Binti miaka 19 afariki siku yake ya kuzaliwa akiwa geto kwa mpenzi wake

Binti miaka 19 afariki siku yake ya kuzaliwa akiwa geto kwa mpenzi wake

Mashisha haya wanayovuta watoto wa kike siku hizi sio salama sijui kwann wanayapenda.

Kuna jambo ambalo naona ni changamoto sana na jamii inatakiwa kulitafakari upya.

Vijana wengi wanakutwa na umri wa kuanza mahusiano wakiwa kwa wazazi. Shinikizo la wazazi linakuwa ni kwamba mapenzi ni kitu haramu na hutakiwi kuyaingia hadi umalize shule.

Ule muda wa kumaliza shule ni mrefu na hapo katikati vishawishi ni vingi. Vijana na mabinti wengi wanapotea eneo hilo na kuharibu future zao za kimahusiano sababu ya kusubiria wakati rasmi ambao huwa ni miaka mingi mbele.

Matokeo ndio kama hivi, vijana na mabinti wanakuwa na shughuli za kimahusiano zisizo rasmi na wazazi hawajui lolote.
 
Pisi yenyewe
FB_IMG_1741769232098.jpg
 
Mashisha haya wanayovuta watoto wa kike siku hizi sio salama sijui kwann wanayapenda.

Kuna jambo ambalo naona ni changamoto sana na jamii inatakiwa kulitafakari upya.

Vijana wengi wanakutwa na umri wa kuanza mahusiano wakiwa kwa wazazi. Shinikizo la wazazi linakuwa ni kwamba mapenzi ni kitu haramu na hutakiwi kuyaingia hadi umalize shule.

Ule muda wa kumaliza shule ni mrefu na hapo katikati vishawishi ni vingi. Vijana na mabinti wengi wanapotea eneo hilo na kuharibu future zao za kimahusiano sababu ya kusubiria wakati rasmi ambao huwa ni miaka mingi mbele.

Matokeo ndio kama hivi, vijana na mabinti wanakuwa na shughuli za kimahusiano zisizo rasmi na wazazi hawajui lolote.
%95 ya mahusiano ya kizazi cha sasa ni yanaanza katika misingi isiyo kuwa rasimi bila kujali waanzisha mahusiano wana umri gani na bado wanasoma au wamemaliza masomo.
Na chanzo cha haya yote ni kwa sababu ya asilimia kubwa ya mahusiano huwa yaanzishwa kwenye msingi wa uzinzi na kutimiza tamaa za mwili tu na si kwa misingi ya kuanzisha familia.
Sasa mkuu unategemea binti yako hata kama ana miaka 30 atakutambulisha kwa mwanaume wake hali ya kuwa hajaja kujitabulisha kwako?

Au unategemea kijana wako wa kiume akutambulishe kwa mademu zake ambao ndo anapo tuliza nyege zake kipindi anasubilia muda wa kuoa ufike?

Mabinti wa siku hizi mpaka anaolewa unakuta amesha tembea na mabwana 10 kwa hiyo hao wote anatakiwa awe anawatambulisha kwa wazazi wake ili wawajue?
Mkuu hoja yako haijaeleweka kama vipi fafanua zaidi.
 
Hamna hatari yoyote ikiwa amekufa kifo cha kawaida .

Ndo maana unashauriwa kuwa mwanamke akija kwako anabidi atoe taarifa zake kwa watu wake wa Muhimu.
Mkuu kwa polisi wetu hawa wazembe wa kufanya uchunguzi utaipatapata.
 
Jamaaa atakuwa aliipiga mbususu kweli kweli mpaka demu kakosa hewa 🤣🤣🤣🤣
Jamani warembo njooni kwetu sie wazee wa dakika mbili chali
Huko kwa kina mandingo mtakufaaaa
Dah! 😁😁😁🙌
 
Back
Top Bottom