kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Aisee kwa hiyo jimbo liko waziHahahaha nimeolewa nimeachika mkuu[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kwa hiyo jimbo liko waziHahahaha nimeolewa nimeachika mkuu[emoji1787][emoji1787]
Hapana nina mtuAisee kwa hiyo jimbo liko wazi
Ha ha mwambie akuoe sasaHapana nina mtu
Ukosahihi,hii story mwenyewe niliisikiliza. Huyu mwamba anaonekana alikuwa na mtu airport sema alimtafuta kwenye simu muda mrefu ili amsaidie Mastura ingawa Mastura alikuwa hajui. Baada ya kumkosa ndo akamtoa chambo Mastura sema alishajua kinaweza kuwaka kwa kumkosa mtu wake wa airport ndo maana akakaa around. Hii story inaogofya sana na ina funzo kubwa kwa dada zetu.Hata mimi nlijiuliza same question. Huenda alikuwa anampenda kweli ila pia alitaka ambebee zaga. Na ndo maana alikuwa worried hadi kupiga simu na kumtuma tax driver
Pia askari wangejaribu kutambua alikuwa akimpgia nani airport. Inaelekea alikuwa na mtu anayemsaidia kupitisha mizigo pale airport
No sina Dementia.UNA DIMENTIA?
Sasa kufungwa maisha, ndo mamilioni hayo kapata? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Yaani atoroke aache MZIGO wake wa mamilion?
Wewe ungeweza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huo mzigo kapata? Hela je? Kaishia kufungwa maisha, inasaidia nn tena?Anatoroka vipi wakati hajui kinachoendelea ndani na huyo mwanamke Ana MZIGO wake?
Wewe kichwa chako kinawaza mapenzi tu.mwenzio Ana waza MZIGO wake
Duuuuh mbna hataree sana, lolNimekumbuka story flani ya mdada wa kitanzania hivyo hivyo na mpopo wake.
Ila yeye alikuwa anadanganywa kwa kufanyiwa checkups kila wakitaka kusafiri, kumbe katika checkups ndo wanamuweka madawa.
Huwa natamani sana nikumbuke hiyo story nilisoma wapi ili niisome tena, sikumbukagi kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapopo wazee wa fursa.Yule wa jd kiboko asee...afu akawa anajifanya mpoole[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha....mwanaume mbele ya hela mbususu si mali kitu[emoji1787][emoji1787]
Ya masogange na Jackie cliff, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yap yap tumboni ni kidogo Kuna Ile mizigo mikubwa ka ya masogange
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli aisee kwa mfano unakuta unamtongoza mdada kwa mara ya kwanza anaingia kingi!!?
hajui hata kama mashine yangu ni ndefu kama nyoka inaweza mtokea mdomoni!!??
yy anaingia tu jumla jumla ilhali hanijui!?
wadada wote hongereni kwa ujasili wa asili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona hamueleweki jamani....tukiwazungusha pia mnachonga[emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo akisubiri umtongoze mara mia ndio atakuwa amejua size ya mashine yako?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
GOD BLESS!No sina Dementia.
Eeeh asee...mbona umekomaa na mimi hivo??[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ha ha mwambie akuoe sasa
Soma vizuri stori paragraph ya mwishoNani kakuambia alifungwa?