Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kweli aisee inauma sana kwakweliNi suala la muda tu huyo binti na mama yake litawakuta la kuwakuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli aisee inauma sana kwakweliNi suala la muda tu huyo binti na mama yake litawakuta la kuwakuta.
Japo inauma lakini ni Ukweli na hii inatokana na wanaume wanaotanguliza Nyeye mbele kuliko Akili.Umelilea toto la single mother miaka 25 yote umejipinda toto linaolewa credit kwa Baba aliemtia Mimba Mama yake Wewe Baba Mlezi Fala tu kimbelembele chako cha upwiru kimekuponza ukamwaga noti
Hio inaumiza mpaka ndani kwenye mifupaJapo inauma lakini ni Ukweli na hii inatokana na wanaume wanaotanguliza Nyeye mbele kuliko Akili.
Wewe unahangaika usiku na mchana kutafuta riziki na jasho juu kulea mtoto ambaye Baba aliyemkwanyua mama yaka akatia mimba yeye pesa zake anakula pombe na wanawake wengine.
Ataacha kukudharau?
Sasa wewe kwanini hukula kwani wewe ndio Baba Mlezi?Hata kula sikula nilirudi kula makande yangu.
Sasa wewe kwanini hukula kwani wewe ndio Baba Mlezi?
Kula kuku hizo sepa hayakuhusu
Nawe ndio walewale tuKwani alimuomba uo msaada.?
Wacha akome
Mzee kama huyo kwann hakuoa binti mpka akaoa mke na mzazi wa mtu?
Kulea bao la mwanaume mwenzako malipo yake ndo hayo.
Wacha akome kupiga mipira ilokufa
Ah ndio akome....wee unaenda kulea bao la mwanaume mwenzio kweli una akili au matope 🤣🤣🤣🤣🤣Kwema Wakuu!
Hii inavunja moyo kwa wanaume walioamua kuoa single Mothersl.
Haiwezekani binti umelelewa tangu ukiwa mtoto, ukasomeshwa na Baba mlezi(wakambo) ukamaliza mpaka chuo cha usimamizi wa fedha.
Miaka yote huyo Babaako mzazi hakuwepo. Hakujua unakula nini wala unavaa níni. Wala hakuonyesha kujali,
Umefikisha miaka 25 ndio anajitokeza.
Siku ya harusi unampa heshima kipaombele huku ukimpuuza baba wa kambo aliyekulea.
Nimeumia sana. Hii sherehe imefanyika jana jioni.
Mzee wa Watu katia huruma kweli. Mama mtu naye ni kama hakuonyesha kujali zaidi ya kufurahia sherehe ya binti yake huku aliyemlea sura yake ikiwa haina furaha.
Hata kutambulishwa tuu.
Aiseeh!
Hata kula sikula nilirudi kula makande yangu.
Hekima ni kitu muhimu sana.
Jioni njema
hii comment imejaa hisia, usiogope mkuu wako watoto waliojaa shukrani ni tabia ya mtu tuHio inaumiza mpaka ndani kwenye mifupa
Hawa wa kubambika ndani ya ndoa nasikia huwa wanatambulika kwa kanuni moja tu,kua kitanda hakizai haramu!![emoji3]
Alafu kuna wa ndani ya ndoa alafu ni haramu yaani waliobambikwa
Mtoto si nguo tombah mtu.Mtoto si nguo utaomba mtu.
Hawa wa kubambika ndani ya ndoa nasikia huwa wanatambulika kwa kanuni moja tu,kua kitanda hakizai haramu!!
Tenda wema uende zako, kilichomponza mzee ni kusubir fadhila
CrapMkuu,
Mimi siwezi kuoa 0-1 (handicap).
Lkn kwa mnaofanya hivyo tambua kuwa mahitaji unayomhudumia ni hisani tu,siyo uwekezaji.
Lkn pia km hajamtukana mtu wala kumdhalilisha ubaya uko wapi?
Kwamba alipaswa kigeuza kibao aliyemlea ndiye awe mzazi?
Kwani mama yake alikuwa hafanyi chochote ktk familia hiyo mpaka iwe sababu ya kumfanya huyo mlezi apewe taji la baba mzazi?