Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #81
HatariSamahani kwa kusema kwamba,
shisha ina madhara kiafya kuliko sigara.Mtu akivuta shisha kwa saa moja atapata madhara mara 100-200 zaidi ya anayevuta sigara.Shisha ina sumu zilizopo katika tumbaku /sigara kwa kiwango kikubwa maradufu.
![]()