Binti miaka 19 afariki siku yake ya kuzaliwa akiwa geto kwa mpenzi wake

Binti miaka 19 afariki siku yake ya kuzaliwa akiwa geto kwa mpenzi wake

%95 ya mahusiano ya kizazi cha sasa ni yanaanza katika misingi isiyo kuwa rasimi bila kujali waanzisha mahusiano wana umri gani na bado wanasoma au wamemaliza masomo.
Na chanzo cha haya yote ni kwa sababu ya asilimia kubwa ya mahusiano huwa yaanzishwa kwenye msingi wa uzinzi na kutimiza tamaa za mwili tu na si kwa misingi ya kuanzisha familia.
Sasa mkuu unategemea binti yako hata kama ana miaka 30 atakutambulisha kwa mwanaume wake hali ya kuwa hajaja kujitabulisha kwako?

Au unategemea kijana wako wa kiume akutambulishe kwa mademu zake ambao ndo anapo tuliza nyege zake kipindi anasubilia muda wa kuoa ufike?

Mabinti wa siku hizi mpaka anaolewa unakuta amesha tembea na mabwana 10 kwa hiyo hao wote anatakiwa awe anawatambulisha kwa wazazi wake ili wawajue?
Mkuu hoja yako haijaeleweka kama vipi fafanua zaidi.
Mkuu naomba unieleweshe tofauti Kati ya kijana na binti halafu tutaendelea na mada.
 
Kijana kabeba msala, hapo hachomoki, kwa sheria za kipolisi Mark ni mtuhumiwa namba 1, wengine watafuata
 
Ikiwa halijakukuta utaona kawaida tu.

Miaka kama mingapi huko nyuma,mjama furani tulikua tunakaa jengo moja,milango imepakana. Kavuta chombo safi,kaanza kukikolombweza. Mechi tu inaisha,mdada amezimia. Lijamaa liite,likiwa wa mnyama,mdaada wa watu nae kama alivyozaliwa,ulimi umetoka. Msenge badala ya kufanya jitihada za kumpeleka hata hospitali, kavaa na kukimbia.
Jirani hapo sasa, na mi nishaambiwa ukimshika mtu alokufa,alama za vidole hazifutiki. Mi nifungwe kisa mtu aliegegeda! Niliishia tu kula kwa macho,mlango kurudishia,nilitumia fagio,mida kama saa tano usiku ndo mwanamke kazinduka. Kumpigia simu mtu wake,keshaiminya haipatikani.

Haya mambo yasikie kwa mwenzio tu.
 
Mkuu naomba unieleweshe tofauti Kati ya kijana na binti halafu tutaendelea na mada.
Hata binti ni kijana na ndio maana kwenye andiko langu nimeandika kijana wa kiume sijaandika kijana tu.
 
Huu msala
Kafia gheto, jamaa kamiti kunamhusu

Ova
 
Back
Top Bottom