Inawezekana chumba hakina mzunguko wa hewa hewa wa kutosha na yeye alikuwa pombe sana.Huenda alikunywa pombe Kali siku hiyo
Mkuu naomba unieleweshe tofauti Kati ya kijana na binti halafu tutaendelea na mada.%95 ya mahusiano ya kizazi cha sasa ni yanaanza katika misingi isiyo kuwa rasimi bila kujali waanzisha mahusiano wana umri gani na bado wanasoma au wamemaliza masomo.
Na chanzo cha haya yote ni kwa sababu ya asilimia kubwa ya mahusiano huwa yaanzishwa kwenye msingi wa uzinzi na kutimiza tamaa za mwili tu na si kwa misingi ya kuanzisha familia.
Sasa mkuu unategemea binti yako hata kama ana miaka 30 atakutambulisha kwa mwanaume wake hali ya kuwa hajaja kujitabulisha kwako?
Au unategemea kijana wako wa kiume akutambulishe kwa mademu zake ambao ndo anapo tuliza nyege zake kipindi anasubilia muda wa kuoa ufike?
Mabinti wa siku hizi mpaka anaolewa unakuta amesha tembea na mabwana 10 kwa hiyo hao wote anatakiwa awe anawatambulisha kwa wazazi wake ili wawajue?
Mkuu hoja yako haijaeleweka kama vipi fafanua zaidi.
Binti anaweza kuwa hata wa mwaka mmoja...Mkuu naomba unieleweshe tofauti Kati ya kijana na binti halafu tutaendelea na mada.
Ila binti pia anaweza kuwa kijana au siyo.Binti anaweza kuwa hata wa mwaka mmoja...
Bora kichakani au kwenye bomaDuh! Haya mambo ya kulala geto siyo salama sana unakmlaribisha mtu ana matatizo yake anakufia msala unakuangukia
Yeah for sureIla binti pia anaweza kuwa kijana au siyo.
Watoto wa siku hizi wanakua sana asee miaka 19 yupo hivyo 😳Pisi yenyeweView attachment 3267654
Mkuu hapo juu anasema kijana na binti ni vitu viwili tofautiYeah for sure
Hata binti ni kijana na ndio maana kwenye andiko langu nimeandika kijana wa kiume sijaandika kijana tu.Mkuu naomba unieleweshe tofauti Kati ya kijana na binti halafu tutaendelea na mada.
Tuko pamojaHata binti ni kijana na ndio maana kwenye andiko langu nimeandika kijana wa kiume sijaandika kijana tu.
Well saidHata binti ni kijana na ndio maana kwenye andiko langu nimeandika kijana wa kiume sijaandika kijana tu.
Alafu huyu rafiji yake muwongo walipigwa 3ssome hawa sema karuka hicho kisehemu cha storyMost likely. Hawa mademu wa siku hizi wanajitoa akili
Ndio wakome kuparamia muhogo ya wanaume rijali bora watulie na sie vibamia dakika mbili chaliHatari sana
Kila kitu kinawezekana kwenye kifoIna
Inawezekana chumba hakina mzunguko wa hewa hewa wa kutosha na yeye alikuwa pombe sana.
Sanaaa, na ukute ndio ilikuwa mara ya kwanza kunywa anataka ajaribu kila kituMost likely. Hawa mademu wa siku hizi wanajitoa akili
Yeah ndio maana nikawaza hivyoNa walikuwa wametoka kuparty