَّصَٰرَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمۡۗ قُلۡ إِنَّ هُدَى ٱللَّهِ هُوَ ٱلۡهُدَىٰۗ وَلَئِنِ ٱتَّبَعۡتَ أَهۡوَآءَهُم بَعۡدَ ٱلَّذِي جَآءَكَ مِنَ ٱلۡعِلۡمِ مَا لَكَ مِنَ ٱللَّهِ مِن وَلِيّٖ وَلَا نَصِيرٍ
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

Allah anajua Wayahudi na Wakristo wamesha ijua KWELI.
na hawawezi kuiacha kamwe.

Yaani Mkristo aanze vipi kulisujudia Jiwe Jeusi la Makka.

Aanze vipi kumwomba mungu anayesikia lugha moja tu Kiarabu.

Aanze vipi kufanya ibada za kulizunguka Al-Qaaba huku kavaa kitambaa tu chepesi cheupe bila nguo za ndani.

Aanze vipi kuingia dini ya Majini ambao ni maadui wa Ukristo.

Allah analitambua hilo
 
Back
Top Bottom