Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Inasababishwa na nini kingine?Kwani wewe ni dr au nani kakuambia tb inasababishwa na bacteria tupuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasababishwa na nini kingine?Kwani wewe ni dr au nani kakuambia tb inasababishwa na bacteria tupuu
Kiufupi mimi sio mdau wa hivo vitu ila huwa sipendi mtu afanye nikiwepo ishiii 😠😠Hayo madhara yapo kwenye Sigara na Pombe pia, je ulishawahi kuwakataza watumiaji wao kama ambavyo unawafatilia wa Shisha?
Hivi shisha inaondoa stress kumbeMabinti acheni hizo bwana. Hata kama una stress mtakuja kujiua kwa kuhadaika na mambo ya duniani.
Dunia pana hii, huwezi kutaka kila mtu aishi unavyotaka weweKiufupi mimi sio mdau wa hivo vitu ila huwa sipendi mtu afanye nikiwepo ishiii 😠😠
Sina muda nao kwasabu me mwenyewe situmiiiMwanamke mlevi, mvuta shisha, mpuliza bangi/fegi au anae bet huyo ndo mwanamke wa hovyo zaidi duniani
Yaani ndo ivo ila mtu akinipulizia hilo limoshi nampiga beto mm kama ninayo hapoDunia pana hii, huwezi kutaka kila mtu aishi unavyotaka wewe
Anadanganya sio shisha, alitafuna koni yenye UTI sugu mixer GC. almaaruf Gono.Hahahaaaa😂😂
Mambo mengine inabidi tu ucheke hata kama yanasikitisha.
Hapa mtaani Kwangu Jijini Dar nimekutana na Mwanadada akihangaikia matibabu yake baada ya kushindwa kuongea na kutamka vizuri kunakoambatana na maumivu makali kooni.
Baada ya kuhojiwa na marafiki zake amekiri kuwa alipiga Shisha akiwa kwenye Bithday Party iliyofanyika kwenye moja ya Hotel Kigamboni Jana.
Mabinti acheni hizo bwana. Hata kama una stress mtakuja kujiua kwa kuhadaika na mambo ya duniani.
Hata baadhi ya virus na mazingira piaaInasababishwa na nini kingine?
Hauwezi kua Library unajisomea mtu akakupulizia huo moshi, ni lazima upo kwenye maeneo yao, lolYaani ndo ivo ila mtu akinipulizia hilo limoshi nampiga beto mm kama ninayo hapo
Anyway Kila mtu na maisha yakee
Sasa kama nimefata burudani nyingineeee je, halafu lifanye hivo hakiyanan BETTO itamuhusuHauwezi kua Library unajisomea mtu akakupulizia huo moshi, ni lazima upo kwenye maeneo yao, lol
Tb sio virus ni bakteria na ukisema mazingira hapo unamaanisha kuenea na sio kusababishwaHata baadhi ya virus na mazingira piaa
😂😂😂Anadanganya sio shisha, alitafuna koni yenye UTI sugu mixer GC. almaaruf Gono.
Mtabadilishana majengo, yeye mochwari wewe jelaSasa kama nimefata burudani nyingineeee je, halafu lifanye hivo hakiyanan BETTO itamuhusu
Namfahamu vizuri huyo bacteria ila ukiwa mtumiaji inalemaza kinga za mwili, na inapelekea kupata tb kirahisi au nipo wrong??Tb sio virus ni bakteria na ukisema mazingira hapo unamaanisha kuenea na sio kusababishwa
Haina noma ila sipendi upuuz mm 😂😂Mtabadilishana majengo, yeye mochwari wewe jela
Upo wrong,Namfahamu vizuri huyo bacteria ila ukiwa mtumiaji inalemaza kinga za mwili, na inapelekea kupata tb kirahisi au nipo wrong??
Hamna bhana basi tufanye ina madhara 😂😂Upo wrong,
Shisha haina mahusiano na kushuka kinga za mwili wala kupata TB labda kama mtu ana share pipe na mwenye maambukizi ya TB ambaye hajaanza tiba
Mbona unatetea sana wewe unatumia nini??Upo wrong,
Shisha haina mahusiano na kushuka kinga za mwili wala kupata TB labda kama mtu ana share pipe na mwenye maambukizi ya TB ambaye hajaanza tiba