Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Huyu gaidi India walimnyang'anya passport anahitajika huko maana ana kesi ya kujibu. Kwa sasa kajificha kwa magaidi wenzake Malaysia
 
Ni kawaida ukipambania haki utazushiwa mengi
Huyo ni gaidi. Hana lolote analopambana nalo. Waislam wa Canada waliomba Serikali ya Canada impige marufuku kuingia Canada na ombi lao lilikubaliwa.

Naik anawezaje kuwa mfano mwema kwa Waislam wakati hata nchi za Kiislam hazimtaki. Hana tofauti na Osama

Tv yake ya Peace tv imepigwa marufuku hata Bangladesh ambayo ni nchi ya Waislam wengi. Huyu hahubiri dini bali anahubiri ugaidi
 
Nchi hizo zinamkataa kwa hoja zake za kusimilisha watu, subiri matokeo ya Kombe la dunia tutakuja hapa kushuhudia maelfu wakisilimu.
 
Kumbuka Drogba naye anaelekea huko huko, bado anawapumbaza lakini nuru ameshaiyona tayari. Kukana kwake ni kuwapumbaza na kuhofia asitengwe.
Nyie mnachukua magalasa, hebu chukueni watu wanaomjua Yesu kiukweli. Nimekupa mfano wa Kaka. Huyo Drogba alikuja hapa bongo, uzinzi alioufanya ni balaa.
 
😂😂😂😂waslamu bhana ani unapambana kumsilmisha mkristo wakati kuna watu bado wawajui uwepo wa dini hiyo wala dini yoyote kwann msiwapelekee dini hao kama kweli mnahubiri Mungu mmekaaga kimchongo sana mnawaza kupata attention na mungu hana habari hiyo..
 
Kuna uhusiano gani wa hayo mahubiri na ile kauli mbiu ya "football is a fair play game"?
 
Nchi hizo zinamkataa kwa hoja zake za kusimilisha watu, subiri matokeo ya Kombe la dunia tutakuja hapa kushuhudia maelfu wakisilimu.
Tatizo ww unadhani kila mzungu ni mkristu wengi ni watu wasio na dini. Wakikutana na gaidi kama naik wanajiunga naye huku wanaendelea kula bia na kitimoto mradi wapate furaha ya WC.

Kwa mujibu wa India, Bangladesh, Sri Lanka, UK na Canada Zair Naik ni gaidi. Tena amekimbia India ameenda kujificha Malaysia ili asikamatwe
 
Nyie mnachukua magalasa, hebu chukueni watu wanaomjua Yesu kiukweli. Nimekupa mfano wa Kaka. Huyo Drogba alikuja hapa bongo, uzinzi alioufanya ni balaa.
Sasa ndugu yangu Bujibuji, ngoja tuone idadi ya watao silimu baada ya FIFA 2022. Tunategemea wachezaji wakubwa duniani huwenda wakasilimu pamoja na viongozi wa makanisa.
 
Kama mbingu ni mirathi ya baba yako,fanya mpango na Mimi nifike
 
Was a prophet of God and was born to a virgin (Mary).
In the Qur’an, Jesus, peace be with him, is called Kalimat Allah, the “Word of God,” or rather, to be more precise, he is referred to as kalimatin min Allah “a Word from God.”

1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Yohana 1:1

JESUS CHRIST IS THE KING OF KINGS!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…