[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ma shaa Allah, tazama video clip hiyo.
AlhamduliLlah uliyoyaandika ni sifa kubwa sana kwangu. Ulitaka nikufie wewe? Unanshangaza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utakufa nacho, kijiba cha roho. Mtoto yupo Misr kwa sasa.
billgate mwenyewe mbona ni shetani aisee, ni agent wa kuzimu kabisa, kuna maagano wanafanyaga hao watu waliounganisha utajiri wao kuzimu (freemasons) ambayo yanaathiri hadi kizazi cha nne. kwa hiyo hata huyo mtoto wake ana connections za kuzimu na hatapona hadi atakapookoka kwa Kumkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozo wa maisha yake, na si kwa dini nyingine yeyot ile. unakumbuka sakata lake la corona, na kabla hapo aliposemekana kusema kuwa kuna umuhimu kupunguza idadi ya watu duniani, hasa waafrica ili resourses zitumike....Niliwahi kuleta habari humu, hii: Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam
Sasa yamekuwa kweli...
Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Inaweza kua kheri kwao kwa uwezo wa Allah lkn nilitamani kuona hata huyo binti akiwa ktk stara vinginevyo nimeona ndoa ya kawaida Kama zinavyoweza kua zingine.Niliwahi kuleta habari humu, hii: Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam
Sasa yamekuwa kweli...
Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Mmh! Kukurupuka kote huko mi nikafikiri yupo kwako; kwamba kijana wako ndiyo kaoa huyo binti wa tajiri! Kumbe Misri!! Sasa wewe unapata faida gani? Na cha ajabu na kipya ni kipi hapo?Utakufa nacho, kijiba cha roho. Mtoto yupo Misr kwa sasa.
Mfie tu kwanshida?Ma shaa Allah, tazama video clip hiyo.
AlhamduliLlah uliyoyaandika ni sifa kubwa sana kwangu. Ulitaka nikufie wewe? Unanshangaza!
Hijabu vipi?Niliwahi kuleta habari humu, hii: Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam
Sasa yamekuwa kweli...
Mtakufa navyo vijiba vya roho.
ni kaka sio dada.Dada Yangu FaizaFoxy kwa Uzi Huu umechemshaa aisee. Ww ni Member mkubwa na Mkongwe huku Hukutakuwa kuanzisha uzi wa ivii
Yes anaweza hata kuolewa na Askofu Rashidi na ikawa poa tu.Hakuna cha ajabu hapo, hata wewe unaweza ukaolewa na atheist na ikawa fresh tu
Wewe inakuhusu niniHuyu Billgates kama kweli wanayosema kuhusu Corona, basi si Mkristo kweli bali amebeba jina tu la ukristo, na sijui kama huwa anaenda kanisani.
Leta ushahidiWamarekani wengi hawaamini kama kuna Mungu.
Vipi wewe si shetani?billgate mwenyewe mbona ni shetani aisee, ni agent wa kuzimu kabisa, kuna maagano wanafanyaga hao watu waliounganisha utajiri wao kuzimu (freemasons) ambayo yanaathiri hadi kizazi cha nne. kwa hiyo hata huyo mtoto wake ana connections za kuzimu na hatapona hadi atakapookoka kwa Kumkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozo wa maisha yake, na si kwa dini nyingine yeyot ile. unakumbuka sakata lake la corona, na kabla hapo aliposemekana kusema kuwa kuna umuhimu kupunguza idadi ya watu duniani, hasa waafrica ili resourses zitumike....
kwahiyo Faiza sasahivi Billgate ni babamkwe wako....
Nitaamini vp Kama haunipi ushahidi? Kwahiyo wewe umewahi kuishi na mawakala wa shetani?Ushahidi wa nini?! Usipende ligi. Kama umeshawahi kuwa na ukaribu ama kuishi na hawa watu utaelewa ninachosema.