Binti miaka 19 afariki siku yake ya kuzaliwa akiwa geto kwa mpenzi wake

Mkuu naomba unieleweshe tofauti Kati ya kijana na binti halafu tutaendelea na mada.
 
Kijana kabeba msala, hapo hachomoki, kwa sheria za kipolisi Mark ni mtuhumiwa namba 1, wengine watafuata
 
Ikiwa halijakukuta utaona kawaida tu.

Miaka kama mingapi huko nyuma,mjama furani tulikua tunakaa jengo moja,milango imepakana. Kavuta chombo safi,kaanza kukikolombweza. Mechi tu inaisha,mdada amezimia. Lijamaa liite,likiwa wa mnyama,mdaada wa watu nae kama alivyozaliwa,ulimi umetoka. Msenge badala ya kufanya jitihada za kumpeleka hata hospitali, kavaa na kukimbia.
Jirani hapo sasa, na mi nishaambiwa ukimshika mtu alokufa,alama za vidole hazifutiki. Mi nifungwe kisa mtu aliegegeda! Niliishia tu kula kwa macho,mlango kurudishia,nilitumia fagio,mida kama saa tano usiku ndo mwanamke kazinduka. Kumpigia simu mtu wake,keshaiminya haipatikani.

Haya mambo yasikie kwa mwenzio tu.
 
Mkuu naomba unieleweshe tofauti Kati ya kijana na binti halafu tutaendelea na mada.
Hata binti ni kijana na ndio maana kwenye andiko langu nimeandika kijana wa kiume sijaandika kijana tu.
 
Huu msala
Kafia gheto, jamaa kamiti kunamhusu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…