Binti aliyebebeshwa dawa za kulevya na mchumba wake wakati wa safari ya kwenda kutambulishwa ukweni

Binti aliyebebeshwa dawa za kulevya na mchumba wake wakati wa safari ya kwenda kutambulishwa ukweni

Soma Tena habari
mie niliwaza hivyo pia, ila kuna comment sijui n page ya ngap, kasema kna mtu alikua anampigia yaan mdau wa hapo airport huenda siku hiyo hakuwepo hapo uwanjan.

Labda sijaelewa vizuri, ila kwa scenario hiyo huyo jamaa alimpenda sana manstura, maan alipoona cm yake haipokelew alikua na uwezo wa kutoroka haraka hapo uwanjan, vile bas tyuuh mapenzi ya kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mie niliwaza hivyo pia, ila kuna comment sijui n page ya ngap, kasema kna mtu alikua anampigia yaan mdau wa hapo airport huenda siku hiyo hakuwepo hapo uwanjan.

Labda sijaelewa vizuri, ila kwa scenario hiyo huyo jamaa alimpenda sana manstura, maan alipoona cm yake haipokelew alikua na uwezo wa kutoroka haraka hapo uwanjan, vile bas tyuuh mapenzi ya kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani atoroke aache MZIGO wake wa mamilion?
Wewe ungeweza?
 
Je alipoona haipokelew angeamua kutoroka uwanjani hapo haraka?
Angekamatwa wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi tyuuu yalimfanya ivo.
Anatoroka vipi wakati hajui kinachoendelea ndani na huyo mwanamke Ana MZIGO wake?
Wewe kichwa chako kinawaza mapenzi tu.mwenzio Ana waza MZIGO wake
 
Nimekumbuka story flani ya mdada wa kitanzania hivyo hivyo na mpopo wake.

Ila yeye alikuwa anadanganywa kwa kufanyiwa checkups kila wakitaka kusafiri, kumbe katika checkups ndo wanamuweka madawa.

Huwa natamani sana nikumbuke hiyo story nilisoma wapi ili niisome tena, sikumbukagi kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee shos sasa Rotimi yule hana huo mda wa kuzungka na ngada, movie na music unamlipa.

Wapopo wa ngada ni hawa hoe hoe wapiga dili, nimekumbka wapopo wa jay dee na giggy, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule wa jd kiboko asee...afu akawa anajifanya mpoole[emoji848]
 
Nimekumbuka story flani ya mdada wa kitanzania hivyo hivyo na mpopo wake.

Ila yeye alikuwa anadanganywa kwa kufanyiwa checkups kila wakitaka kusafiri, kumbe katika checkups ndo wanamuweka madawa.

Huwa natamani sana nikumbuke hiyo story nilisoma wapi ili niisome tena, sikumbukagi kabisa.
Kumbuka kipenzi uilete hapa [emoji848]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mawazo yangu dawa zunabebwa tumboni au kweny bags, kumbe hata parcel zinazoingia kwa pochi lol.
Yap yap tumboni ni kidogo Kuna Ile mizigo mikubwa ka ya masogange
 
kweli kisa cha Mastura kinatia majonzi,ni mdada wa Arusha hakika amepitia mtihani mkubwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

kama ipi sasa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sijui hujasoma vizuri au ulikua una haraka,safari ilikua ni kwrnda west africa kupitia moshi sio safari ilikua ya kwenda moshi
 
Hatari sana hii kuamini watu hovyo Kuna kipindi huonyeshwa national geographic kuhusu Hawa wadada wanavodaganyika na kuishia kukamatwa na kuteseka huwa kina funzo zuri sana. Siku moja nilikuwa airport nikashangaa wamekuja wakaka wananiomba niwasaidie mzigo wao mdogo eti kwa uzito umezidi nikikumbuka matukio ya watu kubebeshwa madawa bila kujua nikashtuka sana
Walitaka wakugeuze punda milia
 

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nitaandika.... na nitaku tag.

Nipe muda tu sipendagi kuandika za to be continued.
 
Madada unawajia unawaskia. Ukiwa na pesa hata ndani ya week unaweza mpeleka dsda kokote. Wana roho ngumu sana.
Kama dada unakutana naye mtandaoni hakujui unamwita kwako anakuja peke yake, si roho ngumu hiyo.
Kweli aisee kwa mfano unakuta unamtongoza mdada kwa mara ya kwanza anaingia kingi!!?
hajui hata kama mashine yangu ni ndefu kama nyoka inaweza mtokea mdomoni!!??
yy anaingia tu jumla jumla ilhali hanijui!?
wadada wote hongereni kwa ujasili wa asili
 
Kweli aisee kwa mfano unakuta unamtongoza mdada kwa mara ya kwanza anaingia kingi!!?
hajui hata kama mashine yangu ni ndefu kama nyoka inaweza mtokea mdomoni!!??
yy anaingia tu jumla jumla ilhali hanijui!?
wadada wote hongereni kwa ujasili wa asili
Mbona hamueleweki jamani....tukiwazungusha pia mnachonga[emoji57][emoji57]
 
Back
Top Bottom