Binti amkataa Baba mlezi siku ya Harusi, ampa heshima zaidi Baba mzazi.

Binti amkataa Baba mlezi siku ya Harusi, ampa heshima zaidi Baba mzazi.

Nyuzi kama hizi ukitumia hisia hautapata majibu kamili ,labda tungesikiliza pande zote mbili ndio ungeweza kupata picha kamili.
 
Single maza huwa ni wa kutomber tu unamuacha aendelee na maisha yake.
 
Kwema Wakuu!

Hii inavunja moyo kwa wanaume walioamua kuoa single Mothersl.
Haiwezekani binti umelelewa tangu ukiwa mtoto, ukasomeshwa na Baba mlezi(wakambo) ukamaliza mpaka chuo cha usimamizi wa fedha.

Miaka yote huyo Babaako mzazi hakuwepo. Hakujua unakula nini wala unavaa níni. Wala hakuonyesha kujali,

Umefikisha miaka 25 ndio anajitokeza.
Siku ya harusi unampa heshima kipaombele huku ukimpuuza baba wa kambo aliyekulea.

Nimeumia sana. Hii sherehe imefanyika jana jioni.
Mzee wa Watu katia huruma kweli. Mama mtu naye ni kama hakuonyesha kujali zaidi ya kufurahia sherehe ya binti yake huku aliyemlea sura yake ikiwa haina furaha.

Hata kutambulishwa tuu.

Aiseeh!

Hata kula sikula nilirudi kula makande yangu.

Hekima ni kitu muhimu sana.

Jioni njema
Huwezi jua labda baba wa kambo alikuwa akimgegeda kabla ya kutoa msaada wowote....
 
Ni suala la muda tu huyo binti na mama yake litawakuta la kuwakuta.
Hapana kipenzi. Huwezi jua kilikuwa kinatokea nini kwa huyo binti na baba wa kambo. Labda alikuwa hatoi chochote kabla hajapewa tunda kimabavu....
 
Kwema Wakuu!

Hii inavunja moyo kwa wanaume walioamua kuoa single Mothersl.
Haiwezekani binti umelelewa tangu ukiwa mtoto, ukasomeshwa na Baba mlezi(wakambo) ukamaliza mpaka chuo cha usimamizi wa fedha.

Miaka yote huyo Babaako mzazi hakuwepo. Hakujua unakula nini wala unavaa níni. Wala hakuonyesha kujali,

Umefikisha miaka 25 ndio anajitokeza.
Siku ya harusi unampa heshima kipaombele huku ukimpuuza baba wa kambo aliyekulea.

Nimeumia sana. Hii sherehe imefanyika jana jioni.
Mzee wa Watu katia huruma kweli. Mama mtu naye ni kama hakuonyesha kujali zaidi ya kufurahia sherehe ya binti yake huku aliyemlea sura yake ikiwa haina furaha.

Hata kutambulishwa tuu.

Aiseeh!

Hata kula sikula nilirudi kula makande yangu.

Hekima ni kitu muhimu sana.

Jioni njema
Kichwa cha habari kinadanganya. Hakuna mahali umeonyesha kuwa bibi harusi alimkataa baba yake mlezi. Alichokifanya ni kumpa upendeleo zaidi baba aliyemzaa. Binafsi sioni tatizo maana wale wote muhimu pale wanajua baba yake ni nani na wataendelea kumpa heshima zake. Kama baba mlezi ana watoto wengine ( wa kufikia na wa uzazi wake) aendelee tu kuwalea kwa sababu ni wajibu wake. Hayo mambo ya kutambulishwa katika sherehe sio ya msingi.

Amandla...
 
Huwezi jua labda baba wa kambo alikuwa akimgegeda kabla ya kutoa msaada wowote....
Inawezekana kweli kuna jambo limejificha. Inawezekana kuwa pamoja na kumlipia ada n.k., alikuwa kila siku anamwambia kuwa zile zilikuwa fadhila kwa sababu hakuwa mtoto wake

Wakati mwingine hizo fadhila zilikuwa zinatoka kwa mbinde na wakati mwingine ni juhudi za mama ndio zilizomfikisha alipofika.

Na inawezekana baba wa kambo alikuwa anaonyesha kabisa upendeleo katika familia yake. Ikiwa ni hivyo basi baba wa kambo ndie aliyemkataa binti yake.

Amandla....
 
Inategemea wameishi vipi

Ukifanya mambo mengi kwa kulenga malipo you will become too disappointed .

Mfano Mimi nikioa single mother huyo mtoto wake pamoja na watoto wangu there is no body who will notice this is my step son or daughter .
 
Aisee huyo binti hajakosea hata kidogo. Huwezi kujua ilikuaje mpaka wakaachana. Wanawake ni vichomi sana. Ugomvi wa baba na mama haumuhusu mtoto
 
Single mothers ni balaa zito.


Mfupa ulomshinda fisi, urudiwe na fisi mwenyewe.
 
Aisee huyo binti hajakosea hata kidogo. Huwezi kujua ilikuaje mpaka wakaachana. Wanawake ni vichomi sana. Ugomvi wa baba na mama haumuhusu mtoto


Ugomvi wa mkewe si kigezo cha kukimbia huduma na kumsusia mwngine
 
I feel his pain kwa kweli mwanaume unahenyeka kutafuta ada ya mtoto mara sijui nepi hapo wazazi walikugomea kuoa 1-0 ila ukafosi, harakati zote za ndoa na harusi ukasimamia, ukatoa taarifa za harusi na michango kwa ndugu na marafiki ambao wengi wao wanajua ni mtoto wake wa kumzaa kabisa na sio wa kufikia alafu the end of the day anakuja kutambulishwa boya mmoja hv ambaye hakuwepo katika izo harakati zote for 25 years...alafu anatokea mtu mmoja anakwambia DAMU NI NZITO KULIKO MAJI embu kamwambia ivyo DIAMOND PLATNUM na OMMY DIMPOZ alafu usikie watakacho kujibu.
#TUISHI NAO KWA AKILI
 
Kuna nguvu sana kati ya mtoto wa kike na baba yake mzazi by nature

Japo binti alipaswa kuwapa utambulisho wote no matter what - akil yake haija komaa labda

Nimenasa kwa single mam mwenye 3kids naon kam mnanitoa kwa nguvu zote😁😑
 
Kuna nguvu sana kati ya mtoto wa kike na baba yake mzazi by nature

Japo binti alipaswa kuwapa utambulisho wote no matter what - akil yake haija komaa labda

Nimenasa kwa single mam mwenye 3kids naon kam mnanitoa kwa nguvu zote😁😑
Pambana 😂😂
 
Hapana kipenzi. Huwezi jua kilikuwa kinatokea nini kwa huyo binti na baba wa kambo. Labda alikuwa hatoi chochote kabla hajapewa tunda kimabavu....
Labda kama kuna sababu ya msingi
 
Nyuzi kama hizi ukitumia hisia hautapata majibu kamili ,labda tungesikiliza pande zote mbili ndio ungeweza kupata picha kamili.
Mkuu wala hakuna cha pande mbili. Mzazi ameshakulea, umekua, amekusomesha, umefanikiwa na kazi umepata. Hata kama sio mzazi wako unashindwaje kumshukuru mbele za watu hata kama kuna mambo yaliyokuwa yanaendelea kwa kificho?
 
Back
Top Bottom