Binti miaka 19 afariki siku yake ya kuzaliwa akiwa geto kwa mpenzi wake

Nipo mkuu, majukumu tu yalinibana..

Yapi hayo yalijiri wakati sipo?
nilishakuonya kuniita mkuu mimi ni baby wako! ukome hiyo tabia!

mapya ni nimekuhamu sana!
 
Wakati najiandaa na mtihani wa kidato cha nne

Tulikuwa tunakaa Gheto tunasoma kutokana na akili za kukariri mambo watu walikuwa wakija kusoma gheto ninapokaa.

Siku moja alikuja Dada fulani ghafla akaanza kuumwa pale gheto aoikuwa anaumwa PUMU Mimi nilikuwa sielewi chochote kile.

Kilichosaidia mama mmoja akasema huyu anaumwa pumu so tulienda mchukulia dawa Fulani na Pepsi ndo - akapata nafuu


Ila angefia gheto , na alipanga siku hiyo tukeshe tunasoma na wadau wengine

So kafia gheto inaweza kukutokea hata bila kujua
 
Kesi kama hii ikikukuta Africa hata kama hukushiriki hutoboi. Polisi wetu ni wavivu wa upelelezi huwa anatafutwa wa kuangushiwa jumba bovu waendelee na majukumu mengine.
Kabisa mkuu kama hapo huyo kijana na yeye amekuta mpenzi wake kashafariki lakini watamtuhumu yeye
 
Hakika mkuu, inabidi kutokaribisha wageni nyumbani kwa usalama zaidi
 
Mbona Birth date yangu Iko humu na naisherekea since 2023,. We pekua tu mafile vizuri
Mimi najua kupekua vyengine hili nisaidie mpenzi ama wewe hutaki kuja kwangu siku yako ya birthday nikakupa zawadi..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…