Binti, usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa

Binti, usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
"Binti usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa, ukimpa hawezi kukuthamini ataona kama unampa kabla ya ndoa akiwa sio mume wako unaweza kumsaliti ndani ya ndoa kwakuwa huna msimamo na mwili wako, hakikisha unampa baada ya kukuvisha Pete ya ndoa kidoleni mwako"
1732767627329.jpg
 
"Binti usikubali kumView attachment 3163773pa mwanaume ambaye bado hajakuoa, ukimpa hawezi kukuthamini ataona kama unampa kabla ya ndoa akiwa sio mume wako unaweza kumsaliti ndani ya ndoa kwakuwa huna msimamo na mwili wako, hakikisha unampa baada ya kukuvisha Pete ya ndoa kidoleni mwako"
Na kijana wa kiume usikubali kugharamia mtoto wa kike mpaka ndoa na hata akitaka kitu cha tshs mia mwambie asubirie ndoa.
 
"Binti usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa, ukimpa hawezi kukuthamini ataona kama unampa kabla ya ndoa akiwa sio mume wako unaweza kumsaliti ndani ya ndoa kwakuwa huna msimamo na mwili wako, hakikisha unampa baada ya kukuvisha Pete ya ndoa kidoleni mwako"​
View attachment 3163773
si hawa vijana wanasemaga utakibana hadi kitaliwa na nyenyere

hata hivyo,
zama za kunyimana sililishapita, ukinyimwa badili namna ya uombaji utapewa tu 🐒
 
Binti mwenye bikra ndio unamfaa huu uzi. 😅

Kutolewa bikra wakati hauko kwenye ndoa huo ni usaliti hali ya juu. Umemsaliti ambaye angekuoa. 😄
 
Ukinunua shati dukani ni haki yako kulijaribu kabla hujalichukuwa. Hasa wale wanaotolewa mahari.
 
"Binti usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa, ukimpa hawezi kukuthamini ataona kama unampa kabla ya ndoa akiwa sio mume wako unaweza kumsaliti ndani ya ndoa kwakuwa huna msimamo na mwili wako, hakikisha unampa baada ya kukuvisha Pete ya ndoa kidoleni mwako"
m

Yaani amnyime mume mtarajiwa lakini aendelee kugawa kwa wahuni! Bora ungesema binti usikubali bikra yako iliwe na asiye mumeo.Hapo ningekuelewa.
 
NIPO TAYARI KUSHAMBULIWA.

WANAUME TUNAFELI SANA. TUNAENDELEA KUHANGAIKA NA UTANDO HUKU TUKIMKIMBIA BUIBUI.

Hii vita ikipiganwa na wanaume badala ya wanawake ni nyepesi mno. Imagine kila mwanamke anayejirahisisha akikutana na mwanaume anahojiwa kuhusu umalaya wake.

Tukitengeneza jamii ya vijana wenye ujasiri wa kumkanya mwanamke na kumwambia ACHA UMALAYA hili tatizo litapungua kwa kasi.

Imani kuwa kijana hana cha kupoteza ndo imetufikisha hapa, in long run wanaume ndo tunapoteza sababu mwanamke malaya huzaa malaya na tunamuhitaji mwanamke. Kama sio sasa basi baadae, kama sio wewe basi mwanao. Shubamiit, sijui kama wanaume tunaona umuhimu wa kupigana na umalaya. Ushoga, usingle mother, ufirauni woooote unaoujua wewe sababu ni mwanaume kukimbia jukumu la uongozi.

Idadi ya wanawake watiifu kwa wanaume inapungua, hakuna wanawake wa vijana wetu kuoa na kutunza watoto, tunaletewa wajukuu na wakwe wala shisha, kila kijana akitaka kuoa unakuta mwanamke tayari ana historia ya kuingiliwa, ana sijui X mara mtoto, hakuna option.

Wote tukiukataa umalaya, tukaupinga, tukawa na ujasiri wa kumwambia mwanamke anayejirahisisha ACHA UMALAYA, hili tatizo litapungua mno. Hii vita inapaswa kupiganwa na wanaume.

MWANAUME NI KIONGOZI WA JAMII.
 
NIPO TAYARI KUSHAMBULIWA.

WANAUME TUNAFELI SANA. TUNAENDELEA KUHANGAIKA NA UTANDO HUKU TUKIMKIMBIA BUIBUI.

Hii vita ikipiganwa na wanaume badala ya wanawake ni nyepesi mno. Imagine kila mwanamke anayejirahisisha akikutana na mwanaume anahojiwa kuhusu umalaya wake.

Tukitengeneza jamii ya vijana wenye ujasiri wa kumkanya mwanamke na kumwambia ACHA UMALAYA hili tatizo litapungua kwa kasi.

Imani kuwa kijana hana cha kupoteza ndo imetufikisha hapa, in long run wanaume ndo tunapoteza sababu mwanamke malaya huzaa malaya na tunamuhitaji mwanamke. Kama sio sasa basi baadae, kama sio wewe basi mwanao. Shubamiit, sijui kama wanaume tunaona umuhimu wa kupigana na umalaya. Ushoga, usingle mother, ufirauni woooote unaoujua wewe sababu ni mwanaume kukimbia jukumu la uongozi.

Idadi ya wanawake watiifu kwa wanaume inapungua, hakuna wanawake wa vijana wetu kuoa na kutunza watoto, tunaletewa wajukuu na wakwe wala shisha, kila kijana akitaka kuoa unakuta mwanamke tayari ana historia ya kuingiliwa, ana sijui X mara mtoto, hakuna option.

Wote tukiukataa umalaya, tukaupinga, tukawa na ujasiri wa kumwambia mwanamke anayejirahisisha ACHA UMALAYA, hili tatizo litapungua mno. Hii vita inapaswa kupiganwa na wanaume.

MWANAUME NI KIONGOZI WA JAMII.
👏🏾👏🏾👏🏾
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
"Binti usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa, ukimpa hawezi kukuthamini ataona kama unampa kabla ya ndoa akiwa sio mume wako unaweza kumsaliti ndani ya ndoa kwakuwa huna msimamo na mwili wako, hakikisha unampa baada ya kukuvisha Pete ya ndoa kidoleni mwako"
View attachment 3163773
Uyo binti unaemwambia asitoe, mwambie kuna wenzie. Asipotoa wenzie wanatoa tunda na linaliwa kiroho saaaaaafi kabisa
 
Back
Top Bottom