Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Naomba laki 1🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba laki 1🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Temana naeWakuu habari za muda huu,
Nisiwachosha na mambo mengi ngoja nije moja kwa moja kwenye mada. Wiki iliyopita katika harakati zangu za kutafuta nilikutana na binti mrembo kiasi.
Kama mjuavyo hulka ya mwanaume anapokutana na pisi lazima utesti mambo. Kwangu pia ilikua hivi toka siku nilipokutana na huyo mrembo niakaaza kumtongoza kwa sababu tayari nilishachukua namba yake licha ya yeye kuto toa jibu la kunikubalia.
Leo kanitumia meseji ya kuniombo shilingi 100,000 kwa masharti ya kumuazima na atarudisha baadae ya wiki 2 Mara baada ya kupokea mshahara waka kwa kuwa ni mfanyakazi.
Binafsi sijamjibu na sijajua mpaka sasa namjibu nini, nimeamua kuandika hapa ili kuomba ushauri kwamba pisi unayoitokea inapokuomba uiazime pesa itaweza kurejesha kweli? Lakini pia kama ikitokea nikamwazima hiyo pesa ataweka uzito wa kuirejesha kweli?
Hii kitalam inaitwa REGISTRATION FEEWakuu habari za muda huu,
Nisiwachosha na mambo mengi ngoja nije moja kwa moja kwenye mada. Wiki iliyopita katika harakati zangu za kutafuta nilikutana na binti mrembo kiasi.
Kama mjuavyo hulka ya mwanaume anapokutana na pisi lazima utesti mambo. Kwangu pia ilikua hivi toka siku nilipokutana na huyo mrembo niakaaza kumtongoza kwa sababu tayari nilishachukua namba yake licha ya yeye kuto toa jibu la kunikubalia.
Leo kanitumia meseji ya kuniomba shilingi 100,000 kwa masharti ya kumuazima na atarudisha baadae ya wiki 2 Mara baada ya kupokea mshahara kwa kuwa ni mfanyakazi.
Binafsi sijamjibu na sijajua mpaka sasa namjibu nini, nimeamua kuandika hapa ili kuomba ushauri kwamba pisi unayoitokea inapokuomba uiazime pesa itaweza kurejesha kweli? Lakini pia kama ikitokea nikamwazima hiyo pesa ataweka uzito wa kuirejesha kweli?
Goodwill
Oy we sikia sas, ingekua vocha sawa lakin laki uczani watu wote wana uchumi kam wako mzee, usirahisishe mamb ivo mzee, uhudumie mwanamke sio wakoToa pesa acha ngonjela mingi zisiZo na maana
Kaz ya mwanaume ni kutafta pesa na kumuhudumia mwanamke
Huu ni ujinge tena ujinga uliokisili wanaume tumekua watu wa kulalamika kla sku pesa pesa sas hamjui kaz ya mwanaume ni kufanya kaz na kutafta pesa na km huna pesa na unataka mapenzi tomboaaa mkono wako au tafta mgomba utoboe tundu uingize mboo yako au tafta wanyama si pia wana uchi
Wanaume tutafte pesa ata km sio nying ila tutafte pesa ili tuweze kuwaudumia tuwapendao
Mwanaume tunakosa usingizi ili tunaowapenda walale na wapate usingizi iyo ndo nature
Shida nini?[emoji848][emoji848][emoji848] Daaah Ungevaa Viatu Vyangu Wallah.....
Wakuu habari za muda huu,
Nisiwachosha na mambo mengi ngoja nije moja kwa moja kwenye mada. Wiki iliyopita katika harakati zangu za kutafuta nilikutana na binti mrembo kiasi.
Kama mjuavyo hulka ya mwanaume anapokutana na pisi lazima utesti mambo. Kwangu pia ilikua hivi toka siku nilipokutana na huyo mrembo niakaaza kumtongoza kwa sababu tayari nilishachukua namba yake licha ya yeye kuto toa jibu la kunikubalia.
Leo kanitumia meseji ya kuniomba shilingi 100,000 kwa masharti ya kumuazima na atarudisha baadae ya wiki 2 Mara baada ya kupokea mshahara kwa kuwa ni mfanyakazi.
Binafsi sijamjibu na sijajua mpaka sasa namjibu nini, nimeamua kuandika hapa ili kuomba ushauri kwamba pisi unayoitokea inapokuomba uiazime pesa itaweza kurejesha kweli? Lakini pia kama ikitokea nikamwazima hiyo pesa ataweka uzito wa kuirejesha kweli?
Naomba niazime laki moja[emoji4]HEBU ACHA UJINGA JAMAA,,,,,,, MPE TU HIYO 100K.
yaani LAKI tu, unapiga kelele namna hiyo,
Duh! Wanaume tujitambue jamani.
Nikutumie kwenye namba ipi????Naomba laki 1