Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Muongo wewe.. mitume na manabii wote wametokea uyahudini, kwa maana mwamba Mungu aliweka maagano mbali mbali kwa kipindi tofauti na wayahudi .. hivo hakuna Nabii wakati Mtume aliyetoka nje ya uyahudi kama yupo mtaje. Mtume na Nabii wa mwisho alikuwa ni Yesu Kristin, uyo Muddy sijui katokea katika agano gani. Maana Mungu hakuweka maagano na waarabu
Hata Paulo aliyekuketea dini ya ukristo anajua kuwa Kuna agano kwa Isihaka na na agano kwa Ishmael

Isihaka amemzaa wana wa Israel na Ishmael amezaa warabu wa Saudi Arabia

Wagalatia 4:21-25 (KJV)
Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je! Hamwisikii sheria?
Kwa maana imeandikwa ya kuwa, Ibrahimu alikuwa na wana wawili mmoja kwa mjakazi, na mmoja kwa mwungwana.
Lakini yule wa mjakazi alizaliwa kwa mwili, yule wa mwungwana kwa ahadi.
Mambo haya husemwa kwa mfano; kwa maana hawa ndio kama maagano mawili, moja kutoka mlima Sinai, lizaalo kwa utumwa, ambalo ni Hajiri.
Maana Hajiri ni kama mlima Sinai ulioko Arabuni, umelingana na Yerusalemu wa sasa; kwa kuwa anatumika pamoja na watoto.
 
Wakati uislam, Quran na Allah hawana siku ya Ibada.
Hakuna sehemu nimesema kwamba waislamu hawana siku ya ibada ndugu,niljchokisema ni kwamba waislamu KILA SIKU KWAO NI SIKU YA IBADA.

Hivyo waisilamu wanaabudu mpaka hiyo jumamosi kwa sababu nayo ni siku na waislamu wanaabudu kila siku.
Bado unaona Yehova na Allah ni mungu yuleyule?
Hata kwemye torati na injili lazima kuna mambo yatakuwa tofauti japokuwa yote yametoka kwa yehova.

Kwa sababu kama kila kilichokuepo kwenye torati ndio kile kile kilichokuepo kwenye injili basi haikuwa na haja ya vitabu hivyo kuwa na majina tofauti.

Hivyo utofauti wa maandiko hauthibitishi kwamba yanatoka kqenye source tofauti kwa sababu hata torati,zaburi na injili lazima kuwe na tofauti ya maandiko lakini tofauti hiyo haiwi hoja kwamba vitabu hivi vyote sio vya yehova.

Kwa mantiki hiyo kutaka kusema Allah na yehova sio mmoja eti kwa sababu wa utofauti wa kimaandiko hapo unataka kuleta hoja ingine kwamba torati na injili hazitoki kwa yehova zote bali moja itakuwa sio ya yehova kwa sababu ya utofauti wa maandiko yaliyokuwepo katika vitabu hivyo.
 
Allah hakumpa Musa Kule Mlimani Sheria 10 kwenye mbao?
Kama alimpa naomba unitajie Kwa mujibu wa Quran katika mtiririko wake.
Kama hakuna pia nijuze
Hizo sheria kumi za torati huwezi kuzikuta kwenye injili kama zilivyoandikwa vile vile kwenye mtiririko wa torati,hivyo kwa mtazamo wako huu maana yake torati na injili kuna kimoja sio cha yehova kwa sababu ingekuwa vyote vya yehova si vingefanana kila litu bwana ?
Kama hakuna pia nijuze
Sio kwenye torati tu na qurani bali hata kwenye torati na zaburi kuna mambo mengi yako tifauti,sasa kwa muono wako unaoenda nao hapa maana yake unatuambia kwamba vitabu vikiwa havifanani maandiko basi havitoki kwenye source moja(yehova) jambo ambalo sio sawa kiakili na kiimani pia.
 
Quran ni kitabu Cha mwisho Cha Allah/Yehova aliyempa mtume wa mwisho ambae ni mtume Muhammad

Ndani ya Quran Kuna
1)Amri Sheria na hukumu kwa ajili ya umati Muhammad

2)Mawaidha Kwa watu wote

3) Hadithi za mitume kabla ya Muhammad Yani Nuhu, Ibrahim, Luti Musa,Daudi Suleiman, Yesu na wengine wengi

Sheria alizopewa Musa zipo katika kitabu Chake Cha taurati alichopewa na Allah miaka 2500 kabla ya Kuja mtume Muhammad

Jamii zimekuwa zikiamini miungu tofauti tofauti
Wafilisti- Dagoni
Wacanaani- Baali
Wagiriki- athene, zeus, poseidon
Warumi- athene
Wachina- budha
Wahindi- shiva, krishna
Waarabu- allah
Waisrael - yehova

Vipi jamii hizo zote utasema zinaabudu mungu mmoja
 
Hizo sheria kumi za torati huwezi kuzikuta kwenye injili kama zilivyoandikwa vile vile kwenye mtiririko wa torati,hivyo kwa mtazamo wako huu maana yake torati na injili kuna kimoja sio cha yehova kwa sababu ingekuwa vyote vya yehova si vingefanana kila litu bwana ?

Sio kwenye torati tu na qurani bali hata kwenye torati na zaburi kuna mambo mengi yako tifauti,sasa kwa muono wako unaoenda nao hapa maana yake unatuambia kwamba vitabu vikiwa havifanani maandiko basi havitoki kwenye source moja(yehova) jambo ambalo sio sawa kiakili na kiimani pia.

Kwa hiyo ni wapi Waislam watasoma Torati ikiwa kwenye Quran, kitabu Chao kikuu cha Muongozo hakuna Torati?
Wakristo wao wanasoma Biblia ambapo ndani yake kuna vitabu vyote vitatu yaani Torati, Zaburi na Injili kumaanisha Injili ni muendelezo wa Uyahudi.

Lakini kwenye kitabu cha Quran hakuna hivyo vitabu vitatu zaidi ya kunyofoa nyofoa baadhi ya Hadithi, Aya na baadhi ya Wahusika.

Ndio maana kwenye Uzi wangu wa Huu👉👉Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Na ukilinganisha na maelezo yako ni kwamba unakiri kuwa Quran haijitoshelezi yenyewe Kama yenyewe hivyo haiwezi kutumika kama Rejea kuu katika Waamini wa dini na wasomi wa Taaluma ya Dini.

Nikirejea kwenye hoja ya Leo,

Unafikiri ni Kwa nini Yehova yeye aliwaagiza watu washike Sabato na manabii karibu wote walishika Sabato na hata Muhammad alishawahi kukiri kuwa Wayahudi walishika Sabato na Wale ambao hawakushika waliadhibiwa.
Je ni Kwa nini Allah hakumuagiza Muhammad kushika Sabato ilhali ni moja ya amri kuu alizoziandika kwenye mbao Kule Mlimani?

Huoni Allah na Yehova ni miungu wawili tofauti Kwa hoja za sheria zao?
 
Kwa hiyo ni wapi Waislam watasoma Torati ikiwa kwenye Quran, kitabu Chao kikuu cha Muongozo hakuna Torati?
Wakristo wao wanasoma Biblia ambapo ndani yake kuna vitabu vyote vitatu yaani Torati, Zaburi na Injili kumaanisha Injili ni muendelezo wa Uyahudi.

Lakini kwenye kitabu cha Quran hakuna hivyo vitabu vitatu zaidi ya kunyofoa nyofoa baadhi ya Hadithi, Aya na baadhi ya Wahusika.

Ndio maana kwenye Uzi wangu wa Huu👉👉Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Na ukilinganisha na maelezo yako ni kwamba unakiri kuwa Quran haijitoshelezi yenyewe Kama yenyewe hivyo haiwezi kutumika kama Rejea kuu katika Waamini wa dini na wasomi wa Taaluma ya Dini.

Nikirejea kwenye hoja ya Leo,

Unafikiri ni Kwa nini Yehova yeye aliwaagiza watu washike Sabato na manabii karibu wote walishika Sabato na hata Muhammad alishawahi kukiri kuwa Wayahudi walishika Sabato na Wale ambao hawakushika waliadhibiwa.
Je ni Kwa nini Allah hakumuagiza Muhammad kushika Sabato ilhali ni moja ya amri kuu alizoziandika kwenye mbao Kule Mlimani?

Huoni Allah na Yehova ni miungu wawili tofauti Kwa hoja za sheria zao?


Hii ndio shida ya watu wasiojua elimu ya kiungu (divine knowlegde) na mahusiano yake, ni kwanini leo tunatakiwa tufuate Qur'an badala ya maandiko mengine?!--- hilo na mengine ni swali litakalojibiwa katika mada nitakayoiandaa na wewe kukaribishwa kujifunza licha ya kwamba wapo watakaokujibu sasa katika hii hoja yako, mada yake haihitaji majibu mafupi kwa mtu wa kawaida kama wewe.
 
Binadamu tuko kwenye kundi la Great Apes, tunashare 99% ya Dna zetu,tukiangalia wenzetu Bonobo Chimps ndio tunajua hizi tabia tumezitoa wapi, Bonobo Chimps wanalawitiana na kusagana, ila sijawaona wakifanya Oral sex, labda kama kuna Watu walioona ila mimi nakiri sijaona.

Tusilaumu sana Ushoga! Ushoga! ni natural thing.

Ila nina uhakika sana Bonobo akituona tunabishania Vitambaa vyenye "Picha" ya Upinde wa Mvua nadhani Wanaweza kucheka siku nzima.
Kwenye hii picha inakuonyesha Bonobo wakilawitiana
chimpanzee-having-sex-with-a-lady.jpg


Na hapa tunaona Bonobo jike akijipoza Heat liliipozidi
downloadfile-6.jpg


Kwa hiyo hizi tabia ni natural na kwa Great Apes including us Humanziis na Religion ni Man made.

Tusiwatenge Mashoga Wasagaji na wengineo.
 
Hii ndio shida ya watu wasiojua elimu ya kiungu (divine knowlegde) na mahusiano yake, ni kwanini leo tunatakiwa tufuate Qur'an badala ya maandiko mengine?!--- hilo na mengine ni swali litakalojibiwa katika mada nitakayoiandaa na wewe kukaribishwa kujifunza licha ya kwamba wapo watakaokujibu sasa katika hii hoja yako, mada yake haihitaji majibu mafupi kwa mtu wa kawaida kama wewe.

Nasubiri hiyo Mada.
Iwe na Reference za uhakika,
 
Mtanzania wa magomeni anavaa kanzu anajiona kavaa vazi la kiislamu kumbe kavaa vazi la kiarabu.
 
Jamii zimekuwa zikiamini miungu tofauti tofauti
Wafilisti- Dagoni
Wacanaani- Baali
Wagiriki- athene, zeus, poseidon
Warumi- athene
Wachina- budha
Wahindi- shiva, krishna
Waarabu- allah
Waisrael - yehova

Vipi jamii hizo zote utasema zinaabudu mungu mmoja
Mungu wa kweli ni mmoja tu aliyeumba mbingu na aridhi na viumbe vyote ukiwepo wewe hao wengine wote ni fake
 
Kwa hiyo ni wapi Waislam watasoma Torati ikiwa kwenye Quran, kitabu Chao kikuu cha Muongozo hakuna Torati?
Sio lazima waislamu kusoma vitabu vya manabii wa nyuma kwa sababu kitabu cha nabii wa sasa kipo hivyo kitatumika sana hiko.
Na ukilinganisha na maelezo yako ni kwamba unakiri kuwa Quran haijitoshelezi
Wewe unakiri pia kwamba Qurani inajitosheleza pale wewe uliposema kwamba

Nanukuu "Lakini kwenye kitabu cha Quran hakuna hivyo vitabu vitatu .."

Kauli yako hiyo inathibitisha kwamba Qurani inajitisheleza ndio maana ukakiri kwamba hakuna hivyo vitabu,so qurani imesimama yenyewe.

Unafikiri ni Kwa nini Yehova yeye aliwaagiza watu washike Sabato na manabii karibu wote walishika Sabato na hata Muhammad alishawahi kukiri kuwa Wayahudi walishika Sabato na Wale ambao hawakushika waliadhibiwa.
Hiyo ni kawaida ya Mungu kutoa amri mbalimbali kwa waja wake na wala hakuna umuhimu wa kujua kwa nini anatoa maagizo hayo,labda useme wewe.
Je ni Kwa nini Allah hakumuagiza Muhammad kushika Sabato ilhali ni moja ya amri kuu alizoziandika kwenye mbao Kule Mlimani?
kwenye torati kuna maandiko yapo humo na hayapo kwenye injili,so utasema kwamba injili na torati havijatoka kwa mmoja kwa sababu maandiko ya humo hayafanani yote ?
 
Tunamjuaje huyo Mungu mmoja wa kweli? Tofauti yake na hao fake ni ipi?
Mungu wa kweli aliwasiliana na bunaadam kupitia manabii na vitabu vyake na kutuwekea utaratibu wa kuishi hapa duniani na maisha baada ya hapa duniani

Labda na wewe useme hiyo miungu mingine akina Dagoni na wengine waliwasiliana vipi na watu wao
 
Niliandika uzi jana nikisema kinacho fanyika nchini Qatar ni ku promote ushoga in an indirect way.

Nikasema there is no bad publicity.

Nikasema kwamba mambo mengine ili yasiendelee kuwepo hayafai kabisa kuzungumzwa zungumziwa.

Katika nchi zenye maadili ya kiislamu ni mwiko hata kuyazungumzia mambo ya ushoga hadharani KWA sababu WANAJUA kuyazungumzia mambo hayo ni kuyapromote.

Kama hautaki kitu kisiwepo kwenye jamii yako BASI hakikisha hata kuzungumzwa hakizungumzwi kabisa.

KWA mfano Saudi Arabia hawataki kabisa Ukristo. So wameweka sheria yao dhidi ya ukristo.

Ni kosa la jinai kwa msaudia kuwa Mkristo. Adhabu yake ni kifo.

Ni marufuku kabisa kuzungumza kuhusu ukristo ndani ya Saudia.

Ni kosa la jinai kuhubiri ukristo ndani ya Saudia. Ukibainika adhabu yake ni kuchinjwa.

Kama wewe ni mgeni na ni Mkristo fanya ukristo wako chumbani kwako ukitoka nje kausha.

Wanataka kujenga jamii ya watu ambao hawaamini kabisa katika uwepo wa kitu kinacho itwa ukristo.

Kwanini wanafanya hivyo? Kwa sababu WANAJUA kuzungumza zungumza kuhusu ukristo kunaweza kufanya baadhi ya watu wawe curious kutaka kujua ukristo ni nini na mwisho wa siku kujikuta wamekuwa wakristo.

Mkristo mmoja anaweza kuambukiza mamilioni ya wasaudia kuwa wakristo jambo ambalo Saudia hawalitaki kwenye nchi yao. Wanataka kuwa na nchi yenye dini moja tu.

Vivyo hivyo KWA habari za ushoga..habari hizo hazipaswi kuzungumziwa kabisa.

Tunapaswa kujenga jamii ya watu ambao hawaamini kama ushoga ni jambo linalo weza kufanywa na binadamu mwenye akili timamu.

Mwiko huu umevunjwa Qatar. Waarabu wameingia mkenge. Wana promote agenda ya Marekani kutaka ushoga uzungumziwe. Nguvu wanayo tumia Qatar kupinga ushoga inafanya ushoga uzungumziwe na kutajwa zaidi middle east.

KWA wamerakani hii inaweza kuwa lango la kuuingiza ushoga middle east. Wameanza kwa kupandikiza wazo lao kwwnza then taratibu wataanza kutumia mbinu zao kuingia mazima.
Uislamu ndio dini pekee duniani miongoni mwa dini kuu tatu za ki ibrahimia ( wayahudi, wakristu, waislamu) ambayo bado ina misimamo thabiti dhidi ya ushoga.

Wamarekani wanaanza kubomoa huo msimamo taratibu.

Putin kashtukia huo mchezo. Jana katangaza decree mpya kwamba ni marufuku hata kuutaja ushoga iwe ni kwenye filamu, muziki au mahali popote pale hadharani.

This is what i was actually talking about


Screenshot_20221125-155200.png
 
Hata punyeto inahamasishwa Sana humu jf kupitia nyuzi za watu.
Kuna watu walikuwa hawajui maana ya nyeto bt kila wanapoingia humu wanakumbana na nyuzi za punyeto,then wanakuwa curious nayo then they finally put it into practice.
 
Niliandika uzi jana nikisema kinacho fanyika nchini Qatar ni ku promote ushoga in an indirect way.

Nikasema there is no bad publicity.

Nikasema kwamba mambo mengine ili yasiendelee kuwepo hayafai kabisa kuzungumzwa zungumziwa.

Katika nchi zenye maadili ya kiislamu ni mwiko hata kuyazungumzia mambo ya ushoga hadharani KWA sababu WANAJUA kuyazungumzia mambo hayo ni kuyapromote.

Kama hautaki kitu kisiwepo kwenye jamii yako BASI hakikisha hata kuzungumzwa hakizungumzwi kabisa.

KWA mfano Saudi Arabia hawataki kabisa Ukristo. So wameweka sheria yao dhidi ya ukristo.

Ni kosa la jinai kwa msaudia kuwa Mkristo. Adhabu yake ni kifo.

Ni marufuku kabisa kuzungumza kuhusu ukristo ndani ya Saudia.

Ni kosa la jinai kuhubiri ukristo ndani ya Saudia. Ukibainika adhabu yake ni kuchinjwa.

Kama wewe ni mgeni na ni Mkristo fanya ukristo wako chumbani kwako ukitoka nje kausha.

Wanataka kujenga jamii ya watu ambao hawaamini kabisa katika uwepo wa kitu kinacho itwa ukristo.

Kwanini wanafanya hivyo? Kwa sababu WANAJUA kuzungumza zungumza kuhusu ukristo kunaweza kufanya baadhi ya watu wawe curious kutaka kujua ukristo ni nini na mwisho wa siku kujikuta wamekuwa wakristo.

Mkristo mmoja anaweza kuambukiza mamilioni ya wasaudia kuwa wakristo jambo ambalo Saudia hawalitaki kwenye nchi yao. Wanataka kuwa na nchi yenye dini moja tu.

Vivyo hivyo KWA habari za ushoga..habari hizo hazipaswi kuzungumziwa kabisa.

Tunapaswa kujenga jamii ya watu ambao hawaamini kama ushoga ni jambo linalo weza kufanywa na binadamu mwenye akili timamu.

Mwiko huu umevunjwa Qatar. Waarabu wameingia mkenge. Wana promote agenda ya Marekani kutaka ushoga uzungumziwe. Nguvu wanayo tumia Qatar kupinga ushoga inafanya ushoga uzungumziwe na kutajwa zaidi middle east.

KWA wamerakani hii inaweza kuwa lango la kuuingiza ushoga middle east. Wameanza kwa kupandikiza wazo lao kwwnza then taratibu wataanza kutumia mbinu zao kuingia mazima.
Uislamu ndio dini pekee duniani miongoni mwa dini kuu tatu za ki ibrahimia ( wayahudi, wakristu, waislamu) ambayo bado ina misimamo thabiti dhidi ya ushoga.

Wamarekani wanaanza kubomoa huo msimamo taratibu.

Putin kashtukia huo mchezo. Jana katangaza decree mpya kwamba ni marufuku hata kuutaja ushoga iwe ni kwenye filamu, muziki au mahali popote pale hadharani.

This is what i was actually talking about


View attachment 2427272
Siyo Putin kaka.

Ni waruai kupitia wabunge wao..
 
Wana Qatar Mungu awabariki sana, tupo nanyi all the time incha Allah, kazieni hapo hapo, hakika ninyi ni wanaume haswaa
 
Niliandika uzi jana nikisema kinacho fanyika nchini Qatar ni ku promote ushoga in an indirect way.

Nikasema there is no bad publicity.

Nikasema kwamba mambo mengine ili yasiendelee kuwepo hayafai kabisa kuzungumzwa zungumziwa.

Katika nchi zenye maadili ya kiislamu ni mwiko hata kuyazungumzia mambo ya ushoga hadharani KWA sababu WANAJUA kuyazungumzia mambo hayo ni kuyapromote.

Kama hautaki kitu kisiwepo kwenye jamii yako BASI hakikisha hata kuzungumzwa hakizungumzwi kabisa.

KWA mfano Saudi Arabia hawataki kabisa Ukristo. So wameweka sheria yao dhidi ya ukristo.

Ni kosa la jinai kwa msaudia kuwa Mkristo. Adhabu yake ni kifo.

Ni marufuku kabisa kuzungumza kuhusu ukristo ndani ya Saudia.

Ni kosa la jinai kuhubiri ukristo ndani ya Saudia. Ukibainika adhabu yake ni kuchinjwa.

Kama wewe ni mgeni na ni Mkristo fanya ukristo wako chumbani kwako ukitoka nje kausha.

Wanataka kujenga jamii ya watu ambao hawaamini kabisa katika uwepo wa kitu kinacho itwa ukristo.

Kwanini wanafanya hivyo? Kwa sababu WANAJUA kuzungumza zungumza kuhusu ukristo kunaweza kufanya baadhi ya watu wawe curious kutaka kujua ukristo ni nini na mwisho wa siku kujikuta wamekuwa wakristo.

Mkristo mmoja anaweza kuambukiza mamilioni ya wasaudia kuwa wakristo jambo ambalo Saudia hawalitaki kwenye nchi yao. Wanataka kuwa na nchi yenye dini moja tu.

Vivyo hivyo KWA habari za ushoga..habari hizo hazipaswi kuzungumziwa kabisa.

Tunapaswa kujenga jamii ya watu ambao hawaamini kama ushoga ni jambo linalo weza kufanywa na binadamu mwenye akili timamu.

Mwiko huu umevunjwa Qatar. Waarabu wameingia mkenge. Wana promote agenda ya Marekani kutaka ushoga uzungumziwe. Nguvu wanayo tumia Qatar kupinga ushoga inafanya ushoga uzungumziwe na kutajwa zaidi middle east.

KWA wamerakani hii inaweza kuwa lango la kuuingiza ushoga middle east. Wameanza kwa kupandikiza wazo lao kwwnza then taratibu wataanza kutumia mbinu zao kuingia mazima.
Uislamu ndio dini pekee duniani miongoni mwa dini kuu tatu za ki ibrahimia ( wayahudi, wakristu, waislamu) ambayo bado ina misimamo thabiti dhidi ya ushoga.

Wamarekani wanaanza kubomoa huo msimamo taratibu.

Putin kashtukia huo mchezo. Jana katangaza decree mpya kwamba ni marufuku hata kuutaja ushoga iwe ni kwenye filamu, muziki au mahali popote pale hadharani.

This is what i was actually talking about


View attachment 2427272
Nakumbuka huko Saudia miaka ya tisini mwishoni kuna mwanadada mmoja alibahatika kuisoma Biblia mwishowe akawa Mkristu. Kabla Mamlaka hazijamshtukia, aliikimbia nchi yake na kwenda Marekani ambako aliandika kitabu kiitwacho, "I Dared to Call Him Father"! Kwa Marekani na Ulaya kilikuwa ni bestseller lakini nyumbani kwao kilipigwa marufuku, masikini!

Nafikiri tangu hapo walipata somo zuri sana kuhusu Ukristu!!!!
 
Back
Top Bottom