Binti amkataa Baba mlezi siku ya Harusi, ampa heshima zaidi Baba mzazi.

We umejudge kwa situation moja tu,ila jua familia zina siri nyingi,kuanzia mtoto mpaka binti anakuwa kiasi cha kuolewa ni miaka mingi,wat if kama baba mzazi alikuwa anahudumia,wat if kama baba mlezi kuna vitu alifanya vya kumkosea heshima binti,wat if baba mlezi alimwonyesha binti anambagua waziwazi,kiuhalisia ni ngum sana mtoto wa kike ukamlea kama binti yako mpaka anakua alafu akaja kukutosa cku ya harusi,na kama hicho kitu kimetokea kweli (coz binadam hawatabiriki pia) basi we pray karma ichukue nafasi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…