lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,356
Nimekubali dadeki duuhWapo wengi tu mbona huyo ni zeruzeru kabisa check huyu from dinka south sudan
View attachment 2026835
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekubali dadeki duuhWapo wengi tu mbona huyo ni zeruzeru kabisa check huyu from dinka south sudan
View attachment 2026835
Kitu red kitu meno whiteNimekubali dadeki duuh
Halafu wametumia vigezo gani coz bongo kuna people ni black zikicheka yanaonekana meno tu.
Eeh hii kweli ngoma nyeusi nimeikubali.View attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.
Nyakim anajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.
Makofi kwake
Binti mzuri sana
itakua filters hizoHapa alijichubua kidogo
MtamuBinti mzuri sana
Yesitakua filters hizo
Sooo beautiful
Hahaha mabinti weusi wanauzuri uliojificha hatari....weupe ni show off tuMtamu
Wa baridiHahaha mabinti weusi wanauzuri uliojificha hatari....weupe ni show off tu
Pia mlegezo mnoo kuleWa baridi
Kina umbo zuriView attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.
Nyakim anajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.
Makofi kwake
Nilipotazama kwa haraka nikadhani ni wale wanachongwa na wamakondeView attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.
Nyakim anajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.
Makofi kwake
mkuu hivi ni kweli au kajipaka lami nyeusi iliyopoa?View attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.
Nyakim anajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.
Makofi kwake
Hili ndio kundi la Weusi?
Katakana na Mungumkuu hivi ni kweli au kajipaka lami nyeusi iliyopoa?