Binti ababuka Koo baada ya Kupiga Shisha kwenye Birthday Party

Hayo madhara yapo kwenye Sigara na Pombe pia, je ulishawahi kuwakataza watumiaji wao kama ambavyo unawafatilia wa Shisha?
Kiufupi mimi sio mdau wa hivo vitu ila huwa sipendi mtu afanye nikiwepo ishiii 😠😠
 
Anadanganya sio shisha, alitafuna koni yenye UTI sugu mixer GC. almaaruf Gono.
 
Tb sio virus ni bakteria na ukisema mazingira hapo unamaanisha kuenea na sio kusababishwa
Namfahamu vizuri huyo bacteria ila ukiwa mtumiaji inalemaza kinga za mwili, na inapelekea kupata tb kirahisi au nipo wrong??
 
Namfahamu vizuri huyo bacteria ila ukiwa mtumiaji inalemaza kinga za mwili, na inapelekea kupata tb kirahisi au nipo wrong??
Upo wrong,
Shisha haina mahusiano na kushuka kinga za mwili wala kupata TB labda kama mtu ana share pipe na mwenye maambukizi ya TB ambaye hajaanza tiba
 
Upo wrong,
Shisha haina mahusiano na kushuka kinga za mwili wala kupata TB labda kama mtu ana share pipe na mwenye maambukizi ya TB ambaye hajaanza tiba
Hamna bhana basi tufanye ina madhara πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Upo wrong,
Shisha haina mahusiano na kushuka kinga za mwili wala kupata TB labda kama mtu ana share pipe na mwenye maambukizi ya TB ambaye hajaanza tiba
Mbona unatetea sana wewe unatumia nini??
Afu mbona chatgpt ishasema pale juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…