Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Tumia simu za maana upate vitu katika HD siyo hako ka- Tecno halafu unatupigia kelele 😁😁😁Picha yake ipo wapi mbona nimeiona kigauni Cha blue tuu hapo Binti mwenyewe simuoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia simu za maana upate vitu katika HD siyo hako ka- Tecno halafu unatupigia kelele 😁😁😁Picha yake ipo wapi mbona nimeiona kigauni Cha blue tuu hapo Binti mwenyewe simuoni?
Hawa hata mimi nimewashinda, ninawafunika vibaya mno
View attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.
Nyakim anajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.
Makofi kwake
PurpleKwa bibi kukoje!
🐵🐵🐵🦧🦧🦧Alisema ana tako linataka kudondoka, tako laini analazimika kuvaa skin tight 2 angalau kulishikilia tako lisidondoke.
Haya maisha😂
Tena giza totoroHuyo si mweusi tu bali ni giza
View attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.
Nyakim anajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.
Makofi kwake
Ndani ni nyekunduuu halafu yamoto bandView attachment 2026655
Mkazi wa Gambele nchini Ethiopia ambaye kwa uasili ni mtu wa Sudan Kusini kutoka kabila la Dinka bi Nyakim Gatwech mwenye umri wa miaka 27 ndio kwa sasa mtu mweusi zaidi duniani.
Nyakim anajulikana kwa ngozi yake yenye weusi asilia.
Makofi kwake
Chunga lugha yako ya kijinga, watu huumbwa na mwenyezi Mungu huenda wewe mjinga ulijiumba mwenyewe ukawa na nuru.Huyo si mweusi tu bali ni giza
Mtaalam sana wewe mjomba. Halafu wanakuwa watamu zaidi ya sukari guruNdani ni nyekunduuu halafu yamoto band