Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Hapana Mkuu.
Mpira sio haramu na hakuna Aya inayoelezea mambo ya michezo sio tuu kwenye Quran Bali hata kwenye Biblia

Vipi wachezaji kuonyesha mapaja nje nje ilhali dini inakataza mwanaume asionyeshe magoti...ni yale yale tu.
 
Utaona tu wakivaa majoho ya Papa wa vatican na maaskofu na mashemashi muda ukifika.

Sio nitaona nauliza mbona haiwi hivyo, mapaja nje nje hawavai kama Muhammad
 
To cut story short, kwa Mantiki yako hata Mungu hawezi kuwa Yehova, kama suala ni majina.

Halafu kumbuka Taurati ilikuwa ni kitabu cha sheria kwa ajili ya Bani Israel katika zama hizo, Qur'an ni kwa dunia nzima hadi Qiyama.

Ndio maana kwenye Ile Mada yangu ya Quran na Biblia Mahakamani, nikasema watu wengi hamna elimu ya hata Mambo.

Torati, zaburi, injili ni vitabu vilivyoandikwa na Wayahudi, Dini Yao uyqhudi, Mungu wao ni Yehova.
Lakini Quran imeandikwa na waarabu, Mungu wao ni Allah.
Na miungu wote Wanasheria zao zinazowatambulisha na kuwatofautisha na miungu mingine.

Ajabu moja inayowafanya Waislam waonekane ni hamnazo nu kulazimisha Mungu wa Wayahudi ndiye yuleyule Mungu WA waarabu yaani Allah. Jambo ambalo hata mtu asiye na akili anaweza kuona sio.
Achiliq mbali Kwa watu wasomi walioenda shule
 
Yehova na Allah ni miungu wawili tofauti MKUU. Kwa nini mnapenda kuwafanya kuwa kitu kimoja ilhqli kuna ushahidi wa wazi kuwa ni miungu wawili tofauti?

Unataka tuanze kuwachambua uone utofauti wao?
Mungu ni mmoja tu aliyeumba mbingu na aridhi na vilivyomo

Weka huo ushahidi unaonyesha Yehova na Allah ni miungu miwili tofauti?
 
Mungu ni mmoja tu aliyeumba mbingu na aridhi na vilivyomo

Weka huo ushahidi unaonyesha Yehova na Allah ni miungu miwili tofauti?

Nakupa tofauti moja unidadavulie hapa,
Msikilize Yehova kwenye Torati hapa;

Kutoka 20:8
Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.

Kutoka 20:9
Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;

Kutoka 20:10
lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.

Kutoka 20:11
Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Embu tupe Aya kutoka Kwa Allah inayoamrisha watu waabudu na kuitunza Sabato.

Alafu tutakuja kwenye utofauti wa pili
 


Wewe umeenda shule??.

Shida yako unalazimisha vitu viendane na akili zako finyu.

Wayahudi kwa Kiebrania Mungu wanamuita Yehova, Uyahudi ni dini ya Waisraeli aliyopewa Nabii Musa (as), naye sisi waisilamu tunaamini alitumwa na Mungu hivyo Yehova ni jina la Mungu kwa kiebrania Mungu huyo huyo aliyetuma manabii wengine ambaye pia anayo majina tofauti kulingana na lugha za hao manabii, katika Qur'an huyo Mungu kajiita Allah na hata karibu kila kabila linalo jina lake kwa ajili ya Mungu, sasa acha ubishi wa vijiwe vya kahawa hapa kama wewe umeenda school.

Tafuta maana ya neno Yehova kwa wanaojua.
 
Uchi wa mwanaume unaanzia juu ya magoti mpaka kiunoni.
Lakini akiwa kifua wazi sio uchi.
Hii ni tofauti na Wanawake
  1. The Messenger of Allah said to Abu Hudaifah(ra) when he had his thigh uncovered: Do not reveal your thigh nor look at anybody else thigh, whether he is alive or dead.
 
Hongera sana umeandika vizuri mno ni hivi watu hawajui tu hasa wakristo.
Vitabu au maandiko yaliyoshushwa ni

1.Tourati-mtume Musa 2.Zaburi-Daudi 3.Injili-Isa bin Mariam YESU 4.Quran-Mtume Muhamad (SAW)
Tatizo wakristo hivyi vitabu vingine kuacha Quran wanaona ni mali yao.Hata YESU alivyokuja alipata kusema mimi sikuja kutengua ya manabii walipita kabla yangu.

Ni ukweli ulio wazi kabisa Mungu alimleta YESU kuleta Injili alivyosulubiwa ikapita miaka 570 akaona amlete nabii mwingine wa mwisho(acha hawa feki wanaoibuka sasa hiv8) ambaye atawaongoa binadamu.
Dini za uislam na Ukristo chimbuko lake ni moja ni kwa Ibrahim.

Swala la kusema Uislam sijui uliiba maandiko kutoka kwa wayahudi sio sahihi ingesemwa hivyo waislam na wakristo hawakuiba au ku copy waliendeleza maandiko ya manabii watangulizi wa Mtume wao YESU na Mtume Muhamad.

Mtu kuchukua kilicho chake haibi inaambiwa kachukua akifanyie kazi.

Ila mleta mada hongera sana kuleta mada yenye wingi wa busara na mantiki tunawekana sawa tu
 
Naona lugha itakuwa zinakuchanganya. Kiaramaic pia neno Mwenyezi Mungu linasound Allah. Biblia ya kiarabu inatumia Allah.
Allah(The God) na neno Ilah(God).


They have certainly disbelieved who say that Allah is Christ, the son of Mary. Say, "Then who could prevent Allah at all if He had intended to destroy Christ, the son of Mary, or his mother or everyone on the earth?" And to Allah belongs the dominion of the heavens and the earth and whatever is between them. He creates what He wills, and Allah is over all things competent.
(Qur'an 5:17)


Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu. Sema: Ni nani mwenye kumiliki chochote mbele ya Mwenyezi Mungu ikiwa Yeye angetaka kumuangamiza Masihi mwana wa Maryamu, na mama yake, na wote waliomo katika ardhi? Na mamlaka ya mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake ni vya Mwenyezi Mungu. Huumba apendavyo. Na Mwenyezi Mungu anao uweza juu ya kila kitu.
(Qur'an 5:17)
 

Kwa nini mnalazimishq kuwa Yehova ndiye Allah?
Embu naomba unitajie amri kumi alizopewa Musa kwenye zile Mbao Kwa mujibu Quran ili tuanzie hapo, uone Allah na Yehova wq kina Musa ni miungu wawili tofauti.

Alichofanya Muhammad ni Ku-copy na kuhariri(kubadilisha baadhi ya maudhui)

Nipe Aya kutoka kwenye Quran
 
Niambie ukristo imeiba nini ktk uyahudi wakati ukristo ni combination ya two episodes. Yaani umejiibia.

Kwa upande wa Ukristo wao wapo wazi Kabisa kuwa wanatoa mambo moja Kwa moja kwenye Torati na kutokujimilikisha maandiko yaliyotangulia.
Lakini Uislam unajimilikisha vitu vilivyokwisha kuwepo na kusema ni vyake na hapo ndipo neno wizi linapotokea.

Angalia Wakristo licha ya kusema wameiba maandiko ya kiyahudi wao hawajapaniki wala kutoa povu kwani wanajua Ukristo ni Uyahufi wa Kisiasa hovyo sio ajabu wakiambiwa wameiba uyahudi wa zamani.

Ishu ipo WA uislam hawataki kusikia hivyo
Wao wanaamini Musa alikuwa Muislam, Daudi alikuwa Muislam na manabii wnegine lakini wakiambiwa wathibitishe wanashindwa.

Wakristo wao wanajua kabisa manabii wote waliopita walikuwa ni Mayahudi, hata huyo Yesu mwenyewe pia dini yake ni myahudi.

Hivyo utaona utofauti wa Wakristo na waislam katika kuangalia asili ya Dini zao.
 

Mimi na Wewe Nani analazimisha?
Nimekuambia nitajie amri 10 alizopewa Musa na Mungu Kwa mujibu wa Allah(Quran).
Alafu linganisha na Amri 10 alizopewa Musa Kwa mujibu wa Yehova.
Hiyo ni moja ya tofauti Kati ya Allah na Yehova.

Pia angalie Yehova anaabudiwaje tangu zamani mpaka sasa kisha angalia Allah anaabudiwaje tangu zamani mpaka sasa?

Angalia mchakato wa Yehova kutolewa dhabihu na mchakato wa kusamehe dhambi tangu zamani na sasa, kisha muangalie Allah mchakato wake wa kusamehe dhambi tangu zamani na sasa upoje, kisha utaelewa HAO ni miungu tofauti wasio na ukaribu hata kidogo.
Sema kuna mmoja kaiba taarifa za mwingine.

Nitaanzisha Uzi utakaojadili utofauti mkubwa uliopo baina ya Yehova Mungu wa Wayahudi na Allah mungu wa waarabu
 
Kwa hiyo kutopanick ndo kunaluaminisha kwamba imeandika point? Ukristo haujaiba lolote tkt uyahudi. Ni mwendelezo na climax ya uyahudi. Hata agano jipya likutaka kunukuu maandiko ya OT linanukuu.
 
Mi nimekupa tafsiri maana ya neno Allah usijikoroge. Ukisema Jehova sio Allah kwa lugha maana Jehova sio Mungu.
Ungeniambia labda Mungu kwenye biblia ameelezwa tofauti na Mungu kwenye Qur'an hapo ningekuelewa.
Ukichunguza pia Mungu wa agano la kale ni tofauti na agano jipya.
Usisahau wayahudi wa sasa neno wanalotumia kuwakilisha Mungu ni Hashem.
Utakuja kusema Hashem sio Jehova. Hiyo ni katika muundo wa majina. Nilikupa aya kukuonesha kwamba hakika wamekufuru wanaosema Allah/Mwenyezi Mungu masihi mtoto wa Mariamu. Ukiangalia wakristo wengi waliokufuru wanamchukulia Yesu kama Mungu. Wachache sana sidhani hata kama 5% inafika.
 

Nasema Uislam uliiba Kwa sababu ya Waislam wenyewe kujifanya Quran ndio kitabu pekee cha Kwanza kuripoti habari za manabii ilhali habari zinazosimuliwa humo tayari zilikuwepo Kwa jamii zingine za Wayahudi na baadhi ya Wakristo.

Muhammad alikuwa right Kwa sababu huenda yeye ndiye wakwanza katika jamii yake(Waarabu) kuripoti habari hizo lakini hatujui right katika level ya kimataifa Kwa sababu tayari Duniani watu walikuwa wanazijua habari anazosimulia hata kabla hajazaliwa.
 
Ukiangalia Uzi wako harak haraka waeza ona umeandika Kwa Nia Safi na kuappreciate Uislamu lakini ndani yake kuna ukakasi mwingi Sana na ufahamu mbaya juu ya Uislamu

Anyways

Siku hizi sipendi Sana kushiriki mijadala ya mabishano ya Dini unless otherwise ningekuja na kuchallenge hoja zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…