Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji848][emoji848][emoji848] Daaah Ungevaa Viatu Vyangu Wallah.....Ningezaliwa mwanamme ningechakata hizi nyuchi na singetoa mia *****.
Utaendelea kumpa na kumpa bila kumgonga mpaka ushindwe kumpa tena.
Pesa za nini?
Proxyy wewe unatoka wapi? wewe bado uko ktk mapenzi hakuna kitu bure ,bure kafaa zamani unataka kuogolea kila bahari utaziweza kila bahari ina mawimbi yake ,kama umeamua kumsaidia msaidie tu na hiyo ndio test yako ya kwanza.Wakuu habari za muda huu , nisiwachosha na mambo mengi ngoja nije moja kwa moja kwenye mada. Wiki iliyopita katika harakati zangu za kutafuta nilikutana na binti mrembo kiasi.
Kama mjuavyo hulka ya mwanaume anapokutana na pisi lazima utesti mambo. Kwangu pia ilikua hivi toka siku nilipokutana na huyo mrembo niakaaza kumtongoza kwa sababu tayari nilishachukua namba yake licha ya yeye kuto toa jibu la kunikubalia.
Leo kanitumia meseji ya kuniombo shilingi 100,000 kwa masharti ya kumuazima na atarudisha baadae ya wiki 2 Mara baada ya kupokea mshahara waka kwa kuwa ni mfanyakazi.
Binafsi sijamjibu na sijajua mpaka sasa namjibu nini, nimeamua kuandika hapa ili kuomba ushauri kwamba pisi unayoitokea inapokuomba uiazime pesa itaweza kurejesha kweli? Lakini pia kama ikitokea nikamwazima hiyo pesa ataweka uzito wa kuirejesha kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana mkuu, jamaa asipokuwa makini soon ataleta uzi mwingine wa kulialia.Jiandae kupigwa na kitu kizito
Ukimpa ujue umetoa sadaka.Wakuu habari za muda huu , nisiwachosha na mambo mengi ngoja nije moja kwa moja kwenye mada. Wiki iliyopita katika harakati zangu za kutafuta nilikutana na binti mrembo kiasi.
Kama mjuavyo hulka ya mwanaume anapokutana na pisi lazima utesti mambo. Kwangu pia ilikua hivi toka siku nilipokutana na huyo mrembo niakaaza kumtongoza kwa sababu tayari nilishachukua namba yake licha ya yeye kuto toa jibu la kunikubalia.
Leo kanitumia meseji ya kuniombo shilingi 100,000 kwa masharti ya kumuazima na atarudisha baadae ya wiki 2 Mara baada ya kupokea mshahara waka kwa kuwa ni mfanyakazi.
Binafsi sijamjibu na sijajua mpaka sasa namjibu nini, nimeamua kuandika hapa ili kuomba ushauri kwamba pisi unayoitokea inapokuomba uiazime pesa itaweza kurejesha kweli? Lakini pia kama ikitokea nikamwazima hiyo pesa ataweka uzito wa kuirejesha kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhonga na kugongwa ni ishu mbili tofauti. Ukimpa hiyo ni rushwa hivi ya kutaka mzigo.
Wee nae unakiraru raru mnoJuzi nilienda kwake ,alikataa nisiingie ndani kwa kuwa kwenye hiyo nyumba ataihama ndani ya siku hizi mbili, pia anadai nimpe pesa amalize mambo yake halafu ndio tuongee vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app