Binti aliyebebeshwa dawa za kulevya na mchumba wake wakati wa safari ya kwenda kutambulishwa ukweni

Stori hii baada ya kuisoma na kusoma baadhi ya tafakuri za watu waliojaribu kuwaza waza... nimeihitimisha hivi;

EIDHA NI MDADA AMEAMUA KUPINDISHA BAADHI YA DETAILS KUHUSU UHUSIKA WAKE (rejea habari ya kukubali kizembe kutokuaga kwao except wifi na ishu ya kukaa miaka 7 sijui gerezani sijui rumande)
AU
HUENDA NI KWELI ALIBEBESHWA LAKINI KUNA UKWELI MWINGINE MZITO AMEFICHWA JUU YA HII ISHU (rejea ishu ya jamaa kumtanguliza then kujinasibisha naye alipokamatwa na wala asimkane, angalia pia ishu ya ukaguzi nk... nk
AU
PENGINE NI CHAI KAMA CHAI ZINGINE ZA KWENYE KIPINDI HUSIKA (rejea sarakasi za hapo airport kuanzia dereva kutumwa kuchungulia mpaka kushangaa shangaa hadi akashikwa akaongozana na askari asiye na sare kwenda kumdaka mshikaji kilainiii... rejea pia ishu ya kukaguliwa airport japo sijawahi kukwea ndege wala sijui taratibu za airport lakini hizo mbwembwe za ukaguzi zilizidi!
 
Nimejifunza msamiati mpya kwenye huu uzi... MPOPO
 
Ukosahihi,hii story mwenyewe niliisikiliza. Huyu mwamba anaonekana alikuwa na mtu airport sema alimtafuta kwenye simu muda mrefu ili amsaidie Mastura ingawa Mastura alikuwa hajui. Baada ya kumkosa ndo akamtoa chambo Mastura sema alishajua kinaweza kuwaka kwa kumkosa mtu wake wa airport ndo maana akakaa around. Hii story inaogofya sana na ina funzo kubwa kwa dada zetu.
 
Anatoroka vipi wakati hajui kinachoendelea ndani na huyo mwanamke Ana MZIGO wake?
Wewe kichwa chako kinawaza mapenzi tu.mwenzio Ana waza MZIGO wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huo mzigo kapata? Hela je? Kaishia kufungwa maisha, inasaidia nn tena?
 
Duuuuh mbna hataree sana, lol
 
Kweli aisee kwa mfano unakuta unamtongoza mdada kwa mara ya kwanza anaingia kingi!!?
hajui hata kama mashine yangu ni ndefu kama nyoka inaweza mtokea mdomoni!!??
yy anaingia tu jumla jumla ilhali hanijui!?
wadada wote hongereni kwa ujasili wa asili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…