Binti, usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa

Binti, usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa

Marinda ndo tu wanayaombea sembuse hiyo bikra...hizo wanavunjwaga mapema sana waoto wa siku hizi..tena na vibabu.
 
Huu uzi unawalenga wanawake mabikra sio hawa maharage ya mbeya unachukua no muda huo huo anauliza tunakutana gesti gani
 
Binti Mwenyewe Anayeambiwa Asitoe Hadi Aolewe
FB_IMG_17326418331146101.jpg
 
🤣🤣 wanasoma taratibu hawataki hata kukomenti maana wanajua kabisa hawawezi,hawataki,ndoa kupatikana sio rahisi na wanajua bila kukitoa kuonjwa ni hapana mwisho hawawezi kuukabili upwiru!
 
🤣🤣 wanasoma taratibu hawataki hata kukomenti maana wanajua kabisa hawawezi,hawataki,ndoa kupatikana sio rahisi na wanajua bila kukitoa kuonjwa ni hapana mwisho hawawezi kuukabili upwiru!
Au sio 😂😂
 
NIPO TAYARI KUSHAMBULIWA.

WANAUME TUNAFELI SANA. TUNAENDELEA KUHANGAIKA NA UTANDO HUKU TUKIMKIMBIA BUIBUI.

Hii vita ikipiganwa na wanaume badala ya wanawake ni nyepesi mno. Imagine kila mwanamke anayejirahisisha akikutana na mwanaume anahojiwa kuhusu umalaya wake.

Tukitengeneza jamii ya vijana wenye ujasiri wa kumkanya mwanamke na kumwambia ACHA UMALAYA hili tatizo litapungua kwa kasi.

Imani kuwa kijana hana cha kupoteza ndo imetufikisha hapa, in long run wanaume ndo tunapoteza sababu mwanamke malaya huzaa malaya na tunamuhitaji mwanamke. Kama sio sasa basi baadae, kama sio wewe basi mwanao. Shubamiit, sijui kama wanaume tunaona umuhimu wa kupigana na umalaya. Ushoga, usingle mother, ufirauni woooote unaoujua wewe sababu ni mwanaume kukimbia jukumu la uongozi.

Idadi ya wanawake watiifu kwa wanaume inapungua, hakuna wanawake wa vijana wetu kuoa na kutunza watoto, tunaletewa wajukuu na wakwe wala shisha, kila kijana akitaka kuoa unakuta mwanamke tayari ana historia ya kuingiliwa, ana sijui X mara mtoto, hakuna option.

Wote tukiukataa umalaya, tukaupinga, tukawa na ujasiri wa kumwambia mwanamke anayejirahisisha ACHA UMALAYA, hili tatizo litapungua mno. Hii vita inapaswa kupiganwa na wanaume.

MWANAUME NI KIONGOZI WA JAMII.
Uko wapi
 
"Binti usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa, ukimpa hawezi kukuthamini ataona kama unampa kabla ya ndoa...
Mkuu,
Ujue na wao wanapataga nyeg.€
Wakifuata ushauri wako, maana yake binti akizidiwa upwiru aende kutolewa maji na mwamba mwingine, ukigundua si uchumba utaota mbawa?

Pia wewe mwanaume ukizidiwa unaenda kutindua kwa mwingine, ukinogewa huko hurudi.

Utawaponza broo
 
Tafadhali mkuu lazima tuwapime oilu kabla hatujawaoa. Jiheshimu mkuu
 
Wape na plan B ya kuikabili nature ya upwiru.

Pia wape mbinu ya kupata ndoa na high value man wenye maisha bila kutoka tendo.


Mabinti wanataka mume mwenye maisha na status kama mc Gara B, uhalisia Mc garab kazalisha kwanza ndio kaoa


Mabinti wanataka mume kama katokisha. Uhalisia katokisha kazalisha watoto wawili kwanza ndio kaoa.

Sasa hao wanaume wenye status ambayo watawaoa bila kuwapq tendo wanapatikana wapi ?


Waelekeze mabinti
 
Back
Top Bottom