Binti aliyeniacha 2020 kisa kupoteza kazi amerudi 2023. Nishaurini hapa!

Binti aliyeniacha 2020 kisa kupoteza kazi amerudi 2023. Nishaurini hapa!

Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje
Huyu demu aache ujinga anasema toka 2021 hajaguswa wakati juzi tu nimepita nae! Pili hii mada ni ya kizembe mno mbona jibu liko wazi kabisa, usirudi.
 
Mwambie babangida amsalimie mamangida na ngida mwenyewe
 
Man down

Mtashauri vyoote hapa ile mwisho wa siku jamaa atamrudia uyo demu.

Kwa namna anavoonesha apa ni kwamba ameshaingia, anatafuta approval tu kutoka kwetu.

Hii type ya watu wa hivi inafanya wanaume wengine tuonekane takataka
 
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje
Kitendo cha kulifungulia uzi inaonyesha jinsi ulivyo fala na Msengelema kiasi cha kulipa hili swala uzito usio stahili.
Yaani mtu uliyezaliwa wa kiume kabisa ndiyo wa kwenda kuubeba upuuzi kama huu na kuja kuomba ushauri mitandaoni?
No wonder kuna watu mpo na akili za hivi ndiyo maana hata DP World nayo imepata watetezi wengi tu pamoja na aina ile Mkataba.
 
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje
Ako kademu kajanja ,kanatumia akili sana ku manipulate TAHIRA KAMA WEWE.


Ndio maana kanadai " Nmetongozwa sana" , Kuna vitu wanavutiwa navyo kwangu" ..,..


Kachek hapa 👇


Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati.




Demu Anakujua udhaifu wako, najua wee ni wale Jamaa wa 'Nimekupata wewe Mwanamke wangu, naona kama nmekupata Kwa bahati".

Hivo Demu anajua wewe ushajiaminisha ni mzuri.

Anatumia mbinu ya kuku pressurize uone kwamba ukichelewa tu atabebwa na mwingine.



SASA BABI, ACHANA NA HUYO MPUUZI !

ACHANA NAYE KWA SABABU HAUNA UHAKIKA WA KESHO, KUNA KESHO UTAACHISHWA KAZI TENA, ATAKUA HA TENA UNALIA.

ACHANA NAYE KWA SABABU UNA MWANAMKE MWINGINE, ALOAMUA KUKUPANULIA MAPAJA, UKAWA UNAPUNGUZA UPWIRU WAKATI AMBAO HUKUA NA KITU.

ACHANA NAYE KWA SABABU, UNA MWANAMKE MJAMZITO.



Kalishindwa kua kake Bora wakati wa mateso yako, ndio kawe lake Bora wakati Huu??.



Mambo mengine msiwe mnaomba ushauri, ni ujinga, UPUMBAVU na uzuzu
 
Ako kademu kajanja ,kanatumia akili sana ku manipulate TAHIRA KAMA WEWE.


Ndio maana kanadai " Nmetongozwa sana" , Kuna vitu wanavutiwa navyo kwangu" ..,..


Kachek hapa [emoji116]


Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati.




Demu Anakujua udhaifu wako, najua wee ni wale Jamaa wa 'Nimekupata wewe Mwanamke wangu, naona kama nmekupata Kwa bahati".

Hivo Demu anajua wewe ushajiaminisha ni mzuri.

Anatumia mbinu ya kuku pressurize uone kwamba ukichelewa tu atabebwa na mwingine.



SASA BABI, ACHANA NA HUYO MPUUZI !

ACHANA NAYE KWA SABABU HAUNA UHAKIKA WA KESHO, KUNA KESHO UTAACHISHWA KAZI TENA, ATAKUA HA TENA UNALIA.

ACHANA NAYE KWA SABABU UNA MWANAMKE MWINGINE, ALOAMUA KUKUPANULIA MAPAJA, UKAWA UNAPUNGUZA UPWIRU WAKATI AMBAO HUKUA NA KITU.

ACHANA NAYE KWA SABABU, UNA MWANAMKE MJAMZITO.



Kalishindwa kua kake Bora wakati wa mateso yako, ndio kawe lake Bora wakati Huu??.



Mambo mengine msiwe mnaomba ushauri, ni ujinga, UPUMBAVU na uzuzu
Anasema atakuwa mama Bora wakati hapohapo anataka jamaa amuache Binti mjamzito
 
Niliwahi kuachwa na mwanamke nikiwa sina kazi, alikuja kunitafuta aliposikia nimepata kazi na ilikua baada ya miaka mitatu na meseji ya amejifunza bla bla kama hizo jibu langu lilikua moja tu "kwa hiyo miaka yote mitatu ulijua nakusubiri wewe"
Nzuri hiii
 
Sijui how strong you are but mimi hua siachi mwanamke na pia sigombani na mwanamke. Akiniacha nakubali matokeo, akirudi nampokea naendelea kumla ila sio kwa mipango mingine ya mbeleni, ni kumla tu basi.

Sasa ukiwa dhaifu mwanamke anaweza kurudi na ulikua unampenda ukajikuta umerudi kule kule, square zero.

Mwanamke akiniacha kwa sababu yoyote, akirudi simpi nafasi ya kupanga nae mipango ya maisha, nampa nafasi ya kua mchepuko, hatajua kama ni mchepuko ila atakuja kujua baadae, sasa uamuzi utabaki kwake, aondoke tena ama abakie kuendelea kua mchepuko wangu.
Hauna tofauti na mimi mkuu. Huwa simpi mwanamke second chance . When she messed up then its gone , labda abakie kuwa mchepuko tu wa kudumu
 
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje
Msenge kweli wewe
 
Hivi ninyi watoto wa kiume wa siku hizi



Hamuwezi Kujisimamia?
 
Humu ni wengi. Fungua nyuzi za kulalamikia wanawake v/s nyuzi za kulalamikia vijana wa kiume utagundua vilio vya vijana wa kiume ni vingi.

Sasa anayelia lia ni yule aliyepopolewa, na anayepopolewa ndo kazidiwa akili.
Imagine miaka yote mi3 huyo manzi alikua wapi na nani wanafanya nini
Unazidiwa akili hadi na wanyama.
...
Sifa ziko tatu tu kama sio 5
1.Kazi
2. Mkwanja Mkwanja Mkwanja
3.Or Business
Others Fall in 1&2
 
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi . Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena

Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa toka 2021 hajawah kuwa na mtu.

Ndugu zake wananitafuta na mm nimeshakuwa na mtu mwingine ila huyo dada nampenda ila nakwama siwez kumuacha huy maana ana ujauzito

Nimemwambia ila ananiambia unaweza kumuacha n mm tu sijaamua

Ananilaani sana. Kwa kuwa niliwah kwenda kwao ila yeye ndo aliniacha akapata mwngine

Hizi ni baadh ya msg zake:

Ndiyo maana kipind kile najaribu kuomba unisamehe.

Nimejifunza mengi lakini tangu pale swala la mapenzi Mimi naweza nkatongozwa Sana nikawa na mtu lkn akiongelea swala la mapenzi siwezi kuendelea nae kuna vitu uenda vinawavutia kwangu lkn upendo wa kweli ni wa chache pia nilishauriwa na mtumishii mmoja nilimuelezea akanambia usisubuthu kuutoa mwili wako kwa mwanaume.

Siwezii kurudiaa kosa nililotenda mwanzonipe nafasi nyingine I promise.

Nimejifunza mengi also nakujua unanijua nakuahidi ntakua mama Bora kwako na kwa familia yako
naomba nafasi tena moyoni mwako.

Nina streesss CNA mpenzii Ata wakupanga nae kitu.

Sio kwamba hawapo wapo wengi Sana tena wenye each en everything zaidi ya sana wanaotamani ata leo tuoane lakini cjaona mwenye mapenzi ya dhati kwangu na upendo ambao nikilia nae analia nikiumia nae anaumiaa sasa unawaza hapa anaeza kupritend kwenye mahusiano je kwenye ndoa lazma kutakua na uhalisiaa huo upendo sintaupata.

Huyu mtu unamshauri nin au nifanyaje
Kusikia kwa kenge ni mpaka aone masikio yanavuja damu....

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hivi ninyi watoto wa kiume wa siku hizi



Hamuwezi Kujisimamia?
Hahaha. Hawawezi. Huoni kila siku malalamiko. Wengi kazi zao ni kubeti, sasa anayebeti atawezaje kusijisimamia mbele ya binti ambaye ana vicoba sijui 6 anacheza na vyote anavimudu? Anatapeliwa kirahisi tu maana ni mweupe.
 
Jichanganye ukaliwe kichwa vikao hukuhudhuria tunayazungumza sana haya nenda ukatolewe utumbo sasa.
 
Amekuona wewe ni tahira ndio maana anataka umhudumie tena.
Kwa ufupi hakupendi sema sasa kaachwa au bwana wake kafulia
 
Back
Top Bottom