Binti wa dukani alitafutiwa kazi hii kwa taabu sana ila cha ajabu hajamaliza hata mwaka ana mimba, Ntalaumiwa nikiweka binti mwengine?

Binti wa dukani alitafutiwa kazi hii kwa taabu sana ila cha ajabu hajamaliza hata mwaka ana mimba, Ntalaumiwa nikiweka binti mwengine?

Binti alifika dukani mwezi wa kwanza mwaka huu, Ni binti ambae sijawahi kuwa na tatizo nae kasoro hivi karibuni

Siku ya ambayo duka halifunguliwi / mapumziko huwa ni Jumapili lakini kwa sasa hali imebadilika, Kwa takribani wiki 5 mfululizo zilizopita ni lazima siku moja wapo kati ya Jumatatu hadi Ijumaa hafungui duka mara aniambie kichwa kinauma, msiba, homa, usafiri, n.k. ila kuna taarifa nikapata huwa anaenda kliniki, mimba iliyoanza kuonekana kwa mbali imethibitisha hii taarifa.

Tatizo sio mimba bali ni kutofungua duka siku ambazo sio za mapumziko anaenda clinic ama kutokuja kwa sababu zengine ambazo zinahusiana na hio mimba.

Binafsi nina kazi nyingine huwa namuachia duka, baadhi ya siku za jioni naenda kuhesabu mzigo na kukagua hesabu, hivyo akiwa hayupo duka linafungwa.


Sasa nawauliza,

Je, Kiuhalisia binti wa dukani anaweza kuendelea na kazi zake bila kushuka uwezo wake wala mambo yake binafsi kuingilia mambo ya ofisi akiwa na mimba?
Ulipaswa wewe ndio umpe hiyo Mimba
 
Mimi ni mfanyabiashara,ndio maana nawashangaa wanaodai jamaa anaumia kwakuwa hajatia yeye mimba
Nakosa hata cha kuwajibu, Ni wazi kabisa hawana elimu wala ujuzi wa biashara,

Huwezi kuchanganyi biashara na mapenzi,
 
Tafuta mwingine,huyo kesharidhika na maisha. Mzigo wa kulea mimba ataubeba aliyempa
 
Binti alifika dukani mwezi wa kwanza mwaka huu, Ni binti ambae sijawahi kuwa na tatizo nae kasoro hivi karibuni

Siku ya ambayo duka halifunguliwi / mapumziko huwa ni Jumapili lakini kwa sasa hali imebadilika, Kwa takribani wiki 5 mfululizo zilizopita ni lazima siku moja wapo kati ya Jumatatu hadi Ijumaa hafungui duka mara aniambie kichwa kinauma, msiba, homa, usafiri, n.k. ila kuna taarifa nikapata huwa anaenda kliniki, mimba iliyoanza kuonekana kwa mbali imethibitisha hii taarifa.

Tatizo sio mimba bali ni kutofungua duka siku ambazo sio za mapumziko anaenda clinic ama kutokuja kwa sababu zengine ambazo zinahusiana na hio mimba.

Binafsi nina kazi nyingine huwa namuachia duka, baadhi ya siku za jioni naenda kuhesabu mzigo na kukagua hesabu, hivyo akiwa hayupo duka linafungwa.


Sasa nawauliza,

Je, Kiuhalisia binti wa dukani anaweza kuendelea na kazi zake bila kushuka uwezo wake wala mambo yake binafsi kuingilia mambo ya ofisi akiwa na mimba?
Imagine huyo Ni mkeo je ataweza kuendeleza na Kaz akiwa na ujauzito ? Kama jibu Ni ndio bas fanya maamuzi kulingana unavyo mtreat mkeo
 
Akimwambia kuwa muda Fulani Ataacha kazi anatafuta kuibiwa huyu sio mzungu ni mwafrika uaminifu na roho mbaya ni Pete na kidole akimwambia kuwa hamtaki asimruhusu Tena kuingia kazini
aaah ila hapa kweli bora akausge tu kwanza asimwambie aisee mbongo hana imaNi
 
Watu humu wana act kuwa ni haki ya huyo mdada kupata mimba, ila wajue tu ufanisi utashuka mara dufu na hapo akifika miezi 7 ndio kufunga kutaongezeka, akijifungua akae siku karibu 40 ndani, akirudi napo ufanisi unakuwa very down,
Halafu mtu amkumbatie mtu kama huyo dukani?
Mkuu terminate mkataba sema tu mpe haki zake anazostahili
Pia tusisahau mimba ikiwa changa inaambatana na makasiriko na drama nyingi kwa baadhi ya wanawake..
Anaweza akawa wa kununanuna,kisirani,nongwa
Anaweza akawa allergic na baadhi ya vitu kama perfume,
Anaweza kumchukia mteja from nowhere,
Anaweza akawa mgonjwa mgonjwa mara nyingi,
Anataka alalelale wakati wote
 
Binti alifika dukani mwezi wa kwanza mwaka huu, Ni binti ambae sijawahi kuwa na tatizo nae kasoro hivi karibuni

Siku ya ambayo duka halifunguliwi / mapumziko huwa ni Jumapili lakini kwa sasa hali imebadilika, Kwa takribani wiki 5 mfululizo zilizopita ni lazima siku moja wapo kati ya Jumatatu hadi Ijumaa hafungui duka mara aniambie kichwa kinauma, msiba, homa, usafiri, n.k. ila kuna taarifa nikapata huwa anaenda kliniki, mimba iliyoanza kuonekana kwa mbali imethibitisha hii taarifa.

Tatizo sio mimba bali ni kutofungua duka siku ambazo sio za mapumziko anaenda clinic ama kutokuja kwa sababu zengine ambazo zinahusiana na hio mimba.

Binafsi nina kazi nyingine huwa namuachia duka, baadhi ya siku za jioni naenda kuhesabu mzigo na kukagua hesabu, hivyo akiwa hayupo duka linafungwa.


Sasa nawauliza,

Je, Kiuhalisia binti wa dukani anaweza kuendelea na kazi zake bila kushuka uwezo wake wala mambo yake binafsi kuingilia mambo ya ofisi akiwa na mimba?
anaweza kabisa,mimba sio issue kabisa,ongea nae vizuri atakuwa na shida nyingine
 
Back
Top Bottom