cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mwingine kaitwa Malta huko kafungua uzi humu anaomba ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mwingine kaitwa Malta huko kafungua uzi humu anaomba ushauri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mie nimewaza hivyo, sasa si angeenda mwenyewe tyuuh, au alitaka na manstura awe ndani. Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuuh inaogopesha sana lolUnajua ambacho kinaweza kuwa kilitokea? Baada ya binti kuwa amekamatwa akiwa kwenye check-in counter, saikolojia ya askari wa Airport itakuwa iliwatuma kuwa huyu mtu hayuko peke yake, lazima yuko na mwenzake maeneo yale karibu.
Na kwa sababu binti alikuwa anajua amebeba nini atakuwa alipewa maalekezo na mchumba wake kuwa in case of anything abnormal, wakikuuliza uko na nani, sema niko peke yangu!
Baada ya askari kumkamata na kumhoji uko na nani na mwenyewe kusema yuko peke yake.......... hapo ndipo kosa kla kwanza lilipofanyikia. Hapo hapo askari wakawa wamejua moja kwa moja kuwa huyu mtu atakuwa yuko na mwenzake nje ya uwanja ambaye yeye hasafiri leo, ametanguliza mizigo tu
Muda huo huo watakuwa waliondoka watu wa kawaida sana na kuanza ku-survey maeneo ya uwanja, nje ya uwanja ikiwa ni pamoja na kwenye parking za magari
Baadaye watakuwa walisport sehemu zote ambazo kulikuwa na angalau watu waliokuwa wana hamu sana iliyochanganyikana kidogo na bashasha, wakisubiria ndege fulani iruke, wakati wao siyo wasafiri, au waliokuwa wamekaa ndani ya gari kwenye parking, na kwa aina ya usiri wa namna fulani hivi isiyokuwa ya kawaida, huku waki-pretend kuwa wako kawaida
Hakuna derreva tax aliyetumwa kwenda kumwangalia msafiri, dili kubwa la namna hii haliwezi kufanywa kizembe hivyo
Huyo jamaa aliyekuwa nje anasubiria, atakuwa alikamatwa na askari wenywe tu kwakiwa wanatumia saikolojia yao tu na si dereva tax aliyesababisha jamaa huyo kumakatwa
Haelew km msimbazi iko kariakoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna masista du wengine nilisoma nao chuo back n days, wapo India wanatumikia miaka yao, mabinti wa kibongo wanapenda shortcuts sana, mimi kuna msenge nliwahi mnunulia iPhone 8 enzi hizo penzi bado la moto na sina majukumu baadae akapata foreigner akamdanganya anafanya kazi ubalozi fulani, akampangishia nyumba nzima ushuani Dar na mtaji wa duka milioni 17 akampatia, mm kuona vile nikakaa pembeni japo alinisihi nisifanye hivyo kwa kua kule alifuata pesa akataka niendelee kuichakata, kwa kua nami mambo yangu yalikua fresh nikamshit, maana siwezi share penzi kwa kufahamu kabisa, otherwise niwe sijui, nikatafuta chimbo jipya, nimekutana nae juzi mjini hata haelewi kama Msimbazi iko kariakoo, ananisimulia story ndeeeefu ambayo haina impact kwangu, inshort alikamatika baadae hajui anaanzia wapi
Yaani simu ulikuwa unampigia wewe alafu ukamatwe umkane useme haumjui?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea bhana lolYani na tulikuwa watu wengi wakanifata Mimi eti niwasaidie wamezidiwa woooi nilivokumbuka hicho kipindi cha national geographic nikasema shindwa shetani hunipati ng'o nikakataa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio wote wanaokamatwa babuuh, hebu nitafutie na mie nichangamkie fursa, soon nimiliki range rover. [emoji23][emoji23][emoji23]Nikikumbuka Hamisa alivyomegwa na yule bonge nyanya na huko mitandaoni sie wakibongo tukaonekana si kitu.. Nadhani kuna masomo inabidi tuwafunze wadogo zetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanatokea. Angalia "Banged up abroad" na "Airport security" kwenye National Geographic. Sehemu ambayo siamini ni pale kwa jamaa kupiga simu, haipokelewi, halafu anatuma taxi driver kwenda kuchungulia. Wauza unga huwa wana machale sana. Simu kama haipokelewi, wanapotea mara moja hata kwa miguu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan huu uzi ni vituko.Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan haelewi msimbazi iko wapi na kakulia dar? Haahaahaa
Mkuu elezea kidogo alifanyaje kwani?
Yani parcel yenyewe unaibeba mkononi au waweza tia kwa pochi Sasa kunipa Mimi mtoto wa watu nikasema mhhhh sitaki jela mie sijazaa hata mbegu mbili tatu Ili nikipotea niache chata yangu duniani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea bhana lol
Duuuuuuh hii hatareeeh sana lol.drug delar hatakiwi kuukimbia msala kama jambazi maana ana dili na mzigo ule wa Uga ana takiwa asolve kwa means yeyote mzigo uende ndio maana alikwama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Km wanajua kusimamia ukucha? Wasishobokewe sasa? Lolmwanzoni mwa miaka ya 2000 dada mmoja wa kitz kutoka ktk familia ya kishua aliingia kwenye mtego wa penzi zito na kijana wa kipopo(nigerian).
dada yule alikuwa msimamizi mkuu wa mali alizoachiwa na marehemu baba yake ikiwemo magari na nyumba kadhaa jiji dar.
mpopo akatumia maarifa anayojua yeye, akaiba hati ya nyumba moja wapo ya ghorofa moja. nyumba akaipiga bei na kusepa zake US na mtonyo wote.
dada akapoteza nyumba ya ghorofa moja kimasihala tu kwa kushobokea penzi la kijana wa kinaijeria.
ila dada zetu hawakomi....huwaambii kitu kwa vijana wa kinaijeria na wakongo man.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee shos sasa Rotimi yule hana huo mda wa kuzungka na ngada, movie na music unamlipa.Ila jamani mbona Vanessa mdee kapendwa kweli na bishoo Rotimi, na yule msukuma Elizabeth Gullam mtz wa big brother aliolewa na Kelvin Mnaija kitambo bado wako wote...so sio wapopo wote bana[emoji849]
Ila naona posh Queen kaangukia pua[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hata jibu sipati lol.
Uongo wenye mafunzo ndani yake hauna tatizo.stori za icho kipindi nyingi hua ni chai
Aliyekua anampigia sio huyo mdada, na hata hivyo angeweza kuchoropoka bila hata kukamatwa, na pia hata kweny cm angekataa sio yeye, jamaa alimpenda kweli manstura [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani simu ulikuwa unampigia wewe alafu ukamatwe umkane useme haumjui?
Soma Tena habariAliyekua anampigia sio huyo mdada, na hata hivyo angeweza kuchoropoka bila hata kukamatwa, na pia hata kweny cm angekataa sio yeye, jamaa alimpenda kweli manstura [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mawazo yangu dawa zunabebwa tumboni au kweny bags, kumbe hata parcel zinazoingia kwa pochi lol.Yani parcel yenyewe unaibeba mkononi au waweza tia kwa pochi Sasa kunipa Mimi mtoto wa watu nikasema mhhhh sitaki jela mie sijazaa hata mbegu mbili tatu Ili nikipotea niache chata yangu duniani
Aliyekua anampigia sio huyo mdada, na hata hivyo angeweza kuchoropoka bila hata kukamatwa, na pia hata kweny cm angekataa sio yeye, jamaa alimpenda kweli manstura [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]