Unajuaga nakupendaga pia 😍HUwa sikupendigi bure Jo na unajua vile nakupendaga😍
Nimemkaushia mkuu anapiga simu sana
ili siku hali ikiwa ngumu urudi kiurahisi siyo.
OK goodHapana
Ili anayekataliwa asijione hana thamani
Uishi sana mrembo...ukk smart hadi raha😍😍Unajuaga nakupendaga pia 😍
Ukiachika niko pakee nakusubiri😻🤤Moja ya kitu nilifundishwa ni kuweka akiba ya maneno
Moja ya jambo sijawahi kufanya ni kumkataa mwanaume katika namna mbaya/dharau
Unastahili sifa 🤣🏃♂️Moja ya kitu nilifundishwa ni kuweka akiba ya maneno
Moja ya jambo sijawahi kufanya ni kumkataa mwanaume katika namna mbaya/dharau
kwa kujua ni chai, umeshushia na maandazi mawili tayariHabari ndugu zangu.
Miaka miwili iliyo pita nilitongoza Binti mmoja mitaa ya home akanichomolea nje.sikukata tamaa mapema nikamrudia kipindi Cha pili majibu alio nipa ni kama hapo juu kichwa nilicho andika.
NO ONE WILL DIE VIRGIN BECAUSE LIFE F&CK ALL OF US
Mtakao Sema chai nimewawekea na maandazi mchukue Moja moja