Binti aliyeniambia hata tukiwa wawili duniani siwezi kuwa na wewe anataka tuwe na mahusiano

Binti aliyeniambia hata tukiwa wawili duniani siwezi kuwa na wewe anataka tuwe na mahusiano

Sasa nisikilize mimi, mkubalie, siku umgegede, next few days mgegede tena mabao mengi afu marefu hadi aseme poo mwenyewe, kisha wiki inayofuata muache/piga chini kwa kumwambia unasubiri siku dunia nzima mbaki wawili pekeyenu ndo utamrudia.
Nimemkaushia mkuu anapiga simu sana
 
Moja ya kitu nilifundishwa ni kuweka akiba ya maneno

Moja ya jambo sijawahi kufanya ni kumkataa mwanaume katika namna mbaya/dharau
Ukiachika niko pakee nakusubiri😻🤤
 
scientist_woman_entering_data_md_nwm_v2.gif
 
We bwana usituchoshe..mpige pumb.u...kisha pita hivi
 
Habari ndugu zangu.


Miaka miwili iliyo pita nilitongoza Binti mmoja mitaa ya home akanichomolea nje.sikukata tamaa mapema nikamrudia kipindi Cha pili majibu alio nipa ni kama hapo juu kichwa nilicho andika.

NO ONE WILL DIE VIRGIN BECAUSE LIFE F&CK ALL OF US

Mtakao Sema chai nimewawekea na maandazi mchukue Moja moja
kwa kujua ni chai, umeshushia na maandazi mawili tayari
 
Back
Top Bottom