KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
nilishakuonya kuniita mkuu mimi ni baby wako! ukome hiyo tabia!Nipo mkuu, majukumu tu yalinibana..
Yapi hayo yalijiri wakati sipo?
mapya ni nimekuhamu sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilishakuonya kuniita mkuu mimi ni baby wako! ukome hiyo tabia!Nipo mkuu, majukumu tu yalinibana..
Yapi hayo yalijiri wakati sipo?
Alisema mama#kifonikifo
Mie nipo, nilikuhamu pianilishakuonya kuniita mkuu mimi ni baby wako! ukome hiyo tabia!
mapya ni nimekuhamu sana!
Mimi silalagi kwa watuUwe makini Binti nawe yasije mkumba kijana wawatu
Kabisa mkuu kama hapo huyo kijana na yeye amekuta mpenzi wake kashafariki lakini watamtuhumu yeyeKesi kama hii ikikukuta Africa hata kama hukushiriki hutoboi. Polisi wetu ni wavivu wa upelelezi huwa anatafutwa wa kuangushiwa jumba bovu waendelee na majukumu mengine.
Hadi leoMimi silalagi kwa watu
sawa kesho uje nashida nawewe!, birthday yako lini mchumba..?Mie nipo, nilikuhamu pia
Nimeacha tayari
Hakika mkuu, inabidi kutokaribisha wageni nyumbani kwa usalama zaidiWakati najiandaa na mtihani wa kidato cha nne
Tulikuwa tunakaa Gheto tunasoma kutokana na akili za kukariri mambo watu walikuwa wakija kusoma gheto ninapokaa.
Siku moja alikuja Dada fulani ghafla akaanza kuumwa pale gheto aoikuwa anaumwa PUMU Mimi nilikuwa sielewi chochote kile.
Kilichosaidia mama mmoja akasema huyu anaumwa pumu so tulienda mchukulia dawa Fulani na Pepsi ndo - akapata nafuu
Ila angefia gheto , na alipanga siku hiyo tukeshe tunasoma na wadau wengine
So kafia gheto inaweza kukutokea hata bila kujua
Ndiyo mkuuHadi leo
Usiogope sanaNdiyo mkuu
Lazima niogopeUsiogope sana
Kuna NyumbaniHakika mkuu, inabidi kutokaribisha wageni nyumbani kwa usalama zaidi
Mbona Birth date yangu Iko humu na naisherekea since 2023,. We pekua tu mafile vizurisawa kesho uje nashida nawewe!, birthday yako lini mchumba..?
NOMA SANA MKUU...Alisema mama
Mimi najua kupekua vyengine hili nisaidie mpenzi ama wewe hutaki kuja kwangu siku yako ya birthday nikakupa zawadi..?Mbona Birth date yangu Iko humu na naisherekea since 2023,. We pekua tu mafile vizuri
Mfano mwanamke kafia nyumbani kwako wewe mwenye nyumba hautakuwa kwenye hatari??Kuna Nyumbani
Kuna gheto
Hizi ni sehemu mbili Tofauti