Yes this is what I am talking aboutNakumbuka huko Saudia miaka ya tisini mwishoni kuna mwanadada mmoja alibahatika kuisoma Biblia mwishowe akawa Mkristu. Kabla Mamlaka hazijamshtukia, aliikimbia nchi yake na kwenda Marekani ambako aliandika kitabu kiitwacho, "I Dared to Call Him Father"! Kwa Marekani na Ulaya kilikuwa ni bestseller lakini nyumbani kwao kilipigwa marufuku, masikini!
Nafikiri tangu hapo walipata somo zuri sana kuhusu Ukristu!!!!
U correct bro!Yes this is what I am talking about
Uislamu ni dini isiyojiamini ndio maana inapenda sana promo na kiki kama mandonga.Uislamu ni imani isiyojiamini ndio maana hapo qatar hawataruhusu wainjilisti wahubiri kipindi cha kombe la dunia na hata baada.
Hahahaa hebu acheni kutunga story hyo biblia kuna kitu Gani Cha maana kilichoandikwa kikufanye ww msomaji ubadili dini ufuate kilichomo humo hebu nitajie mstari mmoja niusome ambao huyo dada wa kutunga aliusoma akaamini ukristoNakumbuka huko Saudia miaka ya tisini mwishoni kuna mwanadada mmoja alibahatika kuisoma Biblia mwishowe akawa Mkristu. Kabla Mamlaka hazijamshtukia, aliikimbia nchi yake na kwenda Marekani ambako aliandika kitabu kiitwacho, "I Dared to Call Him Father"! Kwa Marekani na Ulaya kilikuwa ni bestseller lakini nyumbani kwao kilipigwa marufuku, masikini!
Nafikiri tangu hapo walipata somo zuri sana kuhusu Ukristu!!!!
Kitafute hicho kitabu cha "I Dared to Call Him Father" ndio utaelewa.Hahahaa hebu acheni kutunga story hyo biblia kuna kitu Gani Cha maana kilichoandikwa kikufanye ww msomaji ubadili dini ufuate kilichomo humo hebu nitajie mstari mmoja niusome ambao huyo dada wa kutunga aliusoma akaamini ukristo
Niliandika uzi jana nikisema kinacho fanyika nchini Qatar ni ku promote ushoga in an indirect way.
Nikasema there is no bad publicity.
Nikasema kwamba mambo mengine ili yasiendelee kuwepo hayafai kabisa kuzungumzwa zungumziwa.
Katika nchi zenye maadili ya kiislamu ni mwiko hata kuyazungumzia mambo ya ushoga hadharani KWA sababu WANAJUA kuyazungumzia mambo hayo ni kuyapromote.
Kama hautaki kitu kisiwepo kwenye jamii yako BASI hakikisha hata kuzungumzwa hakizungumzwi kabisa.
KWA mfano Saudi Arabia hawataki kabisa Ukristo. So wameweka sheria yao dhidi ya ukristo.
Ni kosa la jinai kwa msaudia kuwa Mkristo. Adhabu yake ni kifo.
Ni marufuku kabisa kuzungumza kuhusu ukristo ndani ya Saudia.
Ni kosa la jinai kuhubiri ukristo ndani ya Saudia. Ukibainika adhabu yake ni kuchinjwa.
Kama wewe ni mgeni na ni Mkristo fanya ukristo wako chumbani kwako ukitoka nje kausha.
Wanataka kujenga jamii ya watu ambao hawaamini kabisa katika uwepo wa kitu kinacho itwa ukristo.
Kwanini wanafanya hivyo? Kwa sababu WANAJUA kuzungumza zungumza kuhusu ukristo kunaweza kufanya baadhi ya watu wawe curious kutaka kujua ukristo ni nini na mwisho wa siku kujikuta wamekuwa wakristo.
Mkristo mmoja anaweza kuambukiza mamilioni ya wasaudia kuwa wakristo jambo ambalo Saudia hawalitaki kwenye nchi yao. Wanataka kuwa na nchi yenye dini moja tu.
Vivyo hivyo KWA habari za ushoga..habari hizo hazipaswi kuzungumziwa kabisa.
Tunapaswa kujenga jamii ya watu ambao hawaamini kama ushoga ni jambo linalo weza kufanywa na binadamu mwenye akili timamu.
Mwiko huu umevunjwa Qatar. Waarabu wameingia mkenge. Wana promote agenda ya Marekani kutaka ushoga uzungumziwe. Nguvu wanayo tumia Qatar kupinga ushoga inafanya ushoga uzungumziwe na kutajwa zaidi middle east.
KWA wamerakani hii inaweza kuwa lango la kuuingiza ushoga middle east. Wameanza kwa kupandikiza wazo lao kwwnza then taratibu wataanza kutumia mbinu zao kuingia mazima.
Uislamu ndio dini pekee duniani miongoni mwa dini kuu tatu za ki ibrahimia ( wayahudi, wakristu, waislamu) ambayo bado ina misimamo thabiti dhidi ya ushoga.
Wamarekani wanaanza kubomoa huo msimamo taratibu.
Putin kashtukia huo mchezo. Jana katangaza decree mpya kwamba ni marufuku hata kuutaja ushoga iwe ni kwenye filamu, muziki au mahali popote pale hadharani.
This is what i was actually talking about
View attachment 2427272
Faida ya puchu nikubwa kuliko hasala. Yaani mzani haujalingana kwa sehemu kubwa sana hasahasa kwetu sisi wanaume tunaokaa mbali na familia zetuHata punyeto inahamasishwa Sana humu jf kupitia nyuzi za watu.
Kuna watu walikuwa hawajui maana ya nyeto bt kila wanapoingia humu wanakumbana na nyuzi za punyeto,then wanakuwa curious nayo then they finally put it into practice.
Biblia sio Quran kitabu cha kigaidi , 50% ya Quran inafundisha chuki dhidi ya jamii zisizo waislam ila 90% ya Biblia inafundisha hekima , upendo na kuwa muumin wa kwel bila ushawish wa mwanadam mwenzio ( yaan uwe muumin kutoka moyon sio kisa kuogopa kukatwa shingo km Irab walivyomuua binti kama vile Mungu hana mamlaka ya kuwahukumu wenye dhambi )Hahahaa hebu acheni kutunga story hyo biblia kuna kitu Gani Cha maana kilichoandikwa kikufanye ww msomaji ubadili dini ufuate kilichomo humo hebu nitajie mstari mmoja niusome ambao huyo dada wa kutunga aliusoma akaamini ukristo
Watu wanakatazwa kuiona nuru lazima wabaki gizani.YESU ni Bwana kila goti litapigwa.Nakumbuka huko Saudia miaka ya tisini mwishoni kuna mwanadada mmoja alibahatika kuisoma Biblia mwishowe akawa Mkristu. Kabla Mamlaka hazijamshtukia, aliikimbia nchi yake na kwenda Marekani ambako aliandika kitabu kiitwacho, "I Dared to Call Him Father"! Kwa Marekani na Ulaya kilikuwa ni bestseller lakini nyumbani kwao kilipigwa marufuku, masikini!
Nafikiri tangu hapo walipata somo zuri sana kuhusu Ukristu!!!!
Yohana 3:16Hahahaa hebu acheni kutunga story hyo biblia kuna kitu Gani Cha maana kilichoandikwa kikufanye ww msomaji ubadili dini ufuate kilichomo humo hebu nitajie mstari mmoja niusome ambao huyo dada wa kutunga aliusoma akaamini ukristo
Mimi ni mkristo lakini ulichoandika hapa inaonesha unatatizo la Akili.Biblia sio Quran kitabu cha kigaidi , 50% ya Quran inafundisha chuki dhidi ya jamii zisizo waislam ila 90% ya Biblia inafundisha hekima , upendo na kuwa muumin wa kwel bila ushawish wa mwanadam mwenzio ( yaan uwe muumin kutoka moyon sio kisa kuogopa kukatwa shingo km Irab walivyomuua binti kama vile Mungu hana mamlaka ya kuwahukumu wenye dhambi )
KabisaHawa ndio viongozi wenye AKili.
Sio Hawa wa nenda mkalitazame
Sijui Unda tume ya kutoa mapendekezo,
Na bla bla nyingi
Biblia sio Quran kitabu cha kigaidi , 50% ya Quran inafundisha chuki dhidi ya jamii zisizo waislam ila 90% ya Biblia inafundisha hekima , upendo na kuwa muumin wa kwel bila ushawish wa mwanadam mwenzio ( yaan uwe muumin kutoka moyon sio kisa kuogopa kukatwa shingo km Irab walivyomuua binti kama vile Mungu hana mamlaka ya kuwahukumu wenye dhambi )
Nilisoma hii kitabu miaka ya 2004,nilikipenda Sana AISEH!Nakumbuka huko Saudia miaka ya tisini mwishoni kuna mwanadada mmoja alibahatika kuisoma Biblia mwishowe akawa Mkristu. Kabla Mamlaka hazijamshtukia, aliikimbia nchi yake na kwenda Marekani ambako aliandika kitabu kiitwacho, "I Dared to Call Him Father"! Kwa Marekani na Ulaya kilikuwa ni bestseller lakini nyumbani kwao kilipigwa marufuku, masikini!
Nafikiri tangu hapo walipata somo zuri sana kuhusu Ukristu!!!!