IfNot WhyNot
Senior Member
- Aug 21, 2013
- 144
- 257
Mhh huyo binti wa hivyo yupo kweli??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbafuuu sana 😂😂🏃🏽♂️🏃🏽♂️Binti Mwenyewe Anayeambiwa Asitoe Hadi Aolewe
View attachment 3164617
Au sio 😂😂🤣🤣 wanasoma taratibu hawataki hata kukomenti maana wanajua kabisa hawawezi,hawataki,ndoa kupatikana sio rahisi na wanajua bila kukitoa kuonjwa ni hapana mwisho hawawezi kuukabili upwiru!
Anhaa kumbe, haya we washauri"Binti usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa, ukimpa hawezi kukuthamini ataona kama unampa kabla ya ndoa akiwa sio mume wako unaweza kumsaliti ndani ya ndoa kwakuwa huna msimamo na mwili wako, hakikisha unampa baada ya kukuvisha Pete ya ndoa kidoleni mwako"View attachment 3163773
Usitupangie bro"Binti usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa, ukimpa hawezi kukuthamini ataona kama unampa kabla ya ndoa akiwa sio mume wako unaweza kumsaliti ndani ya ndoa kwakuwa huna msimamo na mwili wako, hakikisha unampa baada ya kukuvisha Pete ya ndoa kidoleni mwako"View attachment 3163773
Uko wapiNIPO TAYARI KUSHAMBULIWA.
WANAUME TUNAFELI SANA. TUNAENDELEA KUHANGAIKA NA UTANDO HUKU TUKIMKIMBIA BUIBUI.
Hii vita ikipiganwa na wanaume badala ya wanawake ni nyepesi mno. Imagine kila mwanamke anayejirahisisha akikutana na mwanaume anahojiwa kuhusu umalaya wake.
Tukitengeneza jamii ya vijana wenye ujasiri wa kumkanya mwanamke na kumwambia ACHA UMALAYA hili tatizo litapungua kwa kasi.
Imani kuwa kijana hana cha kupoteza ndo imetufikisha hapa, in long run wanaume ndo tunapoteza sababu mwanamke malaya huzaa malaya na tunamuhitaji mwanamke. Kama sio sasa basi baadae, kama sio wewe basi mwanao. Shubamiit, sijui kama wanaume tunaona umuhimu wa kupigana na umalaya. Ushoga, usingle mother, ufirauni woooote unaoujua wewe sababu ni mwanaume kukimbia jukumu la uongozi.
Idadi ya wanawake watiifu kwa wanaume inapungua, hakuna wanawake wa vijana wetu kuoa na kutunza watoto, tunaletewa wajukuu na wakwe wala shisha, kila kijana akitaka kuoa unakuta mwanamke tayari ana historia ya kuingiliwa, ana sijui X mara mtoto, hakuna option.
Wote tukiukataa umalaya, tukaupinga, tukawa na ujasiri wa kumwambia mwanamke anayejirahisisha ACHA UMALAYA, hili tatizo litapungua mno. Hii vita inapaswa kupiganwa na wanaume.
MWANAUME NI KIONGOZI WA JAMII.
Mkuu,"Binti usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa, ukimpa hawezi kukuthamini ataona kama unampa kabla ya ndoa...
Hahaha. Nimekumiss kweli, Yanga hii unaifungajeeeee?Uko wapi
Chama huyooo chama huyooo kaitupa kwa Pacome kaitaka tenaaaa......Hahaha. Nimekumiss kweli, Yanga hii unaifungajeeeee?
Tabora huyooo, Tabora huyoo kaitupa kwa Alhly kaitaka tena...Chama huyooo chama huyooo kaitupa kwa Pacome kaitaka tenaaaa......
NyooooooooTabora huyooo, Tabora huyoo kaitupa kwa Alhly kaitaka tena...