Binti ababuka Koo baada ya Kupiga Shisha kwenye Birthday Party

Binti ababuka Koo baada ya Kupiga Shisha kwenye Birthday Party

Hahahaaaa😂😂

Mambo mengine inabidi tu ucheke hata kama yanasikitisha.

Hapa mtaani Kwangu Jijini Dar nimekutana na Mwanadada akihangaikia matibabu yake baada ya kushindwa kuongea na kutamka vizuri kunakoambatana na maumivu makali kooni.

Baada ya kuhojiwa na marafiki zake amekiri kuwa alipiga Shisha akiwa kwenye Bithday Party iliyofanyika kwenye moja ya Hotel Kigamboni Jana.

Mabinti acheni hizo bwana. Hata kama una stress mtakuja kujiua kwa kuhadaika na mambo ya duniani.
angeungua hta na mapua si unakuta wanatolea moshi kwenye mapua
 
Hahahaaaa😂😂

Mambo mengine inabidi tu ucheke hata kama yanasikitisha.

Hapa mtaani Kwangu Jijini Dar nimekutana na Mwanadada akihangaikia matibabu yake baada ya kushindwa kuongea na kutamka vizuri kunakoambatana na maumivu makali kooni.

Baada ya kuhojiwa na marafiki zake amekiri kuwa alipiga Shisha akiwa kwenye Bithday Party iliyofanyika kwenye moja ya Hotel Kigamboni Jana.

Mabinti acheni hizo bwana. Hata kama una stress mtakuja kujiua kwa kuhadaika na mambo ya duniani.
What did she expects after opening a gate to hell this is reparation which she deserve
 

Attachments

  • IMG-1.jpg
    IMG-1.jpg
    109.4 KB · Views: 1
Samahani kwa kusema kwamba,
shisha ina madhara kiafya kuliko sigara.Mtu akivuta shisha kwa saa moja atapata madhara mara 100-200 zaidi ya anayevuta sigara.Shisha ina sumu zilizopo katika tumbaku /sigara kwa kiwango kikubwa maradufu.

 

Attachments

  • Screenshot_20240906-192729~2.jpg
    Screenshot_20240906-192729~2.jpg
    90.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom