Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Hakika, watu watakuwa radhi kusikiliza hoja za Dr Zakir Naik kuliko kuangalia mpira. Na huko ndiko kufaulu kwa dini. Huyo ni Bingwa mwenye hoja matata. Usithubutu kuangalia Television yake nyumbani kwako. Nyote mtasilimu.
Madhara ya kunywa maji ya kisima yameharibu watz wengi akili
 
Nani wa kuingia kwenye hilo balaa alilolileta Muhamad.
 
Hawalazimishwi. Mbona wakristu na hufanya hivyo.
 
Kabisa
 
Mhubiri Kavaa Kama Wagalatia Wenyewe
Angevaa Kanzu Na Makobazi Ningesema Angeweza Kuwabadili Wagalatia Kuwa Islam
 
Kusilimu kwa Seedorf kuwa Mwislamu kulipongezwa sana katika ulimwengu wa Kiarabu na Kiislamu. Na Issam Toutate Gwiji wa zamani wa soka wa Uholanzi na klabu ya AC Milan Clarence Seedorf ametangaza kuwa amesilimu. Je hao ndio wakristo wa mchongo?
Uzuri kasilimu madhehebu ya shia. Sasa hivi mpango mzima nikwenda kuhiji Najaf siyo Mecca. Na kumtukuza sana Imam kuliko mtume. Shia Islam is conquering
 
Hahahaha dini inayoshirikiana na majini ambayo ni mapepo ambayo ni mashetani, na maana yake dini ya shetani
 
Naona wavaa kobasi mnatafuta namna muonekane mko juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waache wasilimu kwan dini tulizaliwa nazo si mambo ya kuyakuta tu
 
Mbona huku kawe kwa Mwamposa anazidi kuzoa waumini kutoka upande wa huyo gwiji. Mwambie aje apambane na huku.
Mwambie aje na huku kimkute kilichomkuta doctor sule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongo sio watu wa mchezo mchezo na hzo dini zenu zinazosema mtanyandua madem 72[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…