Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Uislam ni Dini ya kiarabu, na kitabu Chao ni Quran, Mungu wao ni Allah, Waandishi wake ni waarabu.
Mkuu unachokisema hakina usahihi kwa sababu unaitafsiri dini kwa mujibu wa watu iliowashukia.

Unachanganya baina ya uislamu na Qurani,ulitakiwa useme qurani ni kitabu cha kiarabu kwa sababu kimeshuka kwa lugha hiyo.

But ukizungumzia uislamu sio dini ya kiarabu bali ni dini ya mataifa yote kwa sababu unawalingania watu wote kwenye hiyo dini.
Uyahudi ni Dini ya Wayahudi na waisrael.
Hawa wanavitabu vingi, kitabu chao kikuu ni Torati, ingawaje vipo vitabu vidogo kama Zaburi, waandishi wake ni mayahudi wenyewe. Mungu wao ni Yehova.
Unaposema uyahudi ni dini ya wayahudi mkuu haijakaa wazi kwamba ilianza dini ya uyahudi kisha ambao walifuata dini hiyo ndio wakaitwa wayahudi ?

Au walianza wayahudi kisha ikaja dini ambayo haijulikwni jina lake ikawashukia wayahudi ndipo wakaona dini hiyo isisyo na jina waipe jina la wale ambao iliwateremkia ambao ni wayahudi ?

Haijakaa wazi bado ndugu robert
Ukristo na uislam hauwezi kukataa kuwa haujafanya copy na ku-paste baadhi ya visa vya Mayahudi.
Ulishasema juu kwamba mayahudi katika vitabu vyao ni torati na zaburi hivyo ni dhaahir kuwa mayahudi walifuata muongozo wa vitabu hivyo.

Kwa mantiki hiyo dini ya wayahudi ilikuwa ndani ya taurati ama zaburi,na hivyo vitabu pia uislamu unasema ni katika vitabu vya kiislamu.

Hivyo uislamu kukopi maandiko na visa vya wayahudi sio tatizo kwa sababu hao wayahudi nao walifuata uislamu ule ule wa kwenye taurati na zaburi.
 
Mkuu unachokisema hakina usahihi kwa sababu unaitafsiri dini kwa mujibu wa watu iliowashukia.

Unachanganya baina ya uislamu na Qurani,ulitakiwa useme qurani ni kitabu cha kiarabu kwa sababu kimeshuka kwa lugha hiyo...

Kila Jambo linachanzo chake.

Uislam chanzo chake kinafahamika na aliyeuanzisha anajulikana. Hilo tulishahadiliana na wenzako humu wakakubali.

Kabla ya Muhammad hapakuwa na uislam, sijui Kwa nini Waislam hamtaki kuelewa Jambo hili.

Kabla ya Kristo hapakuwa na Ukristo mbona Wakristo wanalijua hili na wapo wazi Kabisa.

Ila ninyi Waislam moja ya madhaifu yenu ni kutokubali ukweli na kulazimisha mambo ambayo sio yenu kuwa ni Yenu.

Mfano kabla ya Ibrahimu hapakuwa na Uyahudi maana mwanzilishi wa uyahudi ni Ibrahimu.
Na Hilo Wayahudi wenyewe wanalijua.

Uislam unamisingi yake, nitajie misingi kikuu ya uislam. Alafu uniambie katika misingi hiyo, manabii waliotangulia wa kiyahudi msingi upi waliufuata?
 
Wameionesha dunia kuwa binadamu tukiamua kudhibiti mambo ya hovyo ndani ya jamii zetu tunaweza.

Mfano ni ndani ya nchi yetu jamii ya kiTz kwa sasa imeendekeza mambo ya hovyo sana jambo litakalo pelekea kuwa na taifa la hovyo kabisa duniani miaka 20 ijayo.

Lakini ukiuliza viongozi wa serikali juu ya kudhibiti huu upuuzi unao zidi kuenea kwa kasi ndani jamii yetu wana jificha kwenye kivuli cha utandawazi.

Mfano ni kuhusu usaliti ndani ya ndoa ambao umekithiri ndani ya jamii yetu, serikali ikitunga sheria kali dhidi ya watu wenye tabia ya kutembea na wake za watu na wakaitekeleza kwa usahihi na kuhakikishi huu uduanzi utapungua mno kama sio kuisha kabisa na ndoa nyingi zitakuwa na furaha tofauti na sasa watu wanaishi kwenye ndoa kwa kupelelezana utadhani ni majambazi.

Mfano ndani ya Iran ili binti uweze kuolewa ni razima uwe na cheti kitakacho dhibitisha ww ni bikra kutoka kwa daktari tofauti na hapo sahau kitu kinacho itwa kuolewa na bado utatakiwa kujibu mashitaka ya kufanya uzinzi bila ndoa.

Nadhani waliweka hii sheria ili kudhibiti uzinzi usio kuwa na mpangilio ambao ndio umeleta matatizo na maangamizi makubwa kwa vijana wetu ndani ya jamii zetu na moja wapo ni kuzalisha Single mother wasiokuwa na idadi.

Mambo ya hovyo ndani ya jamii zetu tunayaendekeza wenyewe lakini tukiamua tunauwezo wa kuyadhibiti.
 
Mfano kabla ya Ibrahimu hapakuwa na Uyahudi maana mwanzilishi wa uyahudi ni Ibrahimu.
Uyahudi ni dini ama kabila ?
Uislam unamisingi yake, nitajie misingi kikuu ya uislam. Alafu uniambie katika misingi hiyo, manabii waliotangulia wa kiyahudi msingi upi waliufuata?
Tatizo sio kutaja bali tatizo ni marejeo ya nitakayoyataja kama yanakubaliana na wewe ama laa.hivyo kutaja sio tatizo.

Mimi ninaweza kukupa ushahidi ambao kumbe kwa upande wako hukubali marejeo ya shahidi hizo.
Kabla ya Muhammad hapakuwa na uislam, sijui Kwa nini Waislam hamtaki kuelewa Jambo hili
Hatugombani tunajadili kwa hoja tu,sasa kwamba hatutaki kuelewa huwenda mimi sikushiriki hiyo mijadala na huwenda pia nina hoja zangu binafsi so kunijumuisha katika hilo sio sawa pia.
Uislam chanzo chake kinafahamika na aliyeuanzisha anajulikan
Kuna tofauti ya kuanzisha na kuendeleza,uislamu haukuanza wakati wa muhammad bali uislamu muhammad alikuja kuendeleza mafundisho yake.
 
Hao ni mabinti wa Islamic republic of Iran,wamevua hijab, hawataki upuuzi na maijabu
 

Anakuja kuendeleza kitu ambacho hakikuwepo kwenye jamii yake? Embu kuwa Serious na tumia logic kidogo Mkuu.

Unaposema Uislam ulikuwepo, niambie kabla ya Muhammad kuwepo au alivyokuwa mdogo waarabu walikuwa wanaujua huo uislam? Walikuwa wanatambua manabii wapi?

Ni Sawa atokee Nabii huku Afrika alafu aseme yeye ni muendelezo wa uislam au Ukristo ilhali Afrika hakukuwa na mambo hayo.

Uislam na Quran mungu wake ni Allah na siku ya Ibada ni ijumaa. Torati, zaburi, na injili ya Wakristo na mayahudi Mungu wao ni Yehova na siku Yao ya kuabudu ni Siku ya Saba, SABATO/jumamosi.

Huoni hapo unazungumzia vitu viwili tofauti?

Waislam muwe waungwana tuu Kama Wakristo kuwa mumechukua baadhi ya maandiko yote ya Wayahudi na kuyatumia katika kuunda dini zenu. Hakuna atakayewalaumu. Na mtakuwa mnasema Ukweli.

Lakini hizo garagaja zenu ndizo zinawaharibia, Na kuonekana ninyi ni waongo na uislam ni Uongo.

Unasema uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad, haya tuambie ulikuwepo eneo gani Kwa ushahidi wa Aya.

Alafu usijekutaja kina Musa, Yakobo, Daudi, Suleiman, Issa Kwa sababu HAO ni Wayahudi na Mungu WA Wayahudi anafahamika kuwa sio Allah Bali ni Yehova.

Na sheria za Yehova na Allah ni vitu viwili tofauti.
 
wewe jamaa uisilamu unakuwasha Sana kilasiku unakuja nahoja mojatu kua uisilamu umeiba baazi yamaandiko. sasa kama unaona vipi hamiabasi utoke huko ukafirini nafsi yako iwe huru. hatutaki pongezi zako zakinafiki
 
wewe jamaa uisilamu unakuwasha Sana kilasiku unakuja nahoja mojatu kua uisilamu umeiba baazi yamaandiko. sasa kama unaona vipi hamiabasi utoke huko ukafirini nafsi yako iwe huru. hatutaki pongezi zako zakinafiki

Nimewapa sifa za dhati,

Usifikiri Mimi ni Wale wafuasi wa dini mnaofuata dini bila kuangalia Ukweli.

Uislam ni Dini nzuri lakini watu wake baadhi ndio mnaiharibu Kwa kutokuukubali ukweli uliomo.

Kwani mkikubali ukweli kuwa Quran imechukua visa na maandiko ya Wayahudi mtapungukiwa kitu gani? Mbona Wakristo wao wamekubali ukweli huo.

Kulazimisha mambo ambayo sio yenu mkiyqfanya ni Yenu huo ni UTAPELI na dhulma.
Jambo ambalo naamini Quran na uislam wenyewe hautaki.
 
Dini ya Kikristo inachezewa Sana.
 
Dini ya Kikristo inachezewa Sana.

Ni kweli dini ya Kikristo inachezewa Sana lakini IPO Imara Kwa sababu inatoa Uhuru Kwa watu kufanya vile watakavyo bila kuwahukumu.
Msingi Mkuu wa Ukristo ni Kristo mwenyewe.
Ukristo umejengwa katika falsafa za Yesu Kristo

Tofauti na Uyahudi uliojengwa katika Falsafa za Musa kwenye Torati.
Huwezi ichezea Torati Kwa maana yenyewe haina falsafa hizo lazima uchapike.

Sasa Uislam umebeba baadhi ya falsafa za Torati ndio maana sio rahisi kuona uislam unacheweza.
 
wewe unacho tafuta nikubishanatu sikuzote kuhusu dini yauisilamu. walahuna jingine kwasababu Kama ni pongezi ungepongezatu mambo yakaisha lakini wewe kwakua unahila umeingiza mambo yako mengine. ila kwakua tusha kujua endeleatu ukichoka utaacha.
 
wewe unacho tafuta nikubishanatu sikuzote kuhusu dini yauisilamu. walahuna jingine kwasababu Kama ni pongezi ungepongezatu mambo yakaisha lakini wewe kwakua unahila umeingiza mambo yako mengine. ila kwakua tusha kujua endeleatu ukichoka utaacha.

Mimi siwezi kukusifia tuu nikaacha kukukosoa madhaifu, huo utakuwa unafiki.

Nikikuponda ujue nitatoa na sifa nzuri Kama unazo.

Ninamacho mawili hivyo kila ninachokiangalia nakiangalia katika pande mbili, Hasi na chanya.
Mimi sio Wale wenye jicho moja wanaoona mambo katika mrengo au upande mmoja tuu.

Kwa hiyo wewe na watu wa Aina yako sioni shida mkiwaza Kwa namna hiyo kwani kabla sijaandika tayari nilijua wapo wasomaji wenye akili zenye single Phase kama wewe. Ungekuwa na Double phases ungeelewa Taikon ni mtu wa Aina gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…