Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
kabisaBora ukatae mkuu hizi starehe zimepunguzia watu uhai wa kuishi.
Furaha haihitaji kufanya vitu vya kulazimisha.....ukiona hivyo hiyo ni stress
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisaBora ukatae mkuu hizi starehe zimepunguzia watu uhai wa kuishi.
Furaha haihitaji kufanya vitu vya kulazimisha.....ukiona hivyo hiyo ni stress
Kwenye sigara wanavuta nini na kwanini inapendwa?Tuelimishe kaka kwenye shisha wanavuta nini hasa ni moshi tu? Na inapendwa kwa sababu gani?
Hana akili huyo shisha ina madhara kinomaa yaani,Hahahaaaa😂😂
Mambo mengine inabidi tu ucheke hata kama yanasikitisha.
Hapa mtaani Kwangu Jijini Dar nimekutana na Mwanadada akihangaikia matibabu yake baada ya kushindwa kuongea na kutamka vizuri kunakoambatana na maumivu makali kooni.
Baada ya kuhojiwa na marafiki zake amekiri kuwa alipiga Shisha akiwa kwenye Bithday Party iliyofanyika kwenye moja ya Hotel Kigamboni Jana.
Mabinti acheni hizo bwana. Hata kama una stress mtakuja kujiua kwa kuhadaika na mambo ya duniani.
Mkuu daktari bainisha madhara ya shisha hapa waelewe aahKwenye sigara wanavuta nini na kwanini inapendwa?
Kwanini mkuuWalevi
Wavutaji
Wacha wafe hawatakiwi saidiwa
Pweza sio kabisa ule ni ulevi nilipofanikiwa kuacha sikurudi tenaUkianza kuonja ndio hivyo tena hutaacha
Nilipoonja Supu ya Pweza ambayo nilikuwa nadharau watu kula vitu visivyoliwa ndio nikanasa mazima.
Kuna mtu kapata tb huku kisa shisha weweShisha haina shida yoyote tatizo hizo za changanyikeni wanawekewa bangi na Kvant, nina mtungi wa shisha na ninazo vile vidogo vya kuvuta mtu mmoja, nachanganya mwenyewe.
Kwani ukivuta shisha unavuta moto hadi ababuke ?Hahahaaaa😂😂
Mambo mengine inabidi tu ucheke hata kama yanasikitisha.
Hapa mtaani Kwangu Jijini Dar nimekutana na Mwanadada akihangaikia matibabu yake baada ya kushindwa kuongea na kutamka vizuri kunakoambatana na maumivu makali kooni.
Baada ya kuhojiwa na marafiki zake amekiri kuwa alipiga Shisha akiwa kwenye Bithday Party iliyofanyika kwenye moja ya Hotel Kigamboni Jana.
Mabinti acheni hizo bwana. Hata kama una stress mtakuja kujiua kwa kuhadaika na mambo ya duniani.
Haijulikani ni kosa gani lilifanyika wakati anajipa rahaKwani ukivuta shisha unavuta moto hadi ababuke ?
Nicotine inawapa stimuKwenye sigara wanavuta nini na kwanini inapendwa?
nilidhani kaungua koo baada ya kulamba lolo😂Hahahaaaa😂😂
Mambo mengine inabidi tu ucheke hata kama yanasikitisha.
Hapa mtaani Kwangu Jijini Dar nimekutana na Mwanadada akihangaikia matibabu yake baada ya kushindwa kuongea na kutamka vizuri kunakoambatana na maumivu makali kooni.
Baada ya kuhojiwa na marafiki zake amekiri kuwa alipiga Shisha akiwa kwenye Bithday Party iliyofanyika kwenye moja ya Hotel Kigamboni Jana.
Mabinti acheni hizo bwana. Hata kama una stress mtakuja kujiua kwa kuhadaika na mambo ya duniani.
Hapana kwani Lolo zinaunguza?nilidhani kaungua koo baada ya kulamba lolo😂
TB inasababishwa na bakteria waitwao Mycobacterium Tuberculosis,Ku
Kuna mtu kapata tb huku kisa shisha wewe
Pia moshi uleTB inasababishwa na bakteria waitwao Mycobacterium Tuberculosis,
Je, Shisha ina hao bakteria?
Kwani wewe ni dr au nani kakuambia tb inasababishwa na bacteria tupuuTB inasababishwa na bakteria waitwao Mycobacterium Tuberculosis,
Je, Shisha ina hao bakteria?
Ile ni tumbaku nzito,, wanasema pafu lake moja ni kama pakti kadhaa za fegiTuelimishe kaka kwenye shisha wanavuta nini hasa ni moshi tu? Na inapendwa kwa sababu gani?
Hayo madhara yapo kwenye Sigara na Pombe pia, je ulishawahi kuwakataza watumiaji wao kama ambavyo unawafatilia wa Shisha?Pia moshi ule
Kulingana na chatgpt
Shisha, au hookah, ni kifaa kinachotumiwa kuvuta moshi wa tumbaku au mchanganyiko wa tumbaku na ladha mbalimbali. Ingawa watu wengi wanaweza kufurahia shisha kama njia ya burudani, kuna madhara kadhaa yanayohusishwa nayo:
1. Madhara ya kiafya: Kuvuta shisha kunaweza kusababisha matatizo ya kiafya kama vile magonjwa ya mapafu, saratani ya mapafu, na magonjwa ya moyo. Moshi wa shisha unajumuisha kemikali nyingi hatari, ikiwa ni pamoja na nikotini.
2. Kulevya: Tumbaku katika shisha ina nikotini, ambayo ni kiambato kinachosababisha kulevya. Hii inaweza kufanya iwe vigumu kwa mtu kuacha kuvuta shisha.
3. Madhara kwa watu wengine: Moshi wa shisha unaweza kuathiri watu wanaokuzunguka, hata kama hawavuti. Hii ni kutokana na moshi wa pili (secondhand smoke) ambao unaweza kusababisha matatizo ya kiafya kwa watu hao.
4. Madhara ya kisaikolojia: Watu wengine wanaweza kuanza kutegemea shisha kama njia ya kupunguza msongo wa mawazo, ambayo inaweza kupelekea matatizo zaidi ya kiafya na kisaikolojia.
Ni muhimu kuwa na ufahamu wa madhara haya na kufanya maamuzi sahihi kuhusu matumizi ya shisha.