Binti asakwa na Polisi kwa kudaiwa kuweka dawa za nguvu za kiume kwenye tanki la maji

Umekunywa zako maji ya kanisa, unafika kwa mamiloo unamuwashia moto wa laana unajisemea au ulikunywa maji ya baraka
πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£
Sasa hiyo si imeact hapo hapo..

......"Multiple congregants were affected, and the similarities in their ordeal gave them an idea of the crime Tracy had committed."....
 
Idara za maji ya mikoa isione hii taarifa πŸ˜‚ watu watajipatia uponyaji kupitia mabomba ya maji majumbani
 
Masister hawajapigwa pumbu kweli🀣🀣🀣🀣
 
Tracy then allegedly threw the aphrodisiac into the church water and it was drama in the building.
What kind of drama?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Inaonekana katika uzinzi anaotenda na wanaume wa kanisa hilo ni game kama goli la Yanga majuzi hapa. Hivyo kaamua kuwawekea ile kitu ya kuzimua
 
Maelezo yanasema zim, video inasema kenya, which is which masta ?
 
Tracey had bought enhancing pills which works by increasing blood flow to the penis, helping the user maintain an erection.
Labda kuna waumini hapo kanisani wanapita kwake ila hawamfikishi aliamuwa kuwapa booster
 
Mundende...
Ila comment za wadau humu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Binti huku mara kijana, nyie watu sijui mnafikiria nini mkiandika
Ni sawa tu mkuu, "kijana"inamaanisha umri wa makamo si mtoto wala si mtu mzima,pia anawezakuwa msichana au mvulana. Na hapa tumetambua kuwa ni msichana kutokana jina lililotumiwa nila mwanamke.(Tracey)
 
Video Taveta Kenya maelezo Bulawayo Zimbabwe

Haya bana
 
Binti mara kijana tukueleweje sasa nyoko wewe? [emoji848]

Ina maana hadi umri huu haujajua tofauti ya binti na kijana? [emoji848]

Anyways nimependa ujasiri wa binti katika kuhamasisha watu kugegedana. Kwa hicho alichowawekea waumini inabidi wale mgegedo ndio dawa iishe nguvu zake.
 
Unaweza kuleta ushahidi usiotia shaka?
Kuna Vitu viwili Kuna Ukweli halafu kuna Ushahidi..
Ukweli Si lazma uwekewe Ushahidi kwa sbabu unafahamika..
Ila Uongo ili uweze kupewa Nguvu unaitaji ushahidi..🀣🀣..

Kwa mfano kuna watu wanashindwa kesi na wanakutwa na hatia wakati Kosa hawajafanya ni kwa sababu ushahidi wao haukutosha..
Unataka kuniambia Mahakama Imesema kweli wanahatia?? Au Ushahidi haukutosha kuthibitisha wana hatia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…