The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Jmn mwenzenu Hoi taaban kwa NANDI. Ngepataga hata seconds chache tu za kuonana nae ngemwambia. Na ingetokea sasa ndo ananipa offer ya ata lisaa hv kiutu uzima uuuu uwiiiiiiii. Walahii makapuku tunaishi kwny ndoto ambazo wny pesa Wanazfanyia kaz na tukiona tunaishia kuumia tu.
Shikamoo pesa
Tatizo lako ni kujiamini tu
watu malofa kuliko wewe wanawapata hao warembo